Saalah (Silent Ocean): Anavyotakatisha na kutorosha pesa nchini, Uhujumu Uchumi, Kuteka na Kutesa watu, anavyolindwa na viongozi

Hawa jamaa ni hatari kuliko mnvayowaona.. wahindiwanawajua vzuri.. kuna mhindi muajiriwa wa afr tea alishwahi kuondoka kwao na nguo hazikauka. Mtu anaondoka kachukuliwa mpaka viatu na mishahara yake yote kwenye begi anarudi kwao michozi kama yote.
 
Kwa kweli kama mtu mnyonge anaenda kufungua kesi kisha police wanasema huyu mtu hatuwezi kumfungulia kesi hakika tunahitaji Katiba mpya isiyo bagua huyu ni nani?
 
Timing ndiyo shida,

Yule Fahad wa Lake oil naye soon tutasoma story zake humu katesa madereva wake.

Huu uzi chini picha zimetolewa ila kulikuwepo picha Saalah ameshika mkwaju enzi za HSC.
 
Hahhahaha. Hapa niko namwagilia moyo ndugu. Nimemaliza kilo 2. Kvant kubwa sasa napiga safari kubwa baridi. Majini yakija nayalawiti yaende kwa ndugu yao askari wa Zanzibar
😂😂😂 Mwagilia moyo mkuu Ila ya Salaah na JK usiache kutuletea haujamaliza uzi umeishia kati ilikuaje JK akampa Salaah Form 4 Failure ubalozi wa China?
 
Jamaa wanaswali sana, wanaonekana waungwana sana ila behind the scenes...
Hawa was#ng# ni watu hatari Sana,usiombe uingie kwenye 18 zao,Ni Bora ujitose baharini ufe.
Enzi za magu waliufyata maana walijua pale magogoni yupo kichaa mwenzao,ila sasa hivi wanafanya lolote. Imagine mtu anaenda polisi kutoa taarifa ya kutekwa na kuteswa ila anajibiwa hapa huwezi kupata msaada wowote,Kuna maelezo kutoka juu hatuwezi kumfanya chochote huyo saaalah na tunatetea Ugali wetu. Sasa watu Kama Hawa wanyonge wakimbilie wapi kmmmk!! Hivi watu diazin hii wakimkumbuka Magufuli walaumiwe kwa kuitwa sukuma gang?

Ndiyo maana south watu wengi wanamiliki bastola,ukiona mtu Kama huyu humwezi unamlambisha mchanga kwa shaba ya kichwa tu akapumzike ahera madukani ,tutaenda kujibu siku ya mwisho kwa Mungu .
 

Hakuna watu wanakula rushwa kama viongoz serikalini ,hizo taasisi zote sijui mwema nani
 
Waziri Mkuu huyu huyu aliesadikika kuingiza shehena ya vitenge bila kulipq kodi??

Hii nchi ukombozi wake ni Mungu mwenye akitaka kwa kuwatia nguvu wanyonge wadai haki yao. Kinyume na hapo tutawaona kina GSM wengi tu maana washajua udhaifu wa viongozi wetu ni matumbo yao.
 

Lakin ukisoma hapo Eliud ana kosa we ungemuelewa?
 
Ni kwanini watu hatutak kuwa responsible kwa makosa yetu....ulichukua mkopo umeshindwa kurudisha wacha wachukue kilicho chao....apo cha muhimu ni kukomaa au kuomba urudishiwe chako baada ya mahesabu...kwanza huo ni uzembe wenu...kabla ya kuweka hzo mali zenu mlishindwa kupiga hesabu had kujua ni mali kias gan mnatakiwa kuziolozesha ili kulipa deni ila mkaona muweke mali zote.... hyo mfanyakaz aliewaibia ndio ww mnatakiwa kudeal nae na siyo hyo Salaah...acha roho nzuri wakat mwngne haisaidii
 
Hahhahahahhahaha.

Asante sana ndugu yangu.

Namshukuru Mungu kwa kutimiza ahadi kabla ya muda maana hawa waarabu na majini yasijeninyonga mkahisi tumepewa pesa na kusaliti uzalendo.

Ila hadi sasa niko salama na Mungu ni mwema sana.

Majini yao yataishia kuwarudia tu.
 
Hakuna watu wanakula rushwa kama viongoz serikalini ,hizo taasisi zote sijui mwema nani
Bila kuwepo mfumo madhubuti wa kuzuia au kudhibiti; wafanyakazi wote duniani kwa aliye ajiriwa kwa mshahara; kila mmoja huwa ana bei yake, yupo atakaye pindisha maamuzi kwa kupewa bilioni, wapo watakao pindisha kwa kupewa laki n.k
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…