Saalah (Silent Ocean): Anavyotakatisha na kutorosha pesa nchini, Uhujumu Uchumi, Kuteka na Kutesa watu, anavyolindwa na viongozi

Mara nyingi wanaoishi kihalifu ndio huwa na desturi ya kuringishia bastola kwa mtindo huu. Tena sio moja hizo ni tatu.
 
Mara nyingi wanaoishi kihalifu ndio huwa na desturi ya kuringishia bastola kwa mtindo huu. Tena sio moja hizo ni tatu.

Kama ni kweli ayafanyayo basi hakina maana yoyote, ni ujinga, na Mwenyezi Mungu hapendi, ila mimi na wewe bado hatuna uhakika wa hilo isipokua tunayasikia tu.
 
Aliwafanya nn mpak wamfanyie hvyo kuna sababu
 
Afande nokwenumuya uko wapi ushujaa wako ?

Hivi ndivyo ulifunzwa kuja kuandika nyuma ya key body ?

Afande unahisi kwa huu ushahidi ulionao ukijitokeza adharani ukaeleza umma ujinga huu unahisi sheria haiwezi kuchukua mkondo wake .

Ikiwa umeapa kuilinda katiba na haki ya nchi yako na raia wake embu simama kuwa tayari kufa ila ukweli uifikie nchi yako na utatuliwe .

Nakuahidi kuwa hutokufa ikiwa utasimamia misingi ya kiapo chako na ikiwa utakufa basi umekufa kwenye haki .

Ila kueleza umma ikiwa ni ngumu kwako ila ukawa na uhakika wa kile usemacho ila unaamini wakubwa zako watamlinda muhusika basi tumia mkono wako kuipatia haki jamii yako .

Come on afande nokwenumuya
 
Wakati wa JK kuna askari alisanua Melissa ya China ilikuwa na meno ya tembo. Kumbe hakujua ni ya Mzee. Hadi leo hatujui alipo.
 
Kwakweli hapo mwenye shida kabisa ni PIUS..

Kama asingeendekeza tamaa zake za Kijinga wala yasingefika huku.

Watanzania tuna shida sana, mtu anakuibia lakini ukimchukulia hatua Yeye na Ndugu zake wanaungana kukulaumu kuwa huna Ubinadamu... Ubinadamu wa nini wakati wewe unanihujumu?
 
Wakati wa JK kuna askari alisanua Melissa ya China ilikuwa na meno ya tembo. Kumbe hakujua ni ya Mzee. Hadi leo hatujui alipo.
Usiwe na hofu za hivyo .
Huyo askari ni mzima wa afya yuko Kirando _ Sumbawanga mkoani Rukwa anafanya kazi kama kawaida .

Usiogope kupotea ila ogopa kutotenda haki maana ndiyo kiapo chako.

Kwani una udogo wa cheo kiasi cha kuogopa kueleza umma A-Z mpaka huhisi kupotezwa come on hayo mambo yalishapitwa na muda labda umistake kwingine ila sio kwenye kufichua uovu.
 
Hii issue Eliud aliikosea tangu mwanzo wake. Alishauliwa kuweka mahesabu sawa ila hakufanya.
Wanaoshauri mahakaha: issue ya Eliud na Salah (ku-kopeshana) haina vielelezo vya ushahidi wa kufungua kesi ya madai same as Eliud na Pius hakuna makabidhiano ya mali ktk yao ivyo kukosa vielelezo vya kufungua jinai.
Kuhusu change: Kuna uwezekano mkubwa Eliud alishindwa kuelewa mashart ya ule mkopo (maybe ulikuwa na interest) na ndiyo maana Eliud anahisi (kwani hana hesabu) kudhulumiwa.
Nawashauri wakae chini wayamalize (though yanaweza chukua Muda mrefu). Salah na Eliud ni washikaji waliozinguana bado wanaweza patana.
 
Tatizo ni huyo mmoja hataki kupigiana hesabu
 
Watanzania vumilieni kwa muda ....ninakuja kuwakomboa na kuuondoa huu mfumo....just a little bit longer...
 
Ikiwa umeapa kuilinda katiba na haki ya nchi yako na raia wake embu simama kuwa tayari kufa ila ukweli uifikie nchi yako na utatuliwe .
Atakufa kweli...

Usijifanye shujaa kwenye serikali corrupt, utakufa na utasahaulika...

Binafsi naona hata hiki alichofanya ni hatari kwake

Si unaona anasema Eliud alitishwa na Jamaa wa TISS

Usifikiri utani, akienda zaidi ya hapa atakufa na hakuna atakaejali.
 
Mkimalizana na SILENT OCEAN karibuni dollrubii_decors

SIsi ni wauzaji wa HomeDecors kwa bei nafuu zaidi kuliko wote karibu ujione.
KWA MAHITAJI YA
♦️PAZIA
♦️ MAUA NA MAPAMBO YA NDANI
♦️FURNITURE
♦️KITCHENWARE
TUNATUMA MIKOA YOTE🇹🇿
WHTAP|📞 0699306065
KARIBUNI SANA. FREE DELIVERY DAR

INSTAGRAM @dollrubii_decors
 
Na kwa kuwa majini hayapendi pombe na kitimoto, usiku huu napiga KVANT kubwa na Kitimoto kilo 2, yakija yanakutana na kitu hayapendi.
😂😂😂kama ni kweli basi hapo kuna hatari ukawa mlevi chapombe mazima,maana inabidi hiyo dozi iwe deile,ukiacha tu jini hili hapa,kudadeki zako,tena lile Maya LA mpemba wa UMUGHAKA 😂
 
Halafu huyu salah anaweza kumpata mtoa Uzi kiurahisi kupitia kwa bwana eliud,maana eliud ndo aloeleza kila kitu kwa mtoa Uzi, sasa hapa bwana kuruta aka koplo Mungu wetu na amlinde
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…