Saa zingine vaa vizuri ingia town ulizia bei za magari ili uushtue "umasikini" sio kukaakaa kizembe?

Saa zingine vaa vizuri ingia town ulizia bei za magari ili uushtue "umasikini" sio kukaakaa kizembe?

Mkogoti

TAPELI Mkubwa
Joined
May 3, 2020
Posts
2,415
Reaction score
3,924
Nenda ulizia viwanja, matrekta, nyumba na n.k unaona kabisa hii kuipata sio leo lakini jitahidi muda fanya hivyo acha kukaa kizembe unafikiri hela zinakujaje.

Inatakiwa uuchangamshe umaskini wako na watu mijini humo unapoishi wawe kidogo na wasi wasi na wewe waone huyu mtu sio mchezo mchezo kumbe hata anaweza kununua hiki, acha kushangaa shangaa mjini hapa kuku we🤣 😅

Weka imani na kitu flani, zungukia kukiulizia acha kumzungukia kila siku Mwajuma wa Mtaa wa pili bata we😜 Route zako ziamishie Kwenye jambo lako lenye tija.

Sasa kama nimefoka shauri yenu, mimi naenda na niwatakie siku njema na Jumapili njema 🙏

🤦🤪🏃
 
Upo sahihi kabisa mkuu, wakati mwingine unaweza ukawa umejikatia tamaa kwa kudhani vitu fulani haviwezekani, siku ukithubutu utashangaa mpaka njia za kufanikisha zinaanza kujisort out zenyewe, hakika penye nia pana njia.
 
Nenda ulizia viwanja, matrekta, Nyumba na n.k unaona kabisa hii kuipata sio leo lakini jitahidi muda fanya hivyo Acha kukaa kizembe unafikiri hela zinakujaje.

Inatakiwa uuchangamshe umaskini wako na watu mijini humo unapoishi wawe kidogo na wasi wasi na wewe waone huyu mtu sio mchezo mchezo kumbe ata anaweza kununua hiki, acha kushangaa shangaa mjini hapa kuku we🤣 😅

Weka imani na kitu flani zungukia kukiulizia acha kumzungukia kila siku Mwajuma wa Mtaa wa pili bata we😜 Route zako ziamishie Kwenye jambo lako lenye tija,

Sasa kama nimefoka shauli yenu mimi naenda na Niwatakie Siku Njema na jumapili njema 🙏

🤦🤪🏃
Jitahidi uwe na hela kiasi kwamba ukipita showroom au sehemu wanauza hivyo viwanja unatabasamu kwasababu unajua unaweza kununua showroom nzima au viwanja au hizo nyumba!
 
Jitahidi uwe na hela kiasi kwamba ukipita showroom au sehemu wanauza hivyo viwanja unatabasamu kwasababu unajua unaweza kununua showroom nzima au viwanja au hizo nyumba!
Sawa, ila i hope umeelewa msingi wa bandiko lake. Ni kama dokta Shika alivyoushtua umaskininkwa kutaka kununua nyumba za Lugumi wakati hana hata baiskeli, na kama isingekuwa umri wake mkubwa, basi angetoboa bigtime, one way or the other
 
Nenda ulizia viwanja, matrekta, nyumba na n.k unaona kabisa hii kuipata sio leo lakini jitahidi muda fanya hivyo acha kukaa kizembe unafikiri hela zinakujaje.

Inatakiwa uuchangamshe umaskini wako na watu mijini humo unapoishi wawe kidogo na wasi wasi na wewe waone huyu mtu sio mchezo mchezo kumbe ata anaweza kununua hiki, acha kushangaa shangaa mjini hapa kuku we🤣 😅

Weka imani na kitu flani zungukia kukiulizia acha kumzungukia kila siku Mwajuma wa Mtaa wa pili bata we😜 Route zako ziamishie Kwenye jambo lako lenye tija,

Sasa kama nimefoka shauli yenu mimi naenda na niwatakie siku njema na jumapili njema 🙏

🤦🤪🏃
Yeeees, fake it till you make it 🤣🤣🤣🤣

Kama wrestling vile *****
 
Uthubutu
20200830_093735.jpg
 
Umeandika kama masihara ila me nayaishi sana haya maisha na imenisaidia sana katika mfumo wangu wa maisha.

Nimejikuta namiliki vitu vikubwa ambavyo sikuvitaraji Mwanzo, na hii ilitokana na kujiwekea mipaka na matabaka kwamba kuna vitu ni vya watu flani sisi wengne hatustahili
 
Back
Top Bottom