Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu ukiitoa matairi na milango inakuwa shingapi..?bei ya chuma hicho
sijakuelewa 😳Mkuu ukiitoa matairi na milango inakuwa shingapi..?
Sasa hela haziji bila kuchukua hatua kuendana na visualization yako,la sivyo utaishia tu kwenye 'procrastination'.ni kama hayati Dr Shika..alikuwa na ujasiri wa kununua nyyumba za lugumi maana alijua kabisa zie hela zake one day zitakuja
Naona Moderator wameondoa post yangu.Sina hatia mama!
joshua_ok amekuzidi maendeleo.
Mwenzio ana mjengo Kerege, gari la kuendea ofisini! Wewe una nini, maphumbu?
Narudia: Sina hatia mama!
Naona Moderator wameondoa post yangu.
Ila wewe Mpk nikutoe Nyaa na Hizo ID zako nyingi nyingi ndipo tutaelewana.
Basi mumeo ana hatia.Sina hatia mama!