Al-mukheef
JF-Expert Member
- Feb 2, 2025
- 3,727
- 3,777
Kama ni mama ake mzazi jeYaan alikuwq mtu muhimu kushinda mimi, si ndomana nikaambiwa nikate
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama ni mama ake mzazi jeYaan alikuwq mtu muhimu kushinda mimi, si ndomana nikaambiwa nikate
We hukumpenda sister yetu ww 😹😹🙌🏾Siwezi kusamehe upuuzi mie😕, nishasonga mbele
Kutokuwa na pesa Ata mbususu upewi ukiwa na pesa usipo mpeleka moto akitoka utasifiwa sifa zote 😹😹 pesa tamu wwNgoja nikuulize swali... Unahisi kipi kinaleta dharau zaidi.... Kati ya kutokuwa na pesa kwa mpenzi wako au kushindwa kumpelekea moto kisawasawa?
Ila Mapenzi haya Jamani 😅 kwa hiyo ulimtambulisha kabisa 😅😅😅😅😭😭Yaan alikuwq mtu muhimu kushinda mimi, si ndomana nikaambiwa nikate
Nilipokuwa kwenye 20s, 30s, ilinipa kazi sana, kuumizwa na wanawake, Ila baadae,nilielewa codes, I, could smell a go digger, miles away! Akifungua mdomo tu, na, kuanza kuongea, body languages, najua kabisa hapa nitapigwa na kitu kizito,"navaa kabisa element"Alikuwa ni mpenzi wangu, dem wangu, nilimpenda sana kwa ghafla, nilipoanza nae mahusiano muda mchache tu nikaanza kupanga plan nyingi za kutimiza nae malengo fulani katika maisha,
Nikaanza kuwa na mawazo ya kutamani awe mke wangu siku moja, nikaanza kumtambulisha kwa ndugu na marafiki zangu wale muhimu.
Nikaenda kwa mama yangu mzazi nikamwambia kuna binti nitamleta kwako siku si nyingi, nafikili anafaa kuwa mke wangu siku chache zijazo, mama akaniambia mlete nimuone mwanangu.
Kabla siku ya kumpeleka kwa mama kufika, ikafika siku moja ambayo sinto isahau,
Iyo siku nilimpigia simu mida ya saa tano usiku na kuongea nae kwenye simu kwa muda wa lisaa lizima, haikuwa kawaida kuongea nae usiku kwa muda mrefu maana kila siku nilikuwa napata muda wa kukaa nae sehemu jirani na kwao tunakaa tunapiga story kwa masaa mawili au limoja then tunaachana naenda zangu home kwangu, yale mambo muhimu yote huwa naongea nae muda huo, ikatokea kama dharula siku ile nikawa na jambo la kuongea nae kwenye simu kwa muda mrefu sana,
Basi bwana kilichotokea siku iyo kiliuumiza moyo wangu kwa kiasi kikubwa na ghafla nikasitisha kila kitu nilichokipanga juu yake, nikasitisha na mahusiano pia tangia siku ile,
Ni pale aliponiambia baby please naomba ukate simu mara moja kuna mtu anapiga then nitakuchek😭😭💔🙄
Saa sita usiku🙄mtu muhimu kushinda mimi anakupigia simu mie nikate😳
Unakaa kwenu kwa wazazi wako, mtu muhimu kushinda mie ni baba yako na mama yako.... Lakini hao unakaa nao nyumbani kwenu,
Nikasema sasa ngoja nianze kumchunguza kwa kina uyu binti kabla sijaingia mkenge, nikaanzisha ratiba ya kumpigia simu usiku saa tano mpaka sita, simu za mara kwa mara kila siku, Nilichokikuta binti simu yake ilikuwa inatumika sana nyakati hizo za usiku,
Kwangu ikawa sababu tosha kabisa kuachana nae pia nikamshukuru mungu kwa kunionyesha ile picha mapema, maana mbali na vile nilikuwa nataka kuoa mpenzi wa mtu kizembe kabisa yan😕
Saa sita usiku🙄Akaniambia kata simu kuna mtu ananipigia mara moja😭
Askarimaji