Che mittoga
JF-Expert Member
- Mar 28, 2017
- 12,658
- 16,205
Asante kwa kumuelewaNimekuelewa sana mtoa mada ingawa mimi sio Mwana Sheria.
Kwa upande wa Tanganyika, mkataba umesainiwa na Raisi wa Nchi au kwa niaba ya Raisi wa nchi mwenye nguvu ya kisheria na imetaja cheo chake Rais.
Ili kubalance ilitakiwa na wenye mkataba asaini pia Raisi wa nchi ya UAE na mkataba utaje cheo chake.
Hapa ni sawa na Nchi inaingia mkataba na msela mmoja wa mtaani wa nchi nyingine, huku mwenye nchi ile hana habari.
Yaani nchi ya Tanganyika inauza raslimali zake kwa raia wa nchi nyingine bila ridhaa ya mwenye nchi hiyo.
Safi sana mto mada tunasubiri KASORO ya pili.
Mwarabu safari hii haji kwa huu ujanja ujanja tutagawana futo.
Hapa mpaka kieleweke.
ah ah.. you have made my day kwa kicheko, yaani nimecheka sana, huyu kibajaji ni think tank wa ccm, na ndio maana hii nchi inarudi backward kwa kuongozwa na wajinga.Mbunge wa mtera atajuaje Sasa haya yote? Any way thanks in advance
Lakini inauzwa Tanganyika wanagawana wazanzibarHii nchi iuzwe yote, heri tugawane kuliko wachache kunufaika
hakuna kitu nilichoandika kwa utpotoshaji au kwa bahati mbaya, ulipashwa kuuliza je bandari imeuzwa au imekodishwa?We nae ni mpotoshaji tu, kichwa cha habari tu kina utata, ni uuzwaji au ukodishwaji??? Mda wote tumuogope Mungu jmn
Kudadekihakuna kitu nilichoandika kwa utpotoshaji au kwa bahati mbaya, ulipashwa kuuliza je bandari imeuzwa au imekodishwa?
document inayotembea mtaani ni mkataba, kisheria tunaita ( a contract is a legal document), yaani ni nyaraka ya kisheria, hivyo basi tafsiri uliyonayo wewe ni mkataba, lakini kwa mwanasheria ni nyaraka ya kisheria (legal document) kwa interpretation ya vitu unavyoviona wewe kwenye makaratasi na mwana sheria ni vitu viwili tofauti, ukisoma wewe utaona gazeti lakini kwa mwanasheria anatoa tafsiri ya kisheria,
kwa nini nimetumia neno kuuzwa?
nimetumia neno kuuzwa sababu, nikisoma kama mwana sheria kuna ardhi (land) bandarini ambayo ndio subject matter ya kwanza, hivyo utoaji wa ardhi kwa unayoitetea tunaiita (lease) yaani kupangisha au kukodisha. in order to lease one must comply na condition za ownership, ( tafuta mwanasheria akusaidie, what is a condition of sine quo none ya leasing as opposed to ownership)
kwangu, kwa tafsiri yangu ya sheria bandari imeuzwa, kama umekodishwa nipe ushaidi wa kisheria na mimi nijifunze
Kuna shida gani ya kuonesha kifungu kilichouza Bandari? Mbona maneno mengi sana we mtu?tatizo vijana wengi wa siku hizi ni wavivu wa kufanya tafiti, wanasubiri wanasiasa majukwaani wawatafunie kile wanachotaka kupewa, document ya kuuza bandari ya Tanganyika inayotembea mitandaoni ina page 36 tu, utakuta mtu hajasoma anasubiri kusimuliwa, eti hawajauza, au wameuza.
okay kasome tafsiri ya sale, buyer, and saler kweny cap. 214 ya sheria zetu, na disposition ya cap. 113 ya sheria zetu, na kisha zisome kwa pamoja na international document in relation na hizo documents , kisha njoo uniulize kama hatujauzwa au bado.
pili, sifanyi siasa naongea kuhusu rasilimali ya Tanganyika iliyouzwa, tuna watoto, wajukuu, na vitukuu vimezaliwa na havijazaliwa bado, vinasubiri kurithi rasilimali hizo tunazotapanya kwa manufaa ya wachache. ni wajibu wangu na wako kuzilinda kwa wivu, mkubwa
wewe umejiandika lord denning, nadhani humjui hata Lord denning ni nani, tafuta hata mtoto aliyesoma certificate ya sheria akuambie lord denning ni nani?Kuna shida gani ya kuonesha kifungu kilichouza Bandari? Mbona maneno mengi sana we mtu?
Kiuhalisia Sisi sote wenye vipande vya ardhi kt hii nchi kisheria ni kuwa tumekodi kwa miaka mu5, 33, 66 mpaka 99 ambazo zinakua subject to renewal, km kweli ni kuuza basi this is extraordinaryhakuna kitu nilichoandika kwa utpotoshaji au kwa bahati mbaya, ulipashwa kuuliza je bandari imeuzwa au imekodishwa?
document inayotembea mtaani ni mkataba, kisheria tunaita ( a contract is a legal document), yaani ni nyaraka ya kisheria, hivyo basi tafsiri uliyonayo wewe ni mkataba, lakini kwa mwanasheria ni nyaraka ya kisheria (legal document) kwa interpretation ya vitu unavyoviona wewe kwenye makaratasi na mwana sheria ni vitu viwili tofauti, ukisoma wewe utaona gazeti lakini kwa mwanasheria anatoa tafsiri ya kisheria,
kwa nini nimetumia neno kuuzwa?
nimetumia neno kuuzwa sababu, nikisoma kama mwana sheria kuna ardhi (land) bandarini ambayo ndio subject matter ya kwanza, hivyo utoaji wa ardhi kwa unayoitetea tunaiita (lease) yaani kupangisha au kukodisha. in order to lease one must comply na condition za ownership, ( tafuta mwanasheria akusaidie, what is a condition of sine quo none ya leasing as opposed to ownership)
kwangu, kwa tafsiri yangu ya sheria bandari imeuzwa, kama umekodishwa nipe ushaidi wa kisheria na mimi nijifunze
Ameshalijibu hilo soma post #12We nae ni mpotoshaji tu, kichwa cha habari tu kina utata, ni uuzwaji au ukodishwaji??? Mda wote tumuogope Mungu jmn
Mkataba unasema Mwarabu wa Dubai amekodishiwa bandari yetu milele, na hatutakiwa kugeuzwa chochote kwenye huo ukodishwaji milele. Hapo unailewa nini?Kiuhalisia Sisi sote wenye vipande vya ardhi kt hii nchi kisheria ni kuwa tumekodi kwa miaka mu5, 33, 66 mpaka 99 ambazo zinakua subject to renewal, km kweli ni kuuza basi this is extraordinary
Ukiangalia kwa mbali Bungeni utawaona watu machahari sana wenye nia ya dhati na Nchi yao., ila ukisogea kwa karibu daaaah ha ha haaaaa utagundua wenye akili ya kufanya upembuzi yakinifu ni 10% waliobaki nikugonga Meza tu.UTANGULIZI:
Bila kugusia maudhuni yalivyoandikwa, au kukosoa kilichoandikwa, nimeandaa sababu 10 tata za kisheria ambazo zinatambainisha kwa nini mkataba wa uuzaji wa Bandari ya Tanganyika ni batili na ni wa aibu kwa nchi ambayo inawasomi wengi wa sheria;
Katika sheria za kimataifa za uwekezaji (international investment law), wawekezaji wanaokwenda kuwekeza nchi za kigeni (foreign investors), wanapashwa kulindwa na sheria za kimataifa, aidha baina ya nchi na nchi, yaani,(bilateral investment treat) kwa kifupi (BIT) au mjumuisho wa nchi mbalimbali (Multilateral investment treat) kwa kifupi inaitwa (MIT)., au baina ya nchi na mwekezaji, kwa hiyo basi endapo nchi hizo hazina, zinaweza kukubaliana kutengeza mkataba huo. kama walivyofanya JMT na Emirate of Dubai, ndio huu kwa sasa tunauita mkataba wa awali; ambao unanipeleka kwenye sababu yangu ya kwanza;
1. instrument used to endorse the document, (power of attorney), kwa Kiswahili ( Nguvu ya kisheria)
mkataba wa nchi na nchi ( a contractus cum states), utahesabika kuwa umeridhiwa na nchi hizo endopo, watia saini ni viongozi waliotajwa katika ibara ya 7(2) (a) ya sheria za Mikataba ya Kimataifa ( Vienna Convention on the Law of Treaties, 1969) inataja wakuu wa nchi, wakuu wa serikali, au mawaziri wa nchi za nje ( foreign affairs), 7 (2) (b), inawataja mabalozi wawakilishi wa nchi zao, 7(2) (c) wawakilishi wa nchi wa taasisi za kimataifa.
Kinyume na ibara ya 7 (2) ya sheria za mikataba za kimataifa (Vienna Convention on the Law of Treaties), ibara 7 (1) ya sheria hizo, inatoa nafasi kwa waliopewa nguvu ya kisheria wanaweza pia kusaini mikataba baini ya nchi zao na nchi zingine.
(a) Nguvu ya kisheria ni nini? ( what is power of attorney), (full power) (instrument)
(is document that gives power to another person, to perfom duties on his/her behalf that other person would have done ), yaani ni nyaraka inayotoa uwezo, nguvu, mamlaka, kwa niaba ya mtoaji uwezo huo, kufanya kazi ambayo mtu anayeitoa nangeweza kuifanya.
watiaji saini, wa mkabata wa uuzwaji wa bandari ya Tanganyika, wanaangukia Ibara ya 7 (1) ya sheria za mikataba ya kimataifa, ( the vienne Convention, on the law of treaties, 1969), kwa maana nyingine wanatakiwa waonyeshe nani kawapa nguvu ya kisheria (power of attorneys, or full power), kuziwakilisha nchi zao, ili kukidhi takwa kuonyesha wazi kuwa nchi ndio imetoa ridhaa, (consent) kuruhusu wao wasaini mkataba/mikataba huo/hiyo.
(b)characterization of the power of attorneys, full power: (mchanganua wa nguvu ya kisheria)
nguvu ya kisheria (power of attorneys) ina sehemu kuu mbili; yaani ni lazima pawepo na mtoaji, au kisheria tunamwita (Donor ,or the giver) na sehemu ya pili, lazima pawepo na mpokeaji, yaani ( Donee, or the recepient). hawa lazima wawepo kwa majina na vyeo vyao. au ni lazima waeleze uhusiano wao na document wanayotoa nguvu ya kisheria kwa mtu mwingine.
(c) utata:
Upande wa Tanzania;
Ukisoma nyaraka zinazotembea na ambazo hazijakanushwa kuwa ni feki, utaona pasipo shaka kuwa, nguvu za kisheria, kwa upande wa JMT zimekidhi vigezo , kwa maana Mtoa ni nchi, na kiongozi mkuu wa nchi anatoa kwa kwa niaba ya nchi yaani Rais wa JMT, na anayepokea ni mbarawa, katika nafasi yake kama Waziri.
kwa Upande, wa the Emirate of Dubai
wakati kwa upande wa Emirates of Dubai, mtoaji aidha ni Emirate of Dubai, au United Arab Emirate , au Emirate of Dubai na United Arab Emirates, hayo atayaona kwenye kichwa (heading) ya appointment letter, mstari wa pili wa power of attorneys, na kwenye footing, yaani signature, ( kwa hiyo signature (saini) watoaji ni wawili, heading mtoaji ni mmoja, second line, watoaji ni wawili) (Emirate of Dubai, na United Arabu Emirates),
anayetoa nguvu ya kisheria, hatajwi kwa jina wala kwa nyadhifa yake, au cheo chake, au uhusiano wake na serikali hizo mbili na nguvu alizozonazo kisheria, kumpatia mpokeaji. ( kwa tafsili nyepesi, hakuna mtoaji wa nguvu ya kisheria kwa upande wa serikali zote mbili tajwa katika power of attorney hizo.
ila, takwa la pili kwa maana ya mpokeaji anatajwa, kwa maana ya H.E. Ahmed Mahboob Musabih, ambaye ni Chief Executive Officer of the Ports, Customs and Free Zone Corporation ( being referred to as agent).
2. what does it mean? ina maana gani kisheria
jibu ni jepesi, hakuna ridhaa (consent ) ya serikali ya Emirate of Dubai, au United Arab Emirates, iliyoridhia kusainiwa mkataba huo.
itaendelea, ........................................................................................................................kesho sababu tata ya ya pili;
Aibu kubwa sana kwa Taifa letu, Rais amedhalilishwa. Urais umedhalilishwa, Taifa limedhalilishwa. Sijui walipewa kilevi gani?UTANGULIZI:
Bila kugusia maudhuni yalivyoandikwa, au kukosoa kilichoandikwa, nimeandaa sababu 10 tata za kisheria ambazo zinatambainisha kwa nini mkataba wa uuzaji wa Bandari ya Tanganyika ni batili na ni wa aibu kwa nchi ambayo inawasomi wengi wa sheria;
Katika sheria za kimataifa za uwekezaji (international investment law), wawekezaji wanaokwenda kuwekeza nchi za kigeni (foreign investors), wanapashwa kulindwa na sheria za kimataifa, aidha baina ya nchi na nchi, yaani,(bilateral investment treat) kwa kifupi (BIT) au mjumuisho wa nchi mbalimbali (Multilateral investment treat) kwa kifupi inaitwa (MIT)., au baina ya nchi na mwekezaji, kwa hiyo basi endapo nchi hizo hazina, zinaweza kukubaliana kutengeza mkataba huo. kama walivyofanya JMT na Emirate of Dubai, ndio huu kwa sasa tunauita mkataba wa awali; ambao unanipeleka kwenye sababu yangu ya kwanza;
1. instrument used to endorse the document, (power of attorney), kwa Kiswahili ( Nguvu ya kisheria)
mkataba wa nchi na nchi ( a contractus cum states), utahesabika kuwa umeridhiwa na nchi hizo endopo, watia saini ni viongozi waliotajwa katika ibara ya 7(2) (a) ya sheria za Mikataba ya Kimataifa ( Vienna Convention on the Law of Treaties, 1969) inataja wakuu wa nchi, wakuu wa serikali, au mawaziri wa nchi za nje ( foreign affairs), 7 (2) (b), inawataja mabalozi wawakilishi wa nchi zao, 7(2) (c) wawakilishi wa nchi wa taasisi za kimataifa.
Kinyume na ibara ya 7 (2) ya sheria za mikataba za kimataifa (Vienna Convention on the Law of Treaties), ibara 7 (1) ya sheria hizo, inatoa nafasi kwa waliopewa nguvu ya kisheria wanaweza pia kusaini mikataba baini ya nchi zao na nchi zingine.
(a) Nguvu ya kisheria ni nini? ( what is power of attorney), (full power) (instrument)
(is document that gives power to another person, to perfom duties on his/her behalf that other person would have done ), yaani ni nyaraka inayotoa uwezo, nguvu, mamlaka, kwa niaba ya mtoaji uwezo huo, kufanya kazi ambayo mtu anayeitoa nangeweza kuifanya.
watiaji saini, wa mkabata wa uuzwaji wa bandari ya Tanganyika, wanaangukia Ibara ya 7 (1) ya sheria za mikataba ya kimataifa, ( the vienne Convention, on the law of treaties, 1969), kwa maana nyingine wanatakiwa waonyeshe nani kawapa nguvu ya kisheria (power of attorneys, or full power), kuziwakilisha nchi zao, ili kukidhi takwa kuonyesha wazi kuwa nchi ndio imetoa ridhaa, (consent) kuruhusu wao wasaini mkataba/mikataba huo/hiyo.
(b)characterization of the power of attorneys, full power: (mchanganua wa nguvu ya kisheria)
nguvu ya kisheria (power of attorneys) ina sehemu kuu mbili; yaani ni lazima pawepo na mtoaji, au kisheria tunamwita (Donor ,or the giver) na sehemu ya pili, lazima pawepo na mpokeaji, yaani ( Donee, or the recepient). hawa lazima wawepo kwa majina na vyeo vyao. au ni lazima waeleze uhusiano wao na document wanayotoa nguvu ya kisheria kwa mtu mwingine.
(c) utata:
Upande wa Tanzania;
Ukisoma nyaraka zinazotembea na ambazo hazijakanushwa kuwa ni feki, utaona pasipo shaka kuwa, nguvu za kisheria, kwa upande wa JMT zimekidhi vigezo , kwa maana Mtoa ni nchi, na kiongozi mkuu wa nchi anatoa kwa kwa niaba ya nchi yaani Rais wa JMT, na anayepokea ni mbarawa, katika nafasi yake kama Waziri.
kwa Upande, wa the Emirate of Dubai
wakati kwa upande wa Emirates of Dubai, mtoaji aidha ni Emirate of Dubai, au United Arab Emirate , au Emirate of Dubai na United Arab Emirates, hayo atayaona kwenye kichwa (heading) ya appointment letter, mstari wa pili wa power of attorneys, na kwenye footing, yaani signature, ( kwa hiyo signature (saini) watoaji ni wawili, heading mtoaji ni mmoja, second line, watoaji ni wawili) (Emirate of Dubai, na United Arabu Emirates),
anayetoa nguvu ya kisheria, hatajwi kwa jina wala kwa nyadhifa yake, au cheo chake, au uhusiano wake na serikali hizo mbili na nguvu alizozonazo kisheria, kumpatia mpokeaji. ( kwa tafsili nyepesi, hakuna mtoaji wa nguvu ya kisheria kwa upande wa serikali zote mbili tajwa katika power of attorney hizo.
ila, takwa la pili kwa maana ya mpokeaji anatajwa, kwa maana ya H.E. Ahmed Mahboob Musabih, ambaye ni Chief Executive Officer of the Ports, Customs and Free Zone Corporation ( being referred to as agent).
2. what does it mean? ina maana gani kisheria
jibu ni jepesi, hakuna ridhaa (consent ) ya serikali ya Emirate of Dubai, au United Arab Emirates, iliyoridhia kusainiwa mkataba huo.
itaendelea, ........................................................................................................................kesho sababu tata ya ya pili;
Hawa wabunge wote, asirudi hata mmoja bungeni katika uchaguzi ujao 2025. Hilo linawezekana. Kama iliwezekana kuwaweka, inawezekana kuwatoa.Ukiangalia kwa mbali Bungeni utawaona watu machahari sana wenye nia ya dhati na Nchi yao., ila ukisogea kwa karibu daaaah ha ha haaaaa utagundua wenye akili ya kufanya upembuzi yakinifu ni 10% waliobaki nikugonga Meza tu.
Kama hizo sababu 9 zilizobaki unazieleza kama ulivyoeleza hii, bora usiendelee tu. Umeandika utumbo tu mwingi saaaaana. Kwa kifupi hii sababu so far haina shida yoyote wala haibatilishi chochote. Na cha kukuongezea tu, huyo Mwanasosholojia Ahmed Mahbob Musabih amesaini mikataba mingi sana ya namna tena na nchi zenye akili kuliko hizi zilizojaa utapiamlo. Ni mmoja watendaji anaeheshimika na kukubalika sana katika anga za bandari na forodha huko kwao.UTANGULIZI:
Bila kugusia maudhuni yalivyoandikwa, au kukosoa kilichoandikwa, nimeandaa sababu 10 tata za kisheria ambazo zinatambainisha kwa nini mkataba wa uuzaji wa Bandari ya Tanganyika ni batili na ni wa aibu kwa nchi ambayo inawasomi wengi wa sheria;
Katika sheria za kimataifa za uwekezaji (international investment law), wawekezaji wanaokwenda kuwekeza nchi za kigeni (foreign investors), wanapashwa kulindwa na sheria za kimataifa, aidha baina ya nchi na nchi, yaani,(bilateral investment treat) kwa kifupi (BIT) au mjumuisho wa nchi mbalimbali (Multilateral investment treat) kwa kifupi inaitwa (MIT)., au baina ya nchi na mwekezaji, kwa hiyo basi endapo nchi hizo hazina, zinaweza kukubaliana kutengeza mkataba huo. kama walivyofanya JMT na Emirate of Dubai, ndio huu kwa sasa tunauita mkataba wa awali; ambao unanipeleka kwenye sababu yangu ya kwanza;
1. instrument used to endorse the document, (power of attorney), kwa Kiswahili ( Nguvu ya kisheria)
mkataba wa nchi na nchi ( a contractus cum states), utahesabika kuwa umeridhiwa na nchi hizo endopo, watia saini ni viongozi waliotajwa katika ibara ya 7(2) (a) ya sheria za Mikataba ya Kimataifa ( Vienna Convention on the Law of Treaties, 1969) inataja wakuu wa nchi, wakuu wa serikali, au mawaziri wa nchi za nje ( foreign affairs), 7 (2) (b), inawataja mabalozi wawakilishi wa nchi zao, 7(2) (c) wawakilishi wa nchi wa taasisi za kimataifa.
Kinyume na ibara ya 7 (2) ya sheria za mikataba za kimataifa (Vienna Convention on the Law of Treaties), ibara 7 (1) ya sheria hizo, inatoa nafasi kwa waliopewa nguvu ya kisheria wanaweza pia kusaini mikataba baini ya nchi zao na nchi zingine.
(a) Nguvu ya kisheria ni nini? ( what is power of attorney), (full power) (instrument)
(is document that gives power to another person, to perfom duties on his/her behalf that other person would have done ), yaani ni nyaraka inayotoa uwezo, nguvu, mamlaka, kwa niaba ya mtoaji uwezo huo, kufanya kazi ambayo mtu anayeitoa nangeweza kuifanya.
watiaji saini, wa mkabata wa uuzwaji wa bandari ya Tanganyika, wanaangukia Ibara ya 7 (1) ya sheria za mikataba ya kimataifa, ( the vienne Convention, on the law of treaties, 1969), kwa maana nyingine wanatakiwa waonyeshe nani kawapa nguvu ya kisheria (power of attorneys, or full power), kuziwakilisha nchi zao, ili kukidhi takwa kuonyesha wazi kuwa nchi ndio imetoa ridhaa, (consent) kuruhusu wao wasaini mkataba/mikataba huo/hiyo.
(b)characterization of the power of attorneys, full power: (mchanganua wa nguvu ya kisheria)
nguvu ya kisheria (power of attorneys) ina sehemu kuu mbili; yaani ni lazima pawepo na mtoaji, au kisheria tunamwita (Donor ,or the giver) na sehemu ya pili, lazima pawepo na mpokeaji, yaani ( Donee, or the recepient). hawa lazima wawepo kwa majina na vyeo vyao. au ni lazima waeleze uhusiano wao na document wanayotoa nguvu ya kisheria kwa mtu mwingine.
(c) utata:
Upande wa Tanzania;
Ukisoma nyaraka zinazotembea na ambazo hazijakanushwa kuwa ni feki, utaona pasipo shaka kuwa, nguvu za kisheria, kwa upande wa JMT zimekidhi vigezo , kwa maana Mtoa ni nchi, na kiongozi mkuu wa nchi anatoa kwa kwa niaba ya nchi yaani Rais wa JMT, na anayepokea ni mbarawa, katika nafasi yake kama Waziri.
kwa Upande, wa the Emirate of Dubai
wakati kwa upande wa Emirates of Dubai, mtoaji aidha ni Emirate of Dubai, au United Arab Emirate , au Emirate of Dubai na United Arab Emirates, hayo atayaona kwenye kichwa (heading) ya appointment letter, mstari wa pili wa power of attorneys, na kwenye footing, yaani signature, ( kwa hiyo signature (saini) watoaji ni wawili, heading mtoaji ni mmoja, second line, watoaji ni wawili) (Emirate of Dubai, na United Arabu Emirates),
anayetoa nguvu ya kisheria, hatajwi kwa jina wala kwa nyadhifa yake, au cheo chake, au uhusiano wake na serikali hizo mbili na nguvu alizozonazo kisheria, kumpatia mpokeaji. ( kwa tafsili nyepesi, hakuna mtoaji wa nguvu ya kisheria kwa upande wa serikali zote mbili tajwa katika power of attorney hizo.
ila, takwa la pili kwa maana ya mpokeaji anatajwa, kwa maana ya H.E. Ahmed Mahboob Musabih, ambaye ni Chief Executive Officer of the Ports, Customs and Free Zone Corporation ( being referred to as agent).
2. what does it mean? ina maana gani kisheria
jibu ni jepesi, hakuna ridhaa (consent ) ya serikali ya Emirate of Dubai, au United Arab Emirates, iliyoridhia kusainiwa mkataba huo.
itaendelea, ........................................................................................................................kesho sababu tata ya ya pili;
hakuna kiongozi yeyote wa wa United Arab Emirate au Dubai Emirate aliyetajwa kwa jina ameweka comitment katika power of attorney ile, ni uhuni tu
Sakata la Bandari limekuja kubainisha kuwa elimu yetu hasa ya juu inahitaji reform kubwa. Watu wanaongea kwa hisia tu. Ukimuuliza anaanza kurukaruka kama sungura. Watu na PhDs zao hawaelewi kilichopelekwa Bungeni ni nini na hata aina ya uwekezaji unaotarajiwa ni upi? Wanapiga kelele za kuuzwa tu, ukiwauliza tumeuzwaje, anakupa vitabu usome! Achana nao hawa wala maharage.Nipe kifungu kinachoeleza bandari imeuzwa?
Mm nashangaa sana Hv ni kweli usalama wetu utakuwa rehani na je vyombo vinavyolinda usalama wa nchi vinasemaje hasa kwenye mazingira hatarishi ya nchi kama haya,je ni kweli vyombo Hv vya ulinzi na usalama vinasuburi tatizo litokee kwanza ndio viweze kureact na je ni halali Raisi kuachiwa kiasi hiki hata asielekezwe kwamba kuuza mpaka wa nchi ni hatari kwa usalama wa Taifa,faida tunayoitafuta ni ndogo sana kuliko hatari inayokuja.UTANGULIZI:
Bila kugusia maudhuni yalivyoandikwa, au kukosoa kilichoandikwa, nimeandaa sababu 10 tata za kisheria ambazo zinatambainisha kwa nini mkataba wa uuzaji wa Bandari ya Tanganyika ni batili na ni wa aibu kwa nchi ambayo inawasomi wengi wa sheria;
Katika sheria za kimataifa za uwekezaji (international investment law), wawekezaji wanaokwenda kuwekeza nchi za kigeni (foreign investors), wanapashwa kulindwa na sheria za kimataifa, aidha baina ya nchi na nchi, yaani,(bilateral investment treat) kwa kifupi (BIT) au mjumuisho wa nchi mbalimbali (Multilateral investment treat) kwa kifupi inaitwa (MIT)., au baina ya nchi na mwekezaji, kwa hiyo basi endapo nchi hizo hazina, zinaweza kukubaliana kutengeza mkataba huo. kama walivyofanya JMT na Emirate of Dubai, ndio huu kwa sasa tunauita mkataba wa awali; ambao unanipeleka kwenye sababu yangu ya kwanza;
1. instrument used to endorse the document, (power of attorney), kwa Kiswahili ( Nguvu ya kisheria)
mkataba wa nchi na nchi ( a contractus cum states), utahesabika kuwa umeridhiwa na nchi hizo endopo, watia saini ni viongozi waliotajwa katika ibara ya 7(2) (a) ya sheria za Mikataba ya Kimataifa ( Vienna Convention on the Law of Treaties, 1969) inataja wakuu wa nchi, wakuu wa serikali, au mawaziri wa nchi za nje ( foreign affairs), 7 (2) (b), inawataja mabalozi wawakilishi wa nchi zao, 7(2) (c) wawakilishi wa nchi wa taasisi za kimataifa.
Kinyume na ibara ya 7 (2) ya sheria za mikataba za kimataifa (Vienna Convention on the Law of Treaties), ibara 7 (1) ya sheria hizo, inatoa nafasi kwa waliopewa nguvu ya kisheria wanaweza pia kusaini mikataba baini ya nchi zao na nchi zingine.
(a) Nguvu ya kisheria ni nini? ( what is power of attorney), (full power) (instrument)
(is document that gives power to another person, to perfom duties on his/her behalf that other person would have done ), yaani ni nyaraka inayotoa uwezo, nguvu, mamlaka, kwa niaba ya mtoaji uwezo huo, kufanya kazi ambayo mtu anayeitoa nangeweza kuifanya.
watiaji saini, wa mkabata wa uuzwaji wa bandari ya Tanganyika, wanaangukia Ibara ya 7 (1) ya sheria za mikataba ya kimataifa, ( the vienne Convention, on the law of treaties, 1969), kwa maana nyingine wanatakiwa waonyeshe nani kawapa nguvu ya kisheria (power of attorneys, or full power), kuziwakilisha nchi zao, ili kukidhi takwa kuonyesha wazi kuwa nchi ndio imetoa ridhaa, (consent) kuruhusu wao wasaini mkataba/mikataba huo/hiyo.
(b)characterization of the power of attorneys, full power: (mchanganua wa nguvu ya kisheria)
nguvu ya kisheria (power of attorneys) ina sehemu kuu mbili; yaani ni lazima pawepo na mtoaji, au kisheria tunamwita (Donor ,or the giver) na sehemu ya pili, lazima pawepo na mpokeaji, yaani ( Donee, or the recepient). hawa lazima wawepo kwa majina na vyeo vyao. au ni lazima waeleze uhusiano wao na document wanayotoa nguvu ya kisheria kwa mtu mwingine.
(c) utata:
Upande wa Tanzania;
Ukisoma nyaraka zinazotembea na ambazo hazijakanushwa kuwa ni feki, utaona pasipo shaka kuwa, nguvu za kisheria, kwa upande wa JMT zimekidhi vigezo , kwa maana Mtoa ni nchi, na kiongozi mkuu wa nchi anatoa kwa kwa niaba ya nchi yaani Rais wa JMT, na anayepokea ni mbarawa, katika nafasi yake kama Waziri.
kwa Upande, wa the Emirate of Dubai
wakati kwa upande wa Emirates of Dubai, mtoaji aidha ni Emirate of Dubai, au United Arab Emirate , au Emirate of Dubai na United Arab Emirates, hayo atayaona kwenye kichwa (heading) ya appointment letter, mstari wa pili wa power of attorneys, na kwenye footing, yaani signature, ( kwa hiyo signature (saini) watoaji ni wawili, heading mtoaji ni mmoja, second line, watoaji ni wawili) (Emirate of Dubai, na United Arabu Emirates),
anayetoa nguvu ya kisheria, hatajwi kwa jina wala kwa nyadhifa yake, au cheo chake, au uhusiano wake na serikali hizo mbili na nguvu alizozonazo kisheria, kumpatia mpokeaji. ( kwa tafsili nyepesi, hakuna mtoaji wa nguvu ya kisheria kwa upande wa serikali zote mbili tajwa katika power of attorney hizo.
ila, takwa la pili kwa maana ya mpokeaji anatajwa, kwa maana ya H.E. Ahmed Mahboob Musabih, ambaye ni Chief Executive Officer of the Ports, Customs and Free Zone Corporation ( being referred to as agent).
2. what does it mean? ina maana gani kisheria
jibu ni jepesi, hakuna ridhaa (consent ) ya serikali ya Emirate of Dubai, au United Arab Emirates, iliyoridhia kusainiwa mkataba huo.
itaendelea, ........................................................................................................................kesho sababu tata ya ya pili;
Kwa hiyo hutaki kusoma?sasa ww si wa kuongea na wasomi hapa kwenye great thinkers kaa kimya maana huelewi chochote anayekwambia soma si ndio anataka uelewe na usibwabwaje hapa ila uongee kwa facts sasa hapo mla maharage na punguani ni nani? Wabunge wako wa CCM ni wavivu kama ww unayeogopa kusoma ila unaweza kusaini vitu hovyo hovyo.Elimu yetu ina shida kubwa sana na ww umedhihirisha hilo.hutaki kusoma??hahaaaaaa Taifa gumu sana hili la mambumbumbu.Ushauri ninaokupa ni kwamba usiendelee kuchangia hapa ww ni mdogo sana.Sakata la Bandari limekuja kubainisha kuwa elimu yetu hasa ya juu inahitaji reform kubwa. Watu wanaongea kwa hisia tu. Ukimuuliza anaanza kurukaruka kama sungura. Watu na PhDs zao hawaelewi kilichopelekwa Bungeni ni nini na hata aina ya uwekezaji unaotarajiwa ni upi? Wanapiga kelele za kuuzwa tu, ukiwauliza tumeuzwaje, anakupa vitabu usome! Achana nao hawa wala maharage.