Afande
nokwenumuya uko wapi ushujaa wako ?
Hivi ndivyo ulifunzwa kuja kuandika nyuma ya key body ?
Afande unahisi kwa huu ushahidi ulionao ukijitokeza adharani ukaeleza umma ujinga huu unahisi sheria haiwezi kuchukua mkondo wake .
Ikiwa umeapa kuilinda katiba na haki ya nchi yako na raia wake embu simama kuwa tayari kufa ila ukweli uifikie nchi yako na utatuliwe .
Nakuahidi kuwa hutokufa ikiwa utasimamia misingi ya kiapo chako na ikiwa utakufa basi umekufa kwenye haki .
Ila kueleza umma ikiwa ni ngumu kwako ila ukawa na uhakika wa kile usemacho ila unaamini wakubwa zako watamlinda muhusika basi tumia mkono wako kuipatia haki jamii yako .
Come on afande
nokwenumuya