Saalah (Silent Ocean): Anavyotakatisha na kutorosha pesa nchini, Uhujumu Uchumi, Kuteka na Kutesa watu, anavyolindwa na viongozi

Saalah (Silent Ocean): Anavyotakatisha na kutorosha pesa nchini, Uhujumu Uchumi, Kuteka na Kutesa watu, anavyolindwa na viongozi

Aione mama samia najua sahizi anapitia JF taratiibu.
Mi nasema ni mtihani wake. Hebu mama fanya kitu. Hawa ndio matajiri jpm alisema anaweza wafanya lolote. Kama transfer ya fedha za kigeni wanahujumu kwa mifumo yao binafsi uchumi wa nchi utakua unahujumiwa. Kutakua na ukwepaji mkubwa wa kodi na nchi kukosa fedha ya kigeni.
 
We jamaa unazijua Hz mambo kweli , kitendo cha Salaah kurudisha hela kitatengeneza ushahidi wa hii skendo mana jamaa ashaanza kutapa tapa mara polisi sjui wapi, yeye aliamua kuimaliza kibabe ,..... Amesaidiwa kujua mwizi wa hela angeongea na salaah vziru amsaidie ili huyo kenge aliyekula hela atapike mtonyo wote , badala yake akakimbilia polisi , huko siyoo , hzi issue mnamalizana kimya kimya , polisi mtaanza upelelezi wa kijinga mwisho jamaa atorokee Burundi
Aliye kwenda polisi ni yule aliyebinywa. Police ikabidi wawaite wore. Yaani Eliud kama mtuhumiwa no 1, Salaah mtuhumiwa na 2
 
kuna wakati wabongo tuache unyonge, ukionewa, nawewe mtafutie gap malizana naye kibabe hata ukienda jela unakuwa umeacha msiba kwao...

JIfunze kushika gun na kupiga, kodisha au nunua chuma, mvizie malizana naye kiroho safi.... wengine watajifunza na kuacha uonevu..

Huyu unakwenda hata kuswali naye msikitini akiwa amefunga zake swala naye unamtanguliza, inakuwa imeisha hiyo.
Tukipatikana kama sisi 10 tunatengeneza jeshi letu
 
Ndio maana tunasemaga duniani hamna cha haki zaidi ya kifo tu. Mtu anavimba kuwa atakunyoosha na akiamua anakunyoosha na huna pa kwenda kupumulia maana huko polisi kwenyewe kashikilia kituo kizima.
Sasa nini maana ya kuwepo kwa vyombo vya sheria kama kila kitu unatumia uninja?

Tatizo hawa matajiri wanatumia silaha kubwa sana kudili na watu ambao wanajua kabisa hawana uwezo wa ku fight back.

Kama una power serikalini why uanze kuhangaika na kumtesa mtu mpaka uathiri maumbile yake ashindwe ku-erect?

Hawa matajiri ni miyeyusho sana halafu umafia huu huwezi kumkuta anamfanyia mkubwa mwenzake kwasababu anajua tu hata ukim time bado ana backup ambayo itakuja kumlipia revenge at any time at any cost.
 
Hii nchi ina mengi sana! Ukiangalia uzito wa vyombo vyetu alafu inatokea few people wanaweza kufanya lolote kwa yeyote bila woga inaogopesha sana! Leo kwa huyu kesho kwangu au nduguyo!

Tunahitaji umoja kujisimamia na kujitetea.

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
TISS hawana msaada kwa hii nchi, ndio maana Bei ya chakula imepanda hovyo
 
Uaminifu ni kitu ambacho sisi tumekuwa tukifeli

Mtaani kuna dogo anakibanda cha makuti anauza utumbo wa ng'ombe kipo eneo moja na parking ya bodaboda

Huyo dogo nimemshuhudia mara kibao akiwasaidia hao madereva bodaboda kuwapa utumbo for free na kuwachangia unga wawe wanapika kijiweni.

Lakini juzi dogo kaacha simu kwenye kibanda akaongozana na mteja kwenda kuomba chenji dukani.

Anarudi anashangaa simu haipo, kila bodaboda aliyekuwa pale akiulizwa anakataa anasema sio mimi.

Kumbe wao ndio wamechukua simu halafu wakawa wanataka dogo awape 15K ndio wamrudishie.

Dogo ikabidi atoe hiyo 15K kwasababu ndio simu anayotegemea kufanya request ya mzigo kwenye biashara yake.

Mtaji wa biashara hata 40K haufiki, fikiria faida ni kiasi gani halafu muda huo 15K imetolewa nje ya hesabu ku-rescue simu.

Baada ya siku mbili kupita Brother mmoja ndio alijitokeza kuwakemea wale bodaboda na kunyang'anya simu ya mmoja wao na kusema hairudishi mpaka wamrudishie dogo 15K yake.

Ndio hapo wakairudisha 15K
Hao ndio waswahili bwana. Huwa hawana shukurani hata kidogo ndio maana huwa wanalimwa kisago tu.
 
Mi naona hawa mbwa wana mizizi inayo run deep hadi ikulu, hata Rais hana la kuwafanya hawa wahuni, na akikaza shingo ataondoka yeye, hapa ndipo tunamkumbuka mwamba, Jiwe, JPM
Hawana ubavu wa kumtoa raisi. Labda wapate ushirikiano na assasins! Raisi akiamua anawatimua dakika 0 tu sababu yeye ndio final say. Shida ni yule mstaafu nae ana maslahi na hao wahuni ndio ugumu unapoanzia.
 
Ila hapo kwenye black market. Pamenyooka mno.

TRA wanaweza fanya back tracing ya baadhi tu ya wafanyabiashara kuona uhalisia wake. Hapa kuna kodi kubwa sana inakwepwa.

BOT pia wakiwa wasimamizi wa fedha, hii ni rahisi sana kuithibisha.
Nchi inaupungufu wa dola, huko benki tunauziwa mwisho USD 3,000 hadi 5,000 kwa siku.

Kumbe kuna uhuni mkubwa unafanyika. Benki zinapambana na walalahoi kutafuta ukwasi, kumbe kuna mtu anabenki getoni kwake.
Hahahahah unajidai unafanya kazi benki wenzako Wana benki zao getoni kwao
 
mtu anakupa maisha unamuibia tena pesa nyingi,mtu mwingine anapoteza wao na bamdogo wao wa bima.
Hyo dogo Eliud hayupo serious kabisa yw ndio alitakiwa ampelekee moto kijana wake na we makini na mali...

Alichofanya Salah sawa tu ukitaka kuwa tajiri narudia tajiri lazma uwe na roho mbaya watu wajue hauingiliki ukicheka cheka unafilisika.....
 
Ndio maana mnafeli mitihani


Point hapa jamaa hajakataa kurudisha hela ya Huyo Salaah Ila huyo salaah amechukua hela yote Hadi mtaji aliomkuta nao akiwa na biashara ya Kufanya miamala.


Muwe mnasoma vitu with Comprehension skills
Ndugu ndio maana kuna watu wanakuwa wa mwisho darasani. Kakurupuka bila kusoma.
Hata angemuacha aendelee kufanya biashara huku analipa dogo alikuwa tayari.

Sema ndio hivyo alitumia ubabe. Kwani wangapi wanapata hasara?

Na ndio maana alienda kujisalimisha ili waweze weka utaratibu mzuri?
 
dogo kaona hela nyingi kwenye droo kahisi zote zake akaona aagize Vougue ya kulia bata,tamaa.
Hahahahahah sasa Insta kila mtu si anavimba! Ila bwana uaminifu ni kitu kikubwa sana katika maisha. Ubaya Tanzania kila kukicha tunazidi kuipoteza hio quality. Hela ambayo sio yako kwanini uifuje?

Yeye utakuta ndio wale vinara wa kulipia bill za million million Kidimbwi, Juliana, Elements na Samaki Samaki. Bila yeye squad yake haitambi weekend.

Tamaa ya maisha makubwa na ustaa vinapoteza vijana wengi sana mjini.
 
kuna wakati wabongo tuache unyonge, ukionewa, nawewe mtafutie gap malizana naye kibabe hata ukienda jela unakuwa umeacha msiba kwao...

JIfunze kushika gun na kupiga, kodisha au nunua chuma, mvizie malizana naye kiroho safi.... wengine watajifunza na kuacha uonevu..

Huyu unakwenda hata kuswali naye msikitini akiwa amefunga zake swala naye unamtanguliza, inakuwa imeisha hiyo.
Mi binafsi nashukuru nilienda JKT nikapata kauzoefu kidogo kwa kufyatua risasi kwenye smh 56 risasi tatu.[emoji28]
 
Cha kufanya mngeenda kwa mzee Yusuf Makamba nadhani atawasaidia ikiwa atakubali

Mzee Yusuf Makamba ni miongoni katika waTanzania wachache wenye nguvu sana ndani ya CCM na nchi hii kiujumla na kama unabisha ungeweza kumuuliza Hayati JPM angekuambia
Wakimbilie kwa Jakaya tu, mbona kesi inatulizwa freshi ila wakimvimbia ni ngumu kutoboa. Jamaa anaweza akawala vichwa kabisa na ikabaki story tu.
 
Back
Top Bottom