Saa moja na dakika 17

Saa moja na dakika 17

Wakuu habari za mda huu.

Natumai wote wazima na tunaendelea vizuri na majukumu yetu.

Hata hivyo mi mzima japo jana mida ya saa 4 usiku nilikutana na changamoto ambayo imenifanya nije hapa kuwapa tahadhari wenzangu.

Wanasema haya mambo hayamkuti nyani.

Kama mimi jana yalinikuta basi hata wewe kesho yanaweza kukukuta.

Wakuu naongea haya na maanisha wakuu namaanisha shika haya nayosema.

1- Epuka kula ngano(skonzi,mkate)

2- kunywa maji ya kutosha

3- Ukihisi haja nenda mda huo huo


Wakuu hivo vipengele hapo juu najua mmesoma fasta fasta ila nakuomba rudia maana hii hali inapokufika unakua wewe peke yako.

Jamani tunywe maji.Wanaposema maji ni muhimu kwa mwili wa binadamu hawajakosea jama..

Kilichonitokea mimi jana naapa sitojihusisha tena na kula ngano..(dry mkate) wakuu mara kumi unywe maji ulale tuu ila ngano (ney)

Mpaka sasa nipo hai nashukuru Mungu alhamdulillah maana ile kitu lisaa limoja na dakika 17 napambania ,,hapana mpka nimetoka mzima naimani mungu ana makusudio yake.
Asanteni.

Maji ni muhimu kwa binadamu.. ninyime mkate nipe maji.
Kwa hiyo ilikuwaje sasa?. Ulishindwa kukata gogo?
Ulipata a..l fissure? Au U...zi ulikuzidia?
Funguka bwashee
 
Hiyo haiwezi kuwa sababu ya kukutia hofu kiasi hicho maana tatizo uliloliweka bayana hapa barazani linatatulika ndani ya nusu saa kwa mchakato unaoitwa kwa kiinglish...
" Digital dis impaction procedure" .... Hivyo tu yaani! 😆😁
 
Hiyo haiwezi kuwa sababu ya kukutia hofu kiasi hicho maana tatizo uliloliweka bayana hapa barazani linatatulika ndani ya nusu saa kwa mchakato unaoitwa kwa kiinglish...
" Digital dis impaction procedure" .... Hivyo tu yaani! 😆😁
Mkuu nipo tayar hapa kutoa dau..
Sema hiyo njia kama umeshikwa na ile hali na upo peke yako umebananizwa ni wewe tuuu peke ako
 
Wakuu habari za mda huu.

Natumai wote wazima na tunaendelea vizuri na majukumu yetu.

Hata hivyo mi mzima japo jana mida ya saa 4 usiku nilikutana na changamoto ambayo imenifanya nije hapa kuwapa tahadhari wenzangu.

Wanasema haya mambo hayamkuti nyani.

Kama mimi jana yalinikuta basi hata wewe kesho yanaweza kukukuta.

Wakuu naongea haya na maanisha wakuu namaanisha shika haya nayosema.

1- Epuka kula ngano(skonzi,mkate)

2- kunywa maji ya kutosha

3- Ukihisi haja nenda mda huo huo


Wakuu hivo vipengele hapo juu najua mmesoma fasta fasta ila nakuomba rudia maana hii hali inapokufika unakua wewe peke yako.

Jamani tunywe maji.Wanaposema maji ni muhimu kwa mwili wa binadamu hawajakosea jama..

Kilichonitokea mimi jana naapa sitojihusisha tena na kula ngano..(dry mkate) wakuu mara kumi unywe maji ulale tuu ila ngano (ney)

Mpaka sasa nipo hai nashukuru Mungu alhamdulillah maana ile kitu lisaa limoja na dakika 17 napambania ,,hapana mpka nimetoka mzima naimani mungu ana makusudio yake.
Asanteni.

Maji ni muhimu kwa binadamu.. ninyime mkate nipe Hay

Wakuu habari za mda huu.

Natumai wote wazima na tunaendelea vizuri na majukumu yetu.

Hata hivyo mi mzima japo jana mida ya saa 4 usiku nilikutana na changamoto ambayo imenifanya nije hapa kuwapa tahadhari wenzangu.

Wanasema haya mambo hayamkuti nyani.

Kama mimi jana yalinikuta basi hata wewe kesho yanaweza kukukuta.

Wakuu naongea haya na maanisha wakuu namaanisha shika haya nayosema.

1- Epuka kula ngano(skonzi,mkate)

2- kunywa maji ya kutosha

3- Ukihisi haja nenda mda huo huo


Wakuu hivo vipengele hapo juu najua mmesoma fasta fasta ila nakuomba rudia maana hii hali inapokufika unakua wewe peke yako.

Jamani tunywe maji.Wanaposema maji ni muhimu kwa mwili wa binadamu hawajakosea jama..

Kilichonitokea mimi jana naapa sitojihusisha tena na kula ngano..(dry mkate) wakuu mara kumi unywe maji ulale tuu ila ngano (ney)

Mpaka sasa nipo hai nashukuru Mungu alhamdulillah maana ile kitu lisaa limoja na dakika 17 napambania ,,hapana mpka nimetoka mzima naimani mungu ana makusudio yake.
Asanteni.

Maji ni muhimu kwa binadamu.. ninyime mkate nipe maji.
Haya ma ngano ya karne zetu cjui yanakitu gan , huko nyuma si ndo ngano ilikuwa chakula mama ,mikate migumu unakula na zabibu au tende imeisha lakin hizi zetu hata ule na asali lazima kikurambe ukiwa chooni...
 
Haya ma ngano ya karne zetu cjui yanakitu gan , huko nyuma si ndo ngano ilikuwa chakula mama ,mikate migumu unakula na zabibu au tende imeisha lakin hizi zetu hata ule na asali lazima kikurambe ukiwa chooni...
Sio kukuramba tuu tu kukusurubisha mkuu we fikilia ngoma lisaaa limoja ipo loaded tuuu
 
Sio kukuramba tuu tu kukusurubisha mkuu we fikilia ngoma lisaaa limoja ipo loaded tuuu
tabu inakuja mzigo unauskia kabisa upo ukiinuka lakin ukikaa ushushe ndo utajuta ,labda iyo choo yako iwe ya master,lakin ile ya choo ya changanyiken utakuta notes kwa mwenye mjengo
 
Wakuu habari za mda huu.

Natumai wote wazima na tunaendelea vizuri na majukumu yetu.

Hata hivyo mi mzima japo jana mida ya saa 4 usiku nilikutana na changamoto ambayo imenifanya nije hapa kuwapa tahadhari wenzangu.

Wanasema haya mambo hayamkuti nyani.

Kama mimi jana yalinikuta basi hata wewe kesho yanaweza kukukuta.

Wakuu naongea haya na maanisha wakuu namaanisha shika haya nayosema.

1- Epuka kula ngano(skonzi,mkate)

2- kunywa maji ya kutosha

3- Ukihisi haja nenda mda huo huo


Wakuu hivo vipengele hapo juu najua mmesoma fasta fasta ila nakuomba rudia maana hii hali inapokufika unakua wewe peke yako.

Jamani tunywe maji.Wanaposema maji ni muhimu kwa mwili wa binadamu hawajakosea jama..

Kilichonitokea mimi jana naapa sitojihusisha tena na kula ngano..(dry mkate) wakuu mara kumi unywe maji ulale tuu ila ngano (ney)

Mpaka sasa nipo hai nashukuru Mungu alhamdulillah maana ile kitu lisaa limoja na dakika 17 napambania ,,hapana mpka nimetoka mzima naimani mungu ana makusudio yake.
Asanteni.

Maji ni muhimu kwa binadamu.. ninyime mkate nipe maji.
Ngano ni chakula muhimu sana katika mwili wa binadamu,pia ina virutubishi vingi sana vinavyochagiza ujengaji mwili.
Ila je hiyo ngano unailaje!?
Mbona sisi daily asubuhi mkate ndio kitafunwa cha chai maisha huwenda sawia!?
 
tabu inakuja mzigo unauskia kabisa upo ukiinuka lakin ukikaa ushushe ndo utajuta ,labda iyo choo yako iwe ya master,lakin ile ya choo ya changanyiken utakuta notes kwa mwenye mjengo
Ndo mana nikaenda saa 4 kwa hapa watu huwa washalala..

Alafu mkuu kuna mda ngoma ili load hado kati kati mzee ikagoma hapo hapo haitaki kurudi haitaki kwenda...

Ukisema uikate utachagua wewe sasa mana sio kwa maumivu yale
 
Ngano ni chakula muhimu sana katika mwili wa binadamu,pia ina virutubishi vingi sana vinavyochagiza ujengaji mwili.
Ila je hiyo ngano unailaje!?
Mbona sisi daily asubuhi mkate ndio kitafunwa cha chai maisha huwenda sawia!?
Ahahaha mimi nilikua natumia kutwa mara tatu... Na juisi tu
 
Back
Top Bottom