Saa moja na dakika 17

Saa moja na dakika 17

Daaah shukran mkuu wangu..
Jana kwangu ni hostoria sijui ingetokea nimekata moto wangesema nini kimeniua
Sio rahisi kufa ila kuchanika kinyeo huwa ni very prone, hata hivyo kwa wewe haijaishia hapo sababu umeweka gundi nyingi sana tumboni kwa ngano nyeupe ulokuwa ukiila. Cha muhimu kula sana mboga mboga za majani na matunda hasa parachichi na mapapai pia kula sana kachumbari.
 
aya pole mkuu,, tafuta io dawa alokwambia vincenzo itakusaidia,,usizidshe dozi utakuja humu tena kuomba ushauri,,ukipata choo laini tu acha kunywa
aya pole mkuu,, tafuta io dawa alokwambia vincenzo itakusaidia,,usizidshe dozi utakuja humu tena kuomba ushauri,,ukipata choo laini tu acha kunywa
Huyo jamaa jau sana ujue
 
Sio rahisi kufa ila kuchanika kinyeo huwa ni very prone, hata hivyo kwa wewe haijaishia hapo sababu umeweka gundi nyingi sana tumboni kwa ngano nyeupe ulokuwa ukiila. Cha muhimu kula sana mboga mboga za majani na matunda hasa parachichi na mapapai pia kula sana kachumbari.
Mkuu ukichanika inakuaje an..
Unachanika msamba au unachanika kabisa an
Mbona naanza kuogopa mana hata kutoa upepo naogopa nahisi kama bado yalibaki
 
Back
Top Bottom