FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
Salaah ana kosa lipi? Kuchukuwa chake?Kisaikolojia na kibiashara. Salaa hapo ndio mkosaji mkubwa tu Tena na weza Seema ulikua Kama mtego tuu. Huwezi jiitaa we mfanyabiashara unaye jali pesa zako. Je ulivyo kuwa unamkopesha 500M ulimkopesha kuanza biashara au kuendeleza je ni mkopeshaji gani ambaye anakopesha pesa mtu kuanza biashara mpya bila hatua za awali. Jamaa alijua mwisho wa siku madogo wataingia mtegoni na inaelekea ndio michezo yake michafu nyie someni Apo alipo Sema hapo iti itakugharimu ndio ujue jamaa alikua anajua mwisho anaumalizaje. Hawo jamaa huwezi walaamu Sana kwasababu huwezi jua wao na pesa nyingi wanausiano gani? Huyo jamaa ni muhuni tuu na dhulumati Kama kweli ni mtu safi wapige mahesabu vizuri tu kila mtu apate haki yake.
Mnomtete salaah acheni umafia jamaa alijua kuwa mwisho unakaaje huwezi sema alitoa pesa kiutu hapo.
Hayo mengine yote ni mpaambio ya fitna tu, msingi hapo ni pesa.
Wewe unafikiri mleta mada ana uchungu sana na mengine yanayoihusu kuibiwa serikali? Uchungu wake hapo ni kutemeshwa mzigo tu, kama yeye ni huyo Eliud, au kukatiwa line yake ya kuvuta kutoka kwa Eliud, kama yeye ni huyo Pius. Hakuna zaidi. Hamuwezi Salaah atamuweza Yussuf Makamba?
Huyo mleta mada mimi nimemuona fala na muongo aliposema uongo kuhusu jengo la GSM, kutia chumvi eti "kiwanja cha CCM alichowauzia Yussuf Makamba", wakati watu walioiuza nyumba hiyo kwa GSM wapo humuhumu JF.
Mleta mada ni ama Eliud ama Pius. Namshauri aseme ukweli tu utamuweka huru na arudi kidiplomasia kwa Salaah afunguliwe tena line ya biashara. Kama ataipata fursa hiyo tena.
Nakala: nokwenumuya