4 7mbatizaji
JF-Expert Member
- Dec 8, 2019
- 8,406
- 9,619
Mkuu acha kabisa yaani siwezi kuelezea duhhhhh
Mwaka mmoja Nimeenda kwenye matibabu hosp flan hivi ,nikiwa folen kulikua na bwana mmoja pembeni ,kumbe alikua na iyo shida ,alichomoka kama risasi kwenda chumba cha doctor tulisikia akisema , doctor okoa maisha yangu kwa gharama yoyote tumbo litapasuka ,nipo kwenye hatari kuu ,kwenye bench vicheko.Kubwa ni habari nyingine mkuu acha tuuu naheshimu sana kwa sasa
Ahahahahahahahhahahhahahah nimecheka sana mkuuu daaah aiseeee hii ni hatarii sana..Mwaka mmoja Nimeenda kwenye matibabu hosp flan hivi ,nikiwa folen kulikua na bwana mmoja pembeni ,kumbe alikua na iyo shida ,alichomoka kama risasi kwenda chumba cha doctor tulisikia akisema , doctor okoa maisha yangu kwa gharama yoyote tumbo litapasuka ,nipo kwenye hatari kuu ,kwenye bench vicheko.
Yule doctor akatuomba amsaidie yule bwana , wakati anatoka jinsi jamaa alivyokua anamfuata kwa nyuma ,watu vicheko, dunia hii
31Wanasmaje mkuu kuna mambo bila D mbili huelewi ila hili mkuu ombea lisikukute shukuru Mungu umekunywa maji...
Lisaa limoja na dakika 17 lilikua kama miaka mitatu kwangu
Siku nyingine aende na kisu au fork. Ngoma ikigoma anaikata au anaichokoa.Pole sana mkuu , ungekula matunda mchakato ungeenda vizuri π
ππ!
Nakuelewa ujueeee....ππππMkuu niliishiwa nguvu ujue....
Yaani hadi namaliza naenda kulala nilikua siamini
Mkuu hii hali naimani ikikupata .... Utakumbuka hivi vitu kweli...31
Siku nyingine aende na kisu au fork. Ngoma ikigoma anaikata au anaichokoa.
Nanina..ungekufa tungekula rojo!Wakuu habari za mda huu.
Natumai wote wazima na tunaendelea vizuri na majukumu yetu.
Hata hivyo mi mzima japo jana mida ya saa 4 usiku nilikutana na changamoto ambayo imenifanya nije hapa kuwapa tahadhari wenzangu.
Wanasema haya mambo hayamkuti nyani.
Kama mimi jana yalinikuta basi hata wewe kesho yanaweza kukukuta.
Wakuu naongea haya na maanisha wakuu namaanisha shika haya nayosema.
1- Epuka kula ngano(skonzi,mkate)
2- kunywa maji ya kutosha
3- Ukihisi haja nenda mda huo huo
Wakuu hivo vipengele hapo juu najua mmesoma fasta fasta ila nakuomba rudia maana hii hali inapokufika unakua wewe peke yako.
Jamani tunywe maji.Wanaposema maji ni muhimu kwa mwili wa binadamu hawajakosea jama..
Kilichonitokea mimi jana naapa sitojihusisha tena na kula ngano..(dry mkate) wakuu mara kumi unywe maji ulale tuu ila ngano (ney)
Mpaka sasa nipo hai nashukuru Mungu alhamdulillah maana ile kitu lisaa limoja na dakika 17 napambania ,,hapana mpka nimetoka mzima naimani mungu ana makusudio yake.
Asanteni.
Maji ni muhimu kwa binadamu.. ninyime mkate nipe maji.
Ngano sio mbaya ila usile sana manake inachelewa kujichakata tumboni kula mboga mboga matunda kwa wingi maji pia kwa wingi ika mwaikimb@@@@@ Toke vzuriWakuu habari za mda huu.
Natumai wote wazima na tunaendelea vizuri na majukumu yetu.
Hata hivyo mi mzima japo jana mida ya saa 4 usiku nilikutana na changamoto ambayo imenifanya nije hapa kuwapa tahadhari wenzangu.
Wanasema haya mambo hayamkuti nyani.
Kama mimi jana yalinikuta basi hata wewe kesho yanaweza kukukuta.
Wakuu naongea haya na maanisha wakuu namaanisha shika haya nayosema.
1- Epuka kula ngano(skonzi,mkate)
2- kunywa maji ya kutosha
3- Ukihisi haja nenda mda huo huo
Wakuu hivo vipengele hapo juu najua mmesoma fasta fasta ila nakuomba rudia maana hii hali inapokufika unakua wewe peke yako.
Jamani tunywe maji.Wanaposema maji ni muhimu kwa mwili wa binadamu hawajakosea jama..
Kilichonitokea mimi jana naapa sitojihusisha tena na kula ngano..(dry mkate) wakuu mara kumi unywe maji ulale tuu ila ngano (ney)
Mpaka sasa nipo hai nashukuru Mungu alhamdulillah maana ile kitu lisaa limoja na dakika 17 napambania ,,hapana mpka nimetoka mzima naimani mungu ana makusudio yake.
Asanteni.
Maji ni muhimu kwa binadamu.. ninyime mkate nipe maji.
Umesahau 'baba lao' mkuu, chipsi1- Epuka kula ngano(skonzi,mkate)
2- kunywa maji ya kutosha
3- Ukihisi haja nenda mda huo huo
Ahahahaha nashukuru kupata mtu ambaye ana feel ile moment mana ni wachache sana wanaelewa hii hali mkuuNakuelewa ujueeee....ππππ
Alafu wangesema chanzo cha kufa ni nini mkuuNanina..ungekufa tungekula rojo!
Mmmh chipsu unazani zina ile result ya chap..Umesahau 'baba lao' mkuu, chipsi
Nataka kusemaje !!!!!!
Marehemu alikua mchokoziAlafu wangesema chanzo cha kufa ni nini mkuu
Daaah ahahaha sasa hapo nimechokoza kitu gani mkuuM
Marehemu alikua mchokozi
Maji ni muhimu sana Mkuu, mim nauliza fu, ulikaa toi masaa mangapi ngoma haitaki kutoka? ππ ila kunywa maziwa ya mtindi pia walau mbili moja kwa wiki Mkuu na mazoezi fanya pia.
Mkuu nikuambie kitu kimoja tu...Maji ni muhimu sana Mkuu, mim nauliza fu, ulikaa toi masaa mangapi ngoma haitaki kutoka? ππ ila kunywa maziwa ya mtindi pia walau mbili moja kwa wiki Mkuu na mazoezi fanya pia.
Pole sana Mkuu.
Nimecheka kifala sanaMkuu nikuambie kitu kimoja tu...
Unapokua na ile hali hata ukinywa nini mechanism ya kulainisha inafanyikaga ikiwa kwenye part za mwanzo za utumbo mpana..
Ila ukiona ishafika chini huku hapo ni nguvu zako na uvumilivu wako wa maumivu makali ..
Gogo alitoki likitoka lina stak somewhrre hapo huna budi kusimama an