Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nimekuelewaMimi siumwi mkuu sawa
Aaaaah sawa sawa mkuu mi kwa sasa takula kila mnachosema madaktari wanguSijaungana nae bwan,,ila nasemea bawasili ukiacha ikupate kupona ni ngumu
Duuuh sawa sawa mkuu sema nashukuru mungu sijachanika..
Na hata ningechanika ingekua siri yangu... View attachment 3071406😀😀tunaaminije sasa hukuchanika
Sentensi ya mwisho wakubwa tumeelewa.Duuuh sawa sawa mkuu sema nashukuru mungu sijachanika..
Na hata ningechanika ingekua siri yangu... View attachment 3071406
we tafuta tu io dawa basiAaaaah sawa sawa mkuu mi kwa sasa takula kila mnachosema madaktari wangu
Paka sana ila yakikukuta mkuu utajua ujuiSkonzi unapaka blueband tu Mkuu
😀😀Starehe ikageuka ghadhabuMkuu acha kabisa sipo kule nipo huku mbali mno
Mkuu naimani wewe ni mtu na heshima zako...Sentensi ya mwisho wakubwa tumeelewa.
Usisahau kula na ndizi pia kulainisha kinyeoWanasmaje mkuu kuna mambo bila D mbili huelewi ila hili mkuu ombea lisikukute shukuru Mungu umekunywa maji...
Lisaa limoja na dakika 17 lilikua kama miaka mitatu kwangu
Hii hali ingemkuta jerry leo ange ghailisha pepa😀😀Starehe ikageuka ghadhabu
Looh pole yake Fundi manyumba
Kuwa na maneno ya stara banaUsisahau kula na ndizi pia kulainisha kinyeo
Nipo hapa nakula mihogo unanishaurije mkuumoshathedoniaa jiheshumu wewe...
Unataka uamini ili iweje
Manyanza ndugu yangu katika imani...Looh pole yake Fundi manyumba
Ina maana kinyesi kilikuwa hakitoki?Wanasmaje mkuu kuna mambo bila D mbili huelewi ila hili mkuu ombea lisikukute shukuru Mungu umekunywa maji...
Lisaa limoja na dakika 17 lilikua kama miaka mitatu kwangu
Ahahaha scale ipo hiviNipo hapa nakula mihogo unanishaurije mkuu
Mkuu hakitoki... Hakitoki haitokiIna maana kinyesi kilikuwa hakitoki?