Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 12,835
- 23,584
Acha makasiriko .sema CCM oyeeeesawa basi vaa chupi yako uende
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha makasiriko .sema CCM oyeeeesawa basi vaa chupi yako uende
Aibu ya nini? Nchi haiwezi kuachiwa kirahisi rahisi hivi kama kumpa mtu maandazi alaa.Aibu sana Kwa Dr Nchimbi na RC Makonda🤣😅😅
Asante. Muwe mnawanunulia mawakala wenu wa chadema chakula na posho Leo nimewasaidia zaidi ya 7 wanalalamika njaa.Hongera sana
Aisee kazi ipoAibu ya nini? Nchi haiwezi kuachiwa kirahisi rahisi hivi kama kumpa mtu maandazi alaa.
Izo kura za maruhani umezipiga kwa faida ya nani.Mambo ya kawaida sana hayo. Hapa nilipo nishapiga kura zaidi ya 200 za CCM na kujaza kwenye masanduku kwenye hiki kituo. Usitegemee Chadema itakuja kushindwa kwenye sanduku la kura nchi hii .
Mungu atakubarikiAsante. Muwe mnawanunulia mawakala wenu wa chadema chakula na posho Leo nimewasaidia zaidi ya 7 wanalalamika njaa.
Chadema imewatelekeza mawakala kuanzia asubuhi tunawanunulia chai na chapati .wanatuambia endeleeni na kazi fanyeni mnavotakaAisee kazi ipo
Sema CCM oyeeeeeIzo kura za maruhani umezipiga kwa faida ya nani.
Binafsi kwa Hilo ulilofanya adhabu yako ulitakiwa KUUWAWA ili iwe funzo kwa watu wenye Nia au tabia Kama hiyo
Hata kwenye dini yenu ya Allah mmekatazwa dhuruma, uongo, utapeli,wizi , uzandiki na hata ufilauni.Sema CCM oyeeeee
Wewe umejuaje kama Mimi ni muislamu?Hata kwenye dini yenu ya Allah mmekatazwa dhuruma, uongo, utapeli,wizi , uzandiki na hata ufilauni.
Alafu unaenda kuswali na sigda kubwa usoni Nini Sasa? Jitafakari.
Ukigongewa mke wako utasema hata jirani jirani yangu huwa anagongewa mke wake.Hata chadema wanaibiana mfano msogwa aliibiwa kura.na bwana Mrema wa.cdm