Kama ni ya kweli basi ngoja tuone, nijuavyo mimi BENCHKHA ni zile type za watu ambao wao wakilala wakiamka wanawaza kazi zao tu yaani yupo tayari ashinde ofisini siku tatu bila kukanyaga kwake, pia ni mtu wa misimamo mikali, anachojali yeye ni mafanikio full stop. ukimletea za kuleta anakuondoa au anakuachia kazi yako, pia ni mtu anayekwazika haraka yaani hasira zipo shingoni, ni mtu anayejali sana cv yake na mafanikio yake ni mtu asiyependa kelele wala kukosolewa mwisho kabisa ni mtu asiyeishi kwa kutegemea sifa za mashabiki yeye huamini ktk mipango yake. AKIMALIZANA NA WACHEZAJI ANAYEFUATA NI MANGUNGU NA TRY AGAIN tofauti na hapo atawaachia timu yenu kabla ya krismas