Sababu (10) tata za kisheria uuzwaji wa Bandari ya Tanganyika

Sababu (10) tata za kisheria uuzwaji wa Bandari ya Tanganyika

hata kama nitafanyaje zaidi ya 2025 kumpigia mgombea wa chadema japo bado haitasaidia kitu
Unapiga na kuilinda kura Yako. Yaan mnapiga kura afu mnaenda kukaa sehemu mkijua mmepiga wangapi(mnaounga mkono mgombea) then matokeo yakitoka tofauti mnakinukisha. Mbona simple tu.
 
Wasio kuelewa naambatanisha ushahidi wa hoja yako.

Kimsingi Viongozi wa DPW wametumia Serikali yao kuupa nguvu ya Kimaifa Mkataba wa Maelewano (MoU) kati yao na TPA uliosainiwa tarehe 28/2/2022, kupitia Mkataba wa Ushirikiano (IGA) usio na ridhaa ya Viongozi wa Dubai na Falme za Kiarabu (UAE). Ni utapeli mtupu wenye harufu ya ufisadi wa kimataifa.

Inasikitisha Bunge lenye Wanasheria nguri, Madkatari wa Falsafa (PhD) na Maprofesa wameridhia kwa mbwembwe. AIBU

View attachment 2658137
Wa kwetu eti kaandika kabisa, I Samia Suluhu Hassan, wakati Dubai wameandika, By This Appointment Letter! Aibu kubwa.
 
Nimekuelewa sana mtoa mada ingawa mimi sio Mwana Sheria.

Kwa upande wa Tanganyika, mkataba umesainiwa na Raisi wa Nchi au kwa niaba ya Raisi wa nchi mwenye nguvu ya kisheria na imetaja cheo chake Rais.

Ili kubalance ilitakiwa na wenye mkataba asaini pia Raisi wa nchi ya UAE na mkataba utaje cheo chake.

Hapa ni sawa na Nchi inaingia mkataba na msela mmoja wa mtaani wa nchi nyingine, huku mwenye nchi ile hana habari.

Yaani nchi ya Tanganyika inauza raslimali zake kwa raia wa nchi nyingine bila ridhaa ya mwenye nchi hiyo.

Safi sana mto mada tunasubiri KASORO ya pili.
Mwarabu safari hii haji kwa huu ujanja ujanja tutagawana fito.
Hapa mpaka kieleweke.
ukiiangalia kwa kisheria hiyo instrument, (power of attorney), kisheria kuna muhuni mmoja kaingia mktaba na serikali ya Tanzania, Angalia kiongozi gani wa serikali ya Dubai Emirates , au United Arab Emirate aliyesaini mkataba ule
Wa kwetu eti kaandika kabisa, I Samia Suluhu Hassan, wakati Dubai wameandika, By This Appointment Letter! Aibu kubwa.
Unaingia Mkataba wa nchi na wahuni, ambao hawana hawana hata consent ya nchi zao, eti unawakilisha nchi ya Tanzania kuuza bandari za Tanganyika, dah inasikitisha sana
 
Wasio kuelewa naambatanisha ushahidi wa hoja yako.

Kimsingi Viongozi wa DPW wametumia Serikali yao kuupa nguvu ya Kimaifa Mkataba wa Maelewano (MoU) kati yao na TPA uliosainiwa tarehe 28/2/2022, kupitia Mkataba wa Ushirikiano (IGA) usio na ridhaa ya Viongozi wa Dubai na Falme za Kiarabu (UAE). Ni utapeli mtupu wenye harufu ya ufisadi wa kimataifa.

Inasikitisha Bunge lenye Wanasheria nguri, Madkatari wa Falsafa (PhD) na Maprofesa wameridhia kwa mbwembwe. AIBU
View attachment 2658255
ahsante sana mkuu kwa attachment, ndio uone sasa huo uhuni
 
Kama hizo sababu 9 zilizobaki unazieleza kama ulivyoeleza hii, bora usiendelee tu. Umeandika utumbo tu mwingi saaaaana. Kwa kifupi hii sababu so far haina shida yoyote wala haibatilishi chochote. Na cha kukuongezea tu, huyo Mwanasosholojia Ahmed Mahbob Musabih amesaini mikataba mingi sana ya namna tena na nchi zenye akili kuliko hizi zilizojaa utapiamlo. Ni mmoja watendaji anaeheshimika na kukubalika sana katika anga za bandari na forodha huko kwao
hahaha, kazi kweli, mimi na wewe tuna line of departure, kazi yangu ni kuelimisha jamii kama mwanasheri (citizenary) sio kufanya siasa, (kama wewe) na nina wajibu kwa nchi yangu kwa elimu Mungu aliyonijalia silipwi, na wala siitaji kulipwa, ndio maana nimesoma mkataba kama ulivyo na nimeona mapungufu mengi ya kisheria ndio naelimisha watanzania wenzangu ambao sio wanasheria waelewe hilo.

kama unadhani ni kitu kidogo kwa Rais wa JMT kusaini Mkataba na Muuni bila kupewa idhini na nchi yake kwenye mkataba wa nchi ni shida.

wewe endelea na siasa, mimi niache na taaluma yangu, lakini hunizuii kuelimisha watanzania wenzangu kwenye jambo la msingi
 
hahaha, kazi kweli, mimi na wewe tuna line of departure, kazi yangu ni kuelimisha jamii kama mwanasheri (citizenary) sio kufanya siasa, (kama wewe) na nina wajibu kwa nchi yangu kwa elimu Mungu aliyonijalia silipwi, na wala siitaji kulipwa, ndio maana nimesoma mkataba kama ulivyo na nimeona mapungufu mengi ya kisheria ndio naelimisha watanzania wenzangu ambao sio wanasheria waelewe hilo.

kama unadhani ni kitu kidogo kwa Rais wa JMT kusaini Mkataba na Muuni bila kupewa idhini na nchi yake kwenye mkataba wa nchi ni shida.

wewe endelea na siasa, mimi niache na taaluma yangu, lakini hunizuii kuelimisha watanzania wenzangu kwenye jambo la msingi
Kajielimishe kwanza serikali ya Emirate ya Dubai inaendeshwaje ndipo ujue kama Musabih amepewa dhamana na nani. Mnapotosha watu kwa elimu zenu zisizo na manufaa kwa jamii.
 
Kajielimishe kwanza serikali ya Emirate ya Dubai inaendeshwaje ndipo ujue kama Musabih amepewa dhamana na nani. Mnapotosha watu kwa elimu zenu zisizo na manufaa kwa jamii.
umesoima lakini power of attorneys, ya Dubai Emirates, au ya the United Arab Emirates, au ya Dubai Emirates na the United Arab Emirates, au unabisha tu?, soma hiyo document nieleze kapewa na nani mamlaka ya kuendorse hiyo document? au unaleta siasa kwenye facts, am not a politician pls, wewe soma niambie paragraph fulani inaonyesha kapewa mamlaka na fulani, ambaye ni kiongozi wa nchi hizo au ushirikiano wa nchi hizo

mbona yetu haina utata, imemtaja SSH kama kampa mbarawa,?
 
umesoima lakini power of attorneys, ya Dubai Emirates, au ya the United Arab Emirates, au ya Dubai Emirates na the United Arab Emirates, au unabisha tu?, soma hiyo document nieleze kapewa na nani mamlaka ya kuendorse hiyo document? au unaleta siasa kwenye facts, am not a politician pls, wewe soma niambie paragraph fulani inaonyesha kapewa mamlaka na fulani, ambaye ni kiongozi wa nchi hizo au ushirikiano wa nchi hizo

mbona yetu haina utata, imemtaja SSH kama kampa mbarawa,?
Mimi wapi nimebisha? Ile ni Emirate na kwa mfumo wa uendeshaji wa nchi yao power of attorney inatolewa kwa mfumo huo, yaani mtoaji ni given! Wewe ndiyo unataka kubisha mkuu. Jambo usilolijua, hii PoA na Mkataba wa IGA, kwa watawala vimewekwa katika lugha ya kiarabu ambapo imenyooka katika kuelel eza watu au vitu. Lete hoja ya pili hii ya kwanza umefeli. Kwanza unachanganya mambo baina ya Emirate of Dubai na United Arab Emirates. Let sababu yako ya pili, hii ni muflisi.
 
Kajielimishe kwanza serikali ya Emirate ya Dubai inaendeshwaje ndipo ujue kama Musabih amepewa dhamana na nani. Mnapotosha watu kwa elimu zenu zisizo na manufaa kwa jamii.
Hapa sasa ndo maajabu!!!!! Si utuambie wewe namna inavyoendeshwa ili tusiojua tujue!? Huyu kaonyesha huku kuna Rais na waziri wake... upande mwingine kaonyesha kuna raia tu bila maelezo yoyote ya nchi yake. Wewe kama unajua si lete ujuzi huo tubalance mambo?
 
Hapa sasa ndo maajabu!!!!! Si utuambie wewe namna inavyoendeshwa ili tusiojua tujue!? Huyu kaonyesha huku kuna Rais na waziri wake... upande mwingine kaonyesha kuna raia tu bila maelezo yoyote ya nchi yake. Wewe kama unajua si lete ujuzi huo tubalance mambo?
Nikuulize jambo moja. Ukisema "Mwenyezimungu anesema" then utahitaji ufafanuzi kama ni Mwenyezimungu gani?
 
Mimi wapi nimebisha? Ile ni Emirate na kwa mfumo wa uendeshaji wa nchi yao power of attorney inatolewa kwa mfumo huo, yaani mtoaji ni given! Wewe ndiyo unataka kubisha mkuu. Jambo usilolijua, hii PoA na Mkataba wa IGA, kwa watawala vimewekwa katika lugha ya kiarabu ambapo imenyooka katika kuelel eza watu au vitu. Lete hoja ya pili hii ya kwanza umefeli. Kwanza unachanganya mambo baina ya Emirate of Dubai na United Arab Emirates. Let sababu yako ya pili, hii ni muflisi
kumbe unabishana, mimi sio mwanasiasa pls narudia, ni mwanasheria ? hakuna kitu kwenye sheria kinaitwa mfumo wa uendeshaji wao in reference to any documents, kndly note that a legal document should meet the test of drafting, nadhani naongea na mtu asiyejua anaongea nini, tafuta mwanasheria akuelimishe, usikurupuke.

mimi natoa elimu bure ya sheria, kuhusu mkataba
Nikuulize jambo moja. Ukisema "Mwenyezimungu anesema" then utahitaji ufafanuzi kama ni Mwenyezimungu gani?
Nikuulize jambo moja. Ukisema "Mwenyezimungu anesema" then utahitaji ufafanuzi kama ni Mwenyezimungu gani?
achana nae, sheria sio siasa, Tanzania kuna serikali za kijiji, serikali ya mtaa, serikali ya zanzibar, serikali ya JMT, ukitoa document yenye inayosema serikali bila kutaja mtu anayesimama kwa niaba ya hiyo serikali utajua katoa nani, ile ni power of attorney lazima upewe, yaya kapewa na nani?

au unabisha tu, hii ni sheria sio siasa,
 
kumbe unabishana, mimi sio mwanasiasa pls narudia, ni mwanasheria ? hakuna kitu kwenye sheria kinaitwa mfumo wa uendeshaji wao in reference to any documents, kndly note that a legal document should meet the test of drafting, nadhani naongea na mtu asiyejua anaongea nini, tafuta mwanasheria akuelimishe, usikurupuke.

mimi natoa elimu bure ya sheria, kuhusu mkataba


au unabisha tu, hii ni sheria sio siasa,
Hakuna kitu hapo, nenda point na 2 tuone ila kwa hii ya kwanza, haina hoja.
 
UTANGULIZI:

Bila kugusia maudhuni yalivyoandikwa, au kukosoa kilichoandikwa, nimeandaa sababu 10 tata za kisheria ambazo zinatambainisha kwa nini mkataba wa uuzaji wa Bandari ya Tanganyika ni batili na ni wa aibu kwa nchi ambayo inawasomi wengi wa sheria;

Katika sheria za kimataifa za uwekezaji (international investment law), wawekezaji wanaokwenda kuwekeza nchi za kigeni (foreign investors), wanapashwa kulindwa na sheria za kimataifa, aidha baina ya nchi na nchi, yaani,(bilateral investment treat) kwa kifupi (BIT) au mjumuisho wa nchi mbalimbali (Multilateral investment treat) kwa kifupi inaitwa (MIT)., au baina ya nchi na mwekezaji, kwa hiyo basi endapo nchi hizo hazina, zinaweza kukubaliana kutengeza mkataba huo. kama walivyofanya JMT na Emirate of Dubai, ndio huu kwa sasa tunauita mkataba wa awali; ambao unanipeleka kwenye sababu yangu ya kwanza;

1. instrument used to endorse the document, (power of attorney), kwa Kiswahili ( Nguvu ya kisheria)

mkataba wa nchi na nchi ( a contractus cum states), utahesabika kuwa umeridhiwa na nchi hizo endopo, watia saini ni viongozi waliotajwa katika ibara ya 7(2) (a) ya sheria za Mikataba ya Kimataifa ( Vienna Convention on the Law of Treaties, 1969) inataja wakuu wa nchi, wakuu wa serikali, au mawaziri wa nchi za nje ( foreign affairs), 7 (2) (b), inawataja mabalozi wawakilishi wa nchi zao, 7(2) (c) wawakilishi wa nchi wa taasisi za kimataifa.

Kinyume na ibara ya 7 (2) ya sheria za mikataba za kimataifa (Vienna Convention on the Law of Treaties), ibara 7 (1) ya sheria hizo, inatoa nafasi kwa waliopewa nguvu ya kisheria wanaweza pia kusaini mikataba baini ya nchi zao na nchi zingine.


(a) Nguvu ya kisheria ni nini? ( what is power of attorney), (full power) (instrument)
(is document that gives power to another person, to perfom duties on his/her behalf that other person would have done ), yaani ni nyaraka inayotoa uwezo, nguvu, mamlaka, kwa niaba ya mtoaji uwezo huo, kufanya kazi ambayo mtu anayeitoa nangeweza kuifanya.

watiaji saini, wa mkabata wa uuzwaji wa bandari ya Tanganyika, wanaangukia Ibara ya 7 (1) ya sheria za mikataba ya kimataifa, ( the vienne Convention, on the law of treaties, 1969), kwa maana nyingine wanatakiwa waonyeshe nani kawapa nguvu ya kisheria (power of attorneys, or full power), kuziwakilisha nchi zao, ili kukidhi takwa kuonyesha wazi kuwa nchi ndio imetoa ridhaa, (consent) kuruhusu wao wasaini mkataba/mikataba huo/hiyo.

(b)characterization of the power of attorneys, full power: (mchanganua wa nguvu ya kisheria)

nguvu ya kisheria (power of attorneys) ina sehemu kuu mbili; yaani ni lazima pawepo na mtoaji, au kisheria tunamwita (Donor ,or the giver) na sehemu ya pili, lazima pawepo na mpokeaji, yaani ( Donee, or the recepient). hawa lazima wawepo kwa majina na vyeo vyao. au ni lazima waeleze uhusiano wao na document wanayotoa nguvu ya kisheria kwa mtu mwingine.

(c) utata:

Upande wa Tanzania;

Ukisoma nyaraka zinazotembea na ambazo hazijakanushwa kuwa ni feki, utaona pasipo shaka kuwa, nguvu za kisheria, kwa upande wa JMT zimekidhi vigezo , kwa maana Mtoa ni nchi, na kiongozi mkuu wa nchi anatoa kwa kwa niaba ya nchi yaani Rais wa JMT, na anayepokea ni mbarawa, katika nafasi yake kama Waziri.

kwa Upande, wa the Emirate of Dubai
wakati kwa upande wa Emirates of Dubai, mtoaji aidha ni Emirate of Dubai, au United Arab Emirate , au Emirate of Dubai na United Arab Emirates, hayo atayaona kwenye kichwa (heading) ya appointment letter, mstari wa pili wa power of attorneys, na kwenye footing, yaani signature, ( kwa hiyo signature (saini) watoaji ni wawili, heading mtoaji ni mmoja, second line, watoaji ni wawili) (Emirate of Dubai, na United Arabu Emirates),

anayetoa nguvu ya kisheria, hatajwi kwa jina wala kwa nyadhifa yake, au cheo chake, au uhusiano wake na serikali hizo mbili na nguvu alizozonazo kisheria, kumpatia mpokeaji. ( kwa tafsili nyepesi, hakuna mtoaji wa nguvu ya kisheria kwa upande wa serikali zote mbili tajwa katika power of attorney hizo.

ila, takwa la pili kwa maana ya mpokeaji anatajwa, kwa maana ya H.E. Ahmed Mahboob Musabih, ambaye ni Chief Executive Officer of the Ports, Customs and Free Zone Corporation ( being referred to as agent).

2. what does it mean? ina maana gani kisheria
jibu ni jepesi, hakuna ridhaa (consent ) ya serikali ya Emirate of Dubai, au United Arab Emirates, iliyoridhia kusainiwa mkataba huo.

itaendelea, ........................................................................................................................kesho sababu tata ya ya pili;


Tunasubiri ya pili hayo ya kwanza tumeelewa sana,,, huyu mzanzibari atuachie nchi yetu imemshinda yeye kila kitu ni kuuza tu mwishowe sote tutauzwa kama watumwa kwa waarabu
 
Nimekuelewa sana mtoa mada ingawa mimi sio Mwana Sheria.

Kwa upande wa Tanganyika, mkataba umesainiwa na Raisi wa Nchi au kwa niaba ya Raisi wa nchi mwenye nguvu ya kisheria na imetaja cheo chake Rais.

Ili kubalance ilitakiwa na wenye mkataba asaini pia Raisi wa nchi ya UAE na mkataba utaje cheo chake.

Hapa ni sawa na Nchi inaingia mkataba na msela mmoja wa mtaani wa nchi nyingine, huku mwenye nchi ile hana habari.

Yaani nchi ya Tanganyika inauza raslimali zake kwa raia wa nchi nyingine bila ridhaa ya mwenye nchi hiyo.

Safi sana mto mada tunasubiri KASORO ya pili.
Mwarabu safari hii haji kwa huu ujanja ujanja tutagawana fito.
Hapa mpaka kieleweke.
Unajua wapumbavu wachache na ninaamini ni wachache kwa wakati tulionao hawaelewi kwamba ndani ya hii hii serikali ya SAMIA wapo wanao mpenda Mama Tanzania na watanzania wote hivyo wamesha alart juu ya ubovu wa mkataba huu chin chin baada ya kuusoma na hawapendi kufahamika.Sasa anakuja mtu anasifu tu wala haelewi ndugu zangu ukisha ambiwa juu ya hatari ya usalama wa nchi,kaa kimya uache nafasi kwa watu wenye akili wajadili ww subiri mijadala mingine ya level yako na utajadili vzr tu,huu mjadala wa bandari wajadili wenye akili ya kisheria,na sio kuvamia kila jukwaa na kuanza kusifia kunakotokana na ulemavu wa kimazoea na kusifia kila kitu.
 
Tutumie kipengele Cha ' non est fuctum' kuukana mkataba, mwanasheria unasemaje hapa?
 
Back
Top Bottom