Huna akiliHata chadema wanaibiana mfano msogwa aliibiwa kura.na bwana Mrema wa.cdm
Yachukue peleka kwako km vpMambo ya kawaida sana hayo. Hapa nilipo nishapiga kura zaidi ya 200 za CCM na kujaza kwenye masanduku kwenye hiki kituo. Usitegemee Chadema itakuja kushindwa kwenye sanduku la kura nchi hii .
sawa basi vaa chupi yako uendeMambo ya kawaida sana hayo. Hapa nilipo nishapiga kura zaidi ya 200 za CCM na kujaza kwenye masanduku kwenye hiki kituo. Usitegemee Chadema itakuja kushindwa kwenye sanduku la kura nchi hii .
Nchi Imefongoka......Mama anapendwa sana😅😅😅
Aibu sana Kwa Dr Nchimbi na RC Makonda🤣😅😅Mambo ya kawaida sana hayo. Hapa nilipo nishapiga kura zaidi ya 200 za CCM na kujaza kwenye masanduku kwenye hiki kituo. Usitegemee Chadema itakuja kushindwa kwenye sanduku la kura nchi hii .
Hongera sanaMambo ya kawaida sana hayo. Hapa nilipo nishapiga kura zaidi ya 200 za CCM na kujaza kwenye masanduku kwenye hiki kituo. Usitegemee Chadema itakuja kushindwa kwenye sanduku la kura nchi hii .
Angalau hapo naona kuna vyama mbalimbali, nimepigwa na butwaaa kubwa hapa Moshi kuona wote wanaogombea ni CCM! Nimewapiga mikasi wote bila hata kuangalia majina yao.
Kwa hiyo jirani yako akiwa jambazi na wewe utajifunza ujambazi ili mfanane?Hata chadema wanaibiana mfano msogwa aliibiwa kura.na bwana Mrema wa.cdm
Mimi ni msimamizi wa kituo nasubiri kumtangaza mshindi wa CCM Bado dk 20 nitangaze.Yachukue peleka kwako km vp