Doooh!!Ahahaha mimi nilikua natumia kutwa mara tatu... Na juisi tu
Mkuu nilikua naelewa basi mi nilijua sifa bana...Doooh!!
Kila chakula kinatumiwa kwa kiwango mkuu.
Wali wenyewe pia mzuri ila sio ukiula kwa fujo.
Pia chakula chochote cha ngano usile bila kilainishi kama siagi,jibini,mchuzi,mbogamboga n.k n.k.
Usithubutu kula ngano kavu itakuua.
Babe anywe maji kwa wingi na matunda kwa wingiEtugrul Bey ushauri wako tafadhali
Ingesemwa marehemu amekufa kwa sababu ya....ππMkuu nilikua naelewa basi mi nilijua sifa bana...
Weee weee mkuu ile jana ilikua hatari nilijua nakata moto mkuu
Hakika azingatie ushauri huu loveBabe anywe maji kwa wingi na matunda kwa wingi
Huko mbali angechukua baking soda akapaka hapo kwenye tundu hachukui hata dakika 3 ππPole sana mazee ungekuja omba ushauri mud unalipambania litoke usingetumia dk 10, ulitakiwa uchukuwe sabuni ya magadi ifanye iwe maji tia katk syringe isio na sindano then punch yale maji yaingie ktk tundu au mafuta ya olive, dk tu , ila kama unakula ngano maji muhim sanaaa pia ukule matunda laini
Alikuwa hapat choo Zaid ya saa moja hakitokinimekunywa maji na Kula ugali wa dona huku nasoma ulichoandika, nimejikuta fala tu hakuna kinachoeleweka
Una uhakika? choo dawa yake si juice ya ukwaju tu?Alikuwa hapat choo Zaid ya saa moja hakitoki
Uhakika Sina ila ndo nilivoelewa πUna uhakika? choo dawa yake si juice ya ukwaju tu?
sawa alia ila nimekupenda sana kusema kweli..Uhakika Sina ila ndo nilivoelewa π
Sio pepo ni sayansiKemea hilo pepo la kuwambia wenzako hayo mambo mkuu ... .
Kemea
Mkuu hatar sanaBabe anywe maji kwa wingi na matunda kwa wingi
Serious unakufa kwa sababu ya GOGOIngesemwa marehemu amekufa kwa sababu ya....ππ
Mkuu yale mafuta yanalainisha gogo au yanafanya njia iwe smooth...Pole sana mazee ungekuja omba ushauri mud unalipambania litoke usingetumia dk 10, ulitakiwa uchukuwe sabuni ya magadi ifanye iwe maji tia katk syringe isio na sindano then punch yale maji yaingie ktk tundu au mafuta ya olive, dk tu , ila kama unakula ngano maji muhim sanaaa pia ukule matunda laini
aahhahahsa dahHakika azingatie ushauri huu love
Mkuu mkuu haya mi nipo hapanimekunywa maji na Kula ugali wa dona huku nasoma ulichoandika, nimejikuta fala tu hakuna kinachoeleweka