Saa 48 ngumu kwa wachezaji Simba!

Aliondoka ronaldo akiwa kwenye kilele cha ubora na ni kipenzi haswa cha mashabiki sembuse hao wa simba

Acha waondolewe tu matokeo kwanza
 
Hataki mzaha, benchi lote la ufundi wanakimbizana pia, anataka wakati wa mchezo kila mtu afanye kazi yake akitaka report uwe na taarifa sahihi otherwise utafokewa kama anataka kukumeza! Hadi video analysts jasho linamtoka [emoji1787]
Nimeona aisee yule kocha msaidizi nadhani kule mapinduzi aligeuka kuwa kocha mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…