Saa moja na dakika 17

Saa moja na dakika 17

Doooh!!
Kila chakula kinatumiwa kwa kiwango mkuu.
Wali wenyewe pia mzuri ila sio ukiula kwa fujo.
Pia chakula chochote cha ngano usile bila kilainishi kama siagi,jibini,mchuzi,mbogamboga n.k n.k.
Usithubutu kula ngano kavu itakuua.
Mkuu nilikua naelewa basi mi nilijua sifa bana...

Weee weee mkuu ile jana ilikua hatari nilijua nakata moto mkuu
 
Pole sana mazee ungekuja omba ushauri mud unalipambania litoke usingetumia dk 10, ulitakiwa uchukuwe sabuni ya magadi ifanye iwe maji tia katk syringe isio na sindano then punch yale maji yaingie ktk tundu au mafuta ya olive, dk tu , ila kama unakula ngano maji muhim sanaaa pia ukule matunda laini
 
Pole sana mazee ungekuja omba ushauri mud unalipambania litoke usingetumia dk 10, ulitakiwa uchukuwe sabuni ya magadi ifanye iwe maji tia katk syringe isio na sindano then punch yale maji yaingie ktk tundu au mafuta ya olive, dk tu , ila kama unakula ngano maji muhim sanaaa pia ukule matunda laini
Huko mbali angechukua baking soda akapaka hapo kwenye tundu hachukui hata dakika 3 😀😀
 
Pole sana mazee ungekuja omba ushauri mud unalipambania litoke usingetumia dk 10, ulitakiwa uchukuwe sabuni ya magadi ifanye iwe maji tia katk syringe isio na sindano then punch yale maji yaingie ktk tundu au mafuta ya olive, dk tu , ila kama unakula ngano maji muhim sanaaa pia ukule matunda laini
Mkuu yale mafuta yanalainisha gogo au yanafanya njia iwe smooth...

Maana hapo kuna vtu unachanganya
 
Back
Top Bottom