Fundi manyumba
JF-Expert Member
- Nov 25, 2018
- 3,799
- 8,063
- Thread starter
- #41
Ahahahahah mkuu acha kwanza nicheke...Hauyajui mapera na balaa lake wewe!Guavas?Acha kabisa!
Mapera nimekula mimi yale yana washa tuuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahahahahah mkuu acha kwanza nicheke...Hauyajui mapera na balaa lake wewe!Guavas?Acha kabisa!
Mkuuu sasa bora hiyo...Unahisi kama kuna kisu ulimeza kinakuja😜😜😜
Kula tena yawe kumi na mbili halafu urudi kutusimulia.Ahahahahah mkuu acha kwanza nicheke...
Mapera nimekula mimi yale yana washa tuuu
Kuna mambo utaamua wewe uchane au uwe mvumilivu ..hilo lisaa limoja na dk 17 hata mwanamke mjamzito aliyeleba hatumii muda huo
Wazungu,waarabu na wachina.Unaonekana huli matunda ya kutosha na maji ngano wala hainashida chakula kikubwa cha wazungu 80% ni ngano mbona wao wapo fresh
Hapana kwa hali ya jana na mnavo hadithia kuhusu mapera hutosikia nimekula mimi naapa....Kula tena yawe kumi na mbili halafu urudi kutusimulia.
Duuuh duuuh aiseeee jamn weeehWazungu,waarabu na wachina.
Daaaah mkuu ile hali nasema ikija jirudia tena....Unaonekana huli matunda ya kutosha na maji ngano wala hainashida chakula kikubwa cha wazungu 80% ni ngano mbona wao wapo fresh
Kula matunda ya kutosha mzee mbona bei rahisiDaaaah mkuu ile hali nasema ikija jirudia tena....
Sijui itakuaje hvi hiki kitu kimefanya niwaze mno aiseee
Nashukuru kwa ushauri wako mkuu....Kula matunda ya kutosha mzee mbona bei rahisi
Mkuuu we acha ... OgopaFundi manyumba umeshindwa kujenga choo 🚽.
Wakuu habari za mda huu..
Natumai wote wazima na tunaendelea vizuri na majukumu yetu..
Hata hivyo mi mzima japo jana mida ya saa 4 usiku nilikutana na changamoto ambayo imenifanya nije hapa kuwapa tahadhari wenzangu..
Wanasema haya mambo hayamkuti nyani..
Kama mimi jana yalinikuta basi hata wewe kesho yanaweza kukukuta..
Wakuu naongea haya na maanisha wakuu namaanisha shika haya nayosema
1- Epuka kula ngano(skonzi,mkate)
2- kunywa maji ya kutosha
3- Ukihisi haja nenda mda huo huo
Wakuu hivo vipengele hapo juu najua mmesoma fasta fasta ila nakuomba rudia maana hii hali inapokufika unakua wewe peke yako...
Jamani tunywe maji... Wanaposema maji ni muhimu kwa mwili wa binadamu hawajakosea jama..
Kilichonitokea mimi jana naapa sitojihusisha tena na kula ngano..(dry mkate) wakuu mara kumi unywe maji ulale tuu ila ngano (ney)
Mpaka sasa nipo hai nashukuru Mungu alhamdulillah maana ile kitu lisaa limoja na dakika 17 napambania ,,hapana mpka nimetoka mzima naimani mungu ana makusudio yake...
Asanteni...,.
Maji ni muhimu kwa binadamu.. ninyime mkate nipe maji....
Mimi nilikuwa kama wewe..Utakiwi kujilazimisha kunywa maji, unatakiwa Uishi Maisha yatakayo ku support kunywa maji!
Shetani toooookaaaaaa! Tookaaaa! Oooouuuuut!Wakuu habari za mda huu.
Natumai wote wazima na tunaendelea vizuri na majukumu yetu.
Hata hivyo mi mzima japo jana mida ya saa 4 usiku nilikutana na changamoto ambayo imenifanya nije hapa kuwapa tahadhari wenzangu.
Wanasema haya mambo hayamkuti nyani.
Kama mimi jana yalinikuta basi hata wewe kesho yanaweza kukukuta.
Wakuu naongea haya na maanisha wakuu namaanisha shika haya nayosema.
1- Epuka kula ngano(skonzi,mkate)
2- kunywa maji ya kutosha
3- Ukihisi haja nenda mda huo huo
Wakuu hivo vipengele hapo juu najua mmesoma fasta fasta ila nakuomba rudia maana hii hali inapokufika unakua wewe peke yako.
Jamani tunywe maji.Wanaposema maji ni muhimu kwa mwili wa binadamu hawajakosea jama..
Kilichonitokea mimi jana naapa sitojihusisha tena na kula ngano..(dry mkate) wakuu mara kumi unywe maji ulale tuu ila ngano (ney)
Mpaka sasa nipo hai nashukuru Mungu alhamdulillah maana ile kitu lisaa limoja na dakika 17 napambania ,,hapana mpka nimetoka mzima naimani mungu ana makusudio yake.
Asanteni.
Maji ni muhimu kwa binadamu.. ninyime mkate nipe maji.
Upi huo mkuu ahahahKuna Uzi huku jukwani unashabikia Ulawiti na kuwatukana wanaopinga Ushoga.
Mimi nilikuwa kama wewe..
Ila jana nikajua how H²O is important mkuu