Saa moja na dakika 17

Unaonekana huli matunda ya kutosha na maji ngano wala hainashida chakula kikubwa cha wazungu 80% ni ngano mbona wao wapo fresh
Daaaah mkuu ile hali nasema ikija jirudia tena....
Sijui itakuaje hvi hiki kitu kimefanya niwaze mno aiseee
 

Utakiwi kujilazimisha kunywa maji, unatakiwa Uishi Maisha yatakayo ku support kunywa maji!
 
Shetani toooookaaaaaa! Tookaaaa! Oooouuuuut!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…