Mi nasema ni mtihani wake. Hebu mama fanya kitu. Hawa ndio matajiri jpm alisema anaweza wafanya lolote. Kama transfer ya fedha za kigeni wanahujumu kwa mifumo yao binafsi uchumi wa nchi utakua unahujumiwa. Kutakua na ukwepaji mkubwa wa kodi na nchi kukosa fedha ya kigeni.Aione mama samia najua sahizi anapitia JF taratiibu.
Aliye kwenda polisi ni yule aliyebinywa. Police ikabidi wawaite wore. Yaani Eliud kama mtuhumiwa no 1, Salaah mtuhumiwa na 2We jamaa unazijua Hz mambo kweli , kitendo cha Salaah kurudisha hela kitatengeneza ushahidi wa hii skendo mana jamaa ashaanza kutapa tapa mara polisi sjui wapi, yeye aliamua kuimaliza kibabe ,..... Amesaidiwa kujua mwizi wa hela angeongea na salaah vziru amsaidie ili huyo kenge aliyekula hela atapike mtonyo wote , badala yake akakimbilia polisi , huko siyoo , hzi issue mnamalizana kimya kimya , polisi mtaanza upelelezi wa kijinga mwisho jamaa atorokee Burundi
Tukipatikana kama sisi 10 tunatengeneza jeshi letukuna wakati wabongo tuache unyonge, ukionewa, nawewe mtafutie gap malizana naye kibabe hata ukienda jela unakuwa umeacha msiba kwao...
JIfunze kushika gun na kupiga, kodisha au nunua chuma, mvizie malizana naye kiroho safi.... wengine watajifunza na kuacha uonevu..
Huyu unakwenda hata kuswali naye msikitini akiwa amefunga zake swala naye unamtanguliza, inakuwa imeisha hiyo.
Sasa nini maana ya kuwepo kwa vyombo vya sheria kama kila kitu unatumia uninja?
Tatizo hawa matajiri wanatumia silaha kubwa sana kudili na watu ambao wanajua kabisa hawana uwezo wa ku fight back.
Kama una power serikalini why uanze kuhangaika na kumtesa mtu mpaka uathiri maumbile yake ashindwe ku-erect?
Hawa matajiri ni miyeyusho sana halafu umafia huu huwezi kumkuta anamfanyia mkubwa mwenzake kwasababu anajua tu hata ukim time bado ana backup ambayo itakuja kumlipia revenge at any time at any cost.
TISS hawana msaada kwa hii nchi, ndio maana Bei ya chakula imepanda hovyoHii nchi ina mengi sana! Ukiangalia uzito wa vyombo vyetu alafu inatokea few people wanaweza kufanya lolote kwa yeyote bila woga inaogopesha sana! Leo kwa huyu kesho kwangu au nduguyo!
Tunahitaji umoja kujisimamia na kujitetea.
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Wabongo walivyo na tamaa ya maisha makubwa ya kutambishiana Insta akiona upenyo wa kudokoa hawezi kukuacha lazma ulie tu π€£π€£π€£Pius ni fala sana unaaminije mtu unaacha afanye kazi bila kufatilia??alifanya biashara kizembee mnoo
Wivu tu umetujaa watz,Kijana PIUS ni mwizi na ndio alieharibu kila kitu, Lakini bado wachangiaji wanamuona alikua sawa tu na wanashutumuu wengine.
Asilimia kubwa ya Matajiri huwa ni mamafia, Unapopoteza hela yake ujue kuwa hayatakuwa madogo, hiyo kanuni inaeleweka kabisa.
Hao ndio waswahili bwana. Huwa hawana shukurani hata kidogo ndio maana huwa wanalimwa kisago tu.Uaminifu ni kitu ambacho sisi tumekuwa tukifeli
Mtaani kuna dogo anakibanda cha makuti anauza utumbo wa ng'ombe kipo eneo moja na parking ya bodaboda
Huyo dogo nimemshuhudia mara kibao akiwasaidia hao madereva bodaboda kuwapa utumbo for free na kuwachangia unga wawe wanapika kijiweni.
Lakini juzi dogo kaacha simu kwenye kibanda akaongozana na mteja kwenda kuomba chenji dukani.
Anarudi anashangaa simu haipo, kila bodaboda aliyekuwa pale akiulizwa anakataa anasema sio mimi.
Kumbe wao ndio wamechukua simu halafu wakawa wanataka dogo awape 15K ndio wamrudishie.
Dogo ikabidi atoe hiyo 15K kwasababu ndio simu anayotegemea kufanya request ya mzigo kwenye biashara yake.
Mtaji wa biashara hata 40K haufiki, fikiria faida ni kiasi gani halafu muda huo 15K imetolewa nje ya hesabu ku-rescue simu.
Baada ya siku mbili kupita Brother mmoja ndio alijitokeza kuwakemea wale bodaboda na kunyang'anya simu ya mmoja wao na kusema hairudishi mpaka wamrudishie dogo 15K yake.
Ndio hapo wakairudisha 15K
Hawana ubavu wa kumtoa raisi. Labda wapate ushirikiano na assasins! Raisi akiamua anawatimua dakika 0 tu sababu yeye ndio final say. Shida ni yule mstaafu nae ana maslahi na hao wahuni ndio ugumu unapoanzia.Mi naona hawa mbwa wana mizizi inayo run deep hadi ikulu, hata Rais hana la kuwafanya hawa wahuni, na akikaza shingo ataondoka yeye, hapa ndipo tunamkumbuka mwamba, Jiwe, JPM
Sahihi kabisaNafaham, shule ya Mnazi Mmoja ndipo mkabala na ofisi za CCM.
Nijuavyo, jengo la GSM ni ubavu kwa ubavu na jengo la CCM.
Hahahahah unajidai unafanya kazi benki wenzako Wana benki zao getoni kwaoIla hapo kwenye black market. Pamenyooka mno.
TRA wanaweza fanya back tracing ya baadhi tu ya wafanyabiashara kuona uhalisia wake. Hapa kuna kodi kubwa sana inakwepwa.
BOT pia wakiwa wasimamizi wa fedha, hii ni rahisi sana kuithibisha.
Nchi inaupungufu wa dola, huko benki tunauziwa mwisho USD 3,000 hadi 5,000 kwa siku.
Kumbe kuna uhuni mkubwa unafanyika. Benki zinapambana na walalahoi kutafuta ukwasi, kumbe kuna mtu anabenki getoni kwake.
Hyo dogo Eliud hayupo serious kabisa yw ndio alitakiwa ampelekee moto kijana wake na we makini na mali...mtu anakupa maisha unamuibia tena pesa nyingi,mtu mwingine anapoteza wao na bamdogo wao wa bima.
Ndugu ndio maana kuna watu wanakuwa wa mwisho darasani. Kakurupuka bila kusoma.Ndio maana mnafeli mitihani
Point hapa jamaa hajakataa kurudisha hela ya Huyo Salaah Ila huyo salaah amechukua hela yote Hadi mtaji aliomkuta nao akiwa na biashara ya Kufanya miamala.
Muwe mnasoma vitu with Comprehension skills
Hahahahahah sasa Insta kila mtu si anavimba! Ila bwana uaminifu ni kitu kikubwa sana katika maisha. Ubaya Tanzania kila kukicha tunazidi kuipoteza hio quality. Hela ambayo sio yako kwanini uifuje?dogo kaona hela nyingi kwenye droo kahisi zote zake akaona aagize Vougue ya kulia bata,tamaa.
Mi binafsi nashukuru nilienda JKT nikapata kauzoefu kidogo kwa kufyatua risasi kwenye smh 56 risasi tatu.[emoji28]kuna wakati wabongo tuache unyonge, ukionewa, nawewe mtafutie gap malizana naye kibabe hata ukienda jela unakuwa umeacha msiba kwao...
JIfunze kushika gun na kupiga, kodisha au nunua chuma, mvizie malizana naye kiroho safi.... wengine watajifunza na kuacha uonevu..
Huyu unakwenda hata kuswali naye msikitini akiwa amefunga zake swala naye unamtanguliza, inakuwa imeisha hiyo.
Wakimbilie kwa Jakaya tu, mbona kesi inatulizwa freshi ila wakimvimbia ni ngumu kutoboa. Jamaa anaweza akawala vichwa kabisa na ikabaki story tu.Cha kufanya mngeenda kwa mzee Yusuf Makamba nadhani atawasaidia ikiwa atakubali
Mzee Yusuf Makamba ni miongoni katika waTanzania wachache wenye nguvu sana ndani ya CCM na nchi hii kiujumla na kama unabisha ungeweza kumuuliza Hayati JPM angekuambia
π€£π€£π€£π€£Hii ndio mitihani anayotubebea Max! Ajabu ikiandikwa FB hawamfati Mark!
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
ππππNchi ina raisi kivuli anaye handle state matters ila international matters kuna mwalimu yuko kwa ajili ya hilo.
Obvious, nchi imara kiusalama haiwezi kuwa na mafian cartels zikatamba kiasi hichi!ππππ
Rais bendera sio.