FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
Una hoja ipi hapo ya kujibiwa zanidi ya kuambiwa nenda kwa Salaah ukamchukulie wewe chenji, maneno mengi ya nini? Si fanya kwa vitendo. Au hupajuwi alipo Salaah?Wewe jadili hoja kwa hoja, kuniambia mimi niende nikamchukulie chenji ni kuishiwa hoja. Ni kwanini hamtaki kurudisha chenji takriban 235mil? #Chenjiirudi
Kashfa nzito Jeshi la Polisi
Nsato Marijani, Kamishna wa Operesheni na Mafunzo Jeshi la Polisi pamoja na vigogo wengine wa serikalini wanatuhumiwa kushindwa kumsaidia Mtanzania Abdulswamadu Zacharia Omary (36) anayedai kutendewa vitendo vya kikatili. Nsato Marijani, Kamishna wa Operesheni na Mafunzo Jeshi la Polisi...www.jamiiforums.com
Au umezowea porojo zisizo na tija? Wenzako kina Salaah watu wa action siyo maneno.