LGE2024 Saa 12 asubuhi yamekutwa mabox matatu tayari yamejaa kura. Hii ndio Tanzania.

LGE2024 Saa 12 asubuhi yamekutwa mabox matatu tayari yamejaa kura. Hii ndio Tanzania.

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Mambo ya kawaida sana hayo. Hapa nilipo nishapiga kura zaidi ya 200 za CCM na kujaza kwenye masanduku kwenye hiki kituo. Usitegemee Chadema itakuja kushindwa kwenye sanduku la kura nchi hii .
sawa basi vaa chupi yako uende
 
Mambo ya kawaida sana hayo. Hapa nilipo nishapiga kura zaidi ya 200 za CCM na kujaza kwenye masanduku kwenye hiki kituo. Usitegemee Chadema itakuja kushindwa kwenye sanduku la kura nchi hii .
Aibu sana Kwa Dr Nchimbi na RC Makonda🤣😅😅
 
Ww unashangaaa saa 12 mkuu,wkt nilipo masanduku yalijaa kabla hata ya kampeni kuanzaa na maagizo yakatolewa asishindee yyt wa chama pinzanii
.
Ni huzunii
 
Aibu sana hii, halafu eti mitano tena. Kwa uchafuzi huu wa uchaguzi ni hatarii.
 
Chadema genge la wahuni/wahalifu, hawafai hata kuongoza mtaa.
Chagua CCM ujihakikishie maendwleo endelevu.
 
Back
Top Bottom