kmbwembwe
JF-Expert Member
- Aug 16, 2012
- 10,892
- 7,780
Mi nasema ni mtihani wake. Hebu mama fanya kitu. Hawa ndio matajiri jpm alisema anaweza wafanya lolote. Kama transfer ya fedha za kigeni wanahujumu kwa mifumo yao binafsi uchumi wa nchi utakua unahujumiwa. Kutakua na ukwepaji mkubwa wa kodi na nchi kukosa fedha ya kigeni.Aione mama samia najua sahizi anapitia JF taratiibu.