Saa moja na dakika 17

Saa moja na dakika 17

🤣

Ikijirudia tena nunua Bisacodyl, meza kidonge kimoja cha 10mg au viwili vya 5mg. Baada ya hapo andaa maji ya kutosha maliwato na siku ya hilo zoezi usitoke maana......!!! 😅
io dawa nishatumia ndugu,ila nilikimbiza aseee ule mwenge
 
Wanasmaje mkuu kuna mambo bila D mbili huelewi ila hili mkuu ombea lisikukute shukuru Mungu umekunywa maji...

Lisaa limoja na dakika 17 lilikua kama miaka mitatu kwangu
😂😂😂😂😂
Kwahiyo ziggo liligoma kutoka au?

Anyway "tutumie picha ukiwa unakata goggo....." alisikika marioo na jaivah kwa mbali
 
Back
Top Bottom