Saa 48 ngumu kwa wachezaji Simba!

Saa 48 ngumu kwa wachezaji Simba!

Kama ni ya kweli basi ngoja tuone, nijuavyo mimi BENCHKHA ni zile type za watu ambao wao wakilala wakiamka wanawaza kazi zao tu yaani yupo tayari ashinde ofisini siku tatu bila kukanyaga kwake, pia ni mtu wa misimamo mikali, anachojali yeye ni mafanikio full stop. ukimletea za kuleta anakuondoa au anakuachia kazi yako, pia ni mtu anayekwazika haraka yaani hasira zipo shingoni, ni mtu anayejali sana cv yake na mafanikio yake ni mtu asiyependa kelele wala kukosolewa mwisho kabisa ni mtu asiyeishi kwa kutegemea sifa za mashabiki yeye huamini ktk mipango yake. AKIMALIZANA NA WACHEZAJI ANAYEFUATA NI MANGUNGU NA TRY AGAIN tofauti na hapo atawaachia timu yenu kabla ya krismas
Hataki mzaha, benchi lote la ufundi wanakimbizana pia, anataka wakati wa mchezo kila mtu afanye kazi yake akitaka report uwe na taarifa sahihi otherwise utafokewa kama anataka kukumeza! Hadi video analysts jasho linamtoka [emoji1787]
 
Chama Simba hawana ubavu wakumuacha labda wasubiri mkataba uishe!!, Anajeuri tu ila na yeye kawaletea garasa kabisa.... Yule Sarr?🤣🤣🤣
 
Hataki mzaha, benchi lote la ufundi wanakimbizana pia, anataka wakati wa mchezo kila mtu afanye kazi yake akitaka report uwe na taarifa sahihi otherwise utafokewa kama anataka kukumeza! Hadi video analysts jasho linamtoka [emoji1787]
niliwahi kunote hicho kitu mkuu, pia anakadaftari kadogo keusi hako kana majina yote nilimuona siku ya simba na JKU akiandika vitu maana kamera za azam zilimmulika uyasemayo yana ukweli asilimia kubwa na mdicho kilichonisukuma nkaleta ule uzi wa kuwa hatofika krismas atapasuka
 
Muweke na onana...kiufupi wageni wa kubaki kwa upande wangu naona.
1.Ngoma
2.Kanute
3.Sarr(kwasababu ndo ameaajiriwa)
4.Inonga
5.Chemalone
6.Ayubu

Wa kupewa angalizo msimu uliobaki wawe
1.Phiri
2.Miqson
3.Kramo

Waliobaki piga panga tukianza na hawa
1.Onana
2. Saido
3.Baleke
4.Chama

Kwa wazawa

1.Bocco
2.Bocco
3.Bocco
4.Bocco
5.Bocco
6......
7......
Naunga mkono hoja. Hakuna mshahara wa bure bure tu kisha watuumize mashabiki. Kocha tupo nyuma yako
 
Muweke na onana...kiufupi wageni wa kubaki kwa upande wangu naona.
1.Ngoma
2.Kanute
3.Sarr(kwasababu ndo ameaajiriwa)
4.Inonga
5.Chemalone
6.Ayubu

Wa kupewa angalizo msimu uliobaki wawe
1.Phiri
2.Miqson
3.Kramo

Waliobaki piga panga tukianza na hawa
1.Onana
2. Saido
3.Baleke
4.Chama

Kwa wazawa

1.Bocco
2.Bocco
3.Bocco
4.Bocco
5.Bocco
6......
7......
onana si aliwapiga mbili wydad utamuachaje mtu hatari kama huyu?
 
Wakuu,

Kocha mkuu Benchika inasemekana amenyoosha rula. Rula yenyewe sio ombi ni maelekezo kwa viongozi!

Huyu anaweza kuwa kocha wa kwanza wa kigeni asiyeogopa mtu kwenye kazi yake. Aliletewa mtu ikabidi apitie mlango wa trial akamla kichwa fasta bila kuuliza aliyemleta [emoji23]

Inasemekana akitokea popote kambini ni kama Simba mwenye hasira ameingia na wachezaji wanamuogopa, hataki mchezo na mipango yake.

Sasa huko ametoa profile anataka washambuliaji wa aina gani na sio vinginevyo. Kuna majina vipenzi vya mashabiki yapo hati hati watu wanatafutana kuweka mambo sawa [emoji23]

Ila tutatoboa tu! Simba nguvu moja [emoji123]
Ila tutatoboa tu! Simba nguvu moja [emoji123][emoji419][emoji375]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
niliwahi kunote hicho kitu mkuu, pia anakadaftari kadogo keusi hako kana majina yote nilimuona siku ya simba na JKU akiandika vitu maana kamera za azam zilimmulika uyasemayo yana ukweli asilimia kubwa na mdicho kilichonisukuma nkaleta ule uzi wa kuwa hatofika krismas atapasuka
Safari hii kocha tunae sijui kama viongozi wataweza kukaza nae msimu mzima bila uswahili [emoji28]
 
Hataki mzaha, benchi lote la ufundi wanakimbizana pia, anataka wakati wa mchezo kila mtu afanye kazi yake akitaka report uwe na taarifa sahihi otherwise utafokewa kama anataka kukumeza! Hadi video analysts jasho linamtoka [emoji1787]

Tazama wakati wenzie wanashangilia yeye kala buyu tu anawaza viwango vya mashaka vya kikosi chake
 
View attachment 2869782
Tazama wakati wenzie wanashangilia yeye kala buyu tu anawaza viwango vya mashaka vya kikosi chake
Ni mtu kazi kweli. Kuna game za awali alirudisha wachezaji uwanjani baada ya game kufanya mazoezi na hakuna namna wachezaji na technical team wote wakarudi kwenye program ya mazoezi hadi mida mibovu [emoji1787]
 
nimesema hivyo kwa sababu hata akifukuza hao akina ntibanzokiza ataletewa type hiyo hiyo ya wachezaji si unaona ingizo jipya BABACAR SARR unaweza kuniambia kaletwa na nani hapo simba?
Sarr una shaka nae? Naona tumpe muda hata mechi 5 ndo tumjaji
 
Muweke na onana...kiufupi wageni wa kubaki kwa upande wangu naona.
1.Ngoma
2.Kanute
3.Sarr(kwasababu ndo ameaajiriwa)
4.Inonga
5.Chemalone
6.Ayubu

Wa kupewa angalizo msimu uliobaki wawe
1.Phiri
2.Miqson
3.Kramo

Waliobaki piga panga tukianza na hawa
1.Onana
2. Saido
3.Baleke
4.Chama

Kwa wazawa

1.Bocco
2.Bocco
3.Bocco
4.Bocco
5.Bocco
6......
7......
Baleke msaada wote huu anaondokaje
 
Safari hii kocha tunae sijui kama viongozi wataweza kukaza nae msimu mzima bila uswahili [emoji28]
Naona kuna vyuma vipya vya kigeni vimeongezwa, wachezaji gani wa kigeni wataondoka dirisha hili dogo ili kupisha wengine?
 
Back
Top Bottom