Infinite_Kiumeni
JF-Expert Member
- Jan 23, 2023
- 382
- 687
- Thread starter
-
- #21
Kwasababu huwezi angalia upande mmoja wa kitu alafu ukijaji haraka.Kwanini uashum mwanaume kuwa mkali?
Kwanini uashum kupigwa?
Umeshindwa kuashum vitu positive ili uprove ur point?
Kwanza ni jambo zuri kuligundua hilo, mana ukijua jambo tayari umelitatua kwa asilimia kubwa.Hivi pengne sijazoea upendo wa dhati?naona kama nafanyiwa mambo mazuri na sistahili kbs?sasa apo tunatibiwaje mkuu
Na pia huwez kuangalia aina moja ya wanaume ukageneralizeKwasababu huwezi angalia upande mmoja wa kitu alafu ukijaji haraka.
Ahsante nimeelewa na ndivyo mapenz yalivyo 3 months ushamchoka mtu.Yaan ni kwamba kadri unavyotumia kitu , hamu huwa inapungua kadri unavyotumia mfano maji ya kunywa unapokunywa kikombe cha kwanza ile hamu huwa inapungua, sivyo kama utakavyokunywa kwenye kikombe cha tatu !! Au kitu kikiwa kipya kadri unavyoendelea kukitumia utaona cha kawaida tu
Kwanza ijulikane kuwa kuna aina mbili za wanawake, wanawake wanaojiheshimu, wanaojithamini na kutunza utu wao kwenye jamii (wife materials) na wanawake wengine wote waliobaki.
Wanawake wengine waliobaki ni rahisi kukusaliti kwa kuwa haridhiki, hawa ndio wale tunaambiwa tusioe/ tusitengeneze nao maisha, wao kutoka nje ni kama mchezo, kwaiyo sitowazungumzia hao sababu ni kutwanga maji kwenye kinu.
Usije ukawachanganya hao na wanawake wenye utu. Nitazungumzia wanawake wenye utu lakini wanajikuta wametoka baada ya kufanya uamuzi aidha watoke au wakubali matokeo na kuishi nayo, hawa tuwaite wife material.
Mwanaume kuanza kumsaliti mkewe. Kuna sababu nyingi za kutoka nje lakini mara nyingi huwa ni kwamba mwanaume amegombana na mkwewe kufikia hatua hawaridhishani na wote (au mmoja) wamekata tamaa kwenye mahusiano yao.
Wife material huwa na uvumilivu sana, anaweza vumilia hata kwa miaka mume wake kumsaliti, lakini maji yakimfika shingoni naye anatoka nje ili kulipiza au kutafuta hali ya kuridhishwa. Kama Diamond kwa Zari. Hapa nashauri kama unapenda mahusiano na wanawake wengi muweke wazi mapema, wanawake ni waelewa sana.
Mahusiano kuwa ya mazoea. Mwanaume umetoka adhuhuri, umepiga kazi jioni umerudi unalala moja kwa moja, halafu kesho asubuhi unaendelea na mzunguko huo huo! Hamna changamoto mpya, ghafla una kitambi kisichoeleweka na mkeo huoni shepu yake tena, mpo mpo tu (sexless relationship). Mwanamke atavumumilia kwa muda lakini akipata changamoto sehemu nyingine ya kumfanya ajisikie uhai upya, lazima atatoka.
Kutoridhishwa kitandani. Mnaweza mkawa mnaishi vizuri tu na kupeana changamoto, lakini kuna wife material wanaopenda kufanya mapenzi kwa staili tofauti, anataka akunjwe kunjwe, abananishwe vizuri na kufanya mazingira tofauti. Wanataka kufikishwa kileleni.
Hawa humvumilia mwanaume kwa kujipa moyo mambo yatakua mazuri mpaka watakapochoka kuvumilia. Kwaiyo atatoka ili tu akakunjwe kiuno vizuri, hata kama unampatia mahitaji mengine yote vizuri.
Mwanaume kuwaza na kuamini atasalitiwa tu. Anaweza akawa anamfikisha kileleni na mahitaji yote anampatia lakini kauli zake ni za usaliti na stori zake (anazosoma na kuandika) ni za usaliti na haamini kama kuna mwanamke mwaminifu.
Mfano, anamwambia mwanamke “yani we siku ukinisaliti sijui itakuaje?” “wasije wakina nani/ walionizidi wakakuchukua”. Kichwa chake kinakua kinawaza ipo siku atasalitiwa kama wengi wanavyoaminishana, mawazo yetu yanatengeneza imani na kwa kuwa ukiaminicho ndicho ukipatacho (hata vitabu vitakatifu vimeandika mfano Math 9:29, na haijalishi wewe ni dini gani) basi hamna namna zaidi ya kusalitiwa, alafu utamsikia akisema wanawake sio wa kuaminika.
Ndio mana nimetengeneza kundi la infinite kiumeni ili wachache wenye mawazo mazuri na chanya wawe pamoja (ndege wafananao huruka pamoja) waweze kujifunza zaidi kuwatunza wanawake wao na kujenga nao maisha.
Mwanaume kulega kwenye mahusiano. Mwanaume akiacha nafasi yake ya uongozi mwanamke huichukua japo hawapendi ila ili mahusiano yaendelee hana budi.
Mwanaume hupangiwa unyumba au unakuta mwanaume hana sauti kwa mkwewe, anachukuliwa kama mwanamke mwenzake. Hakuna wife material ambaye yupo tayari kulala na mwanamke mwenzake hivyo atatafuta mwanaume nje ili amuongoze.
.
Trauma ya upendo (kwa kiswahili sijui niiwekeje). Hii ni pale mtu anakua haamini kupendwa kwa dhati, mtu akipendwa anaona kama anadhuriwa, mwili na akili yake havijazoea hali ya upendo wa dhati. Hutokea kwa wanaume na wanawake.
Kuna binti aliwahi nipenda sana ila kwa kuwa sijawahi kuushuhudia upendo wa dhati niliyaharibu mahusiano, ndo hapo nikajifunza hili na kulifanyia kazi. Hata mwanamke naye anaweza kuwa wife material lakini kama hajawahi kupata upendo wa dhati, siku akiupata utamshinda na atayaharibu mahusiano tu.
Hii ni tofauti na kuamini kusalitiwa, mtu unaweza usiamini katika usaliti lakini unajikuta huwezi kuhimili majukumu ya upendo wa dhati, kwa kuwa umezoea upendo wa juu juu/ kawaida.
Sababu nyingine ni ndoa za kulazimishana, mwanaume kutoweza kutungisha mimba hivyo mwanamke anakua katika presha kubwa, makundi ambayo mwanamke yupo, mwanaume kushindwa kumsoma mwanamke wake yupo katika hatua gani ya upendo.
Ukiangalia hapo asilimia kubwa ya vyanzo ni mwanaume mwenyewe sababu mwanaume ndio kiongozi, yeye ndiye anatakiwa aongoze mahusiano kule anakotaka yeye kwa wife material wake.
Hivyo ni muhimu kwa wanaume kujifunza jinsi ya kumuongoza na kuishi na wife material vizuri, hao wanawake aina nyingine utapasua tu kichwa chako huwezi ukawabadili mpaka wao wenyewe waamue, hivyo usihangaike nao. Karibu infinite kiumeni upate kujifunza zaidi.
DMMkuu umetengeneza kundi gani
AiseeKwanza ni jambo zuri kuligundua hilo, mana ukijua jambo tayari umelitatua kwa asilimia kubwa.
Kwa mimi nilianza kujiweka na mawazo chanya, kama vile "nastahili upendo wa dhati" na kujisikia hivyo.
Angalia vitu vinavyoenda vizuri kwenye maisha yako na uanze kujiaminisha kwamba unastahili hata kama wengine wanakuambia sivyo (hiyo ndo siri ya imani).
Mwanamke wako akikufanyia kitu kizuri kiangalie hiko msifie kuliko kutafuta makosa yake kila saa.
.
Tafuta mambo yanayojirudia kwenye mahusiano, mfano, labda uliwahi kupendwa na wanawake kadhaa na wote uliachana nao mlipoanza kuwa karibu zaidi. Maana yake inabidi uanze kufanyia kazi kwanini huwa mnaachana mkiwa mnaanza kua karibu? nini kinakuaga chanzo cha kuvunjika mahusiano? huwa naongea maneno gani kipindi kama hiko? vitendo vyangu huwaje? vitendo vyangu vinaashiria nataka upendo?
hayo maswali yatakuongoza kuona vitu vinavyojirudia na kuvifanyia kazi kwa kufanya kitendo cha tofauti na ulivyokua unafanya awali.
Kabisa wewe upo kiwapi??Umalaya ni laana
Mie nikiolewa naenda kuitunza familia siwezi kuliwa njee Hilo siwezi Kisa nilishaachaguaa ila ndoa inahitaji ubunifuHakuna cha MKE anayejiheshimu wala nini,,,, kila Mwanamke ana dau lake au udhaifu wake, amini nakwambia 😂😂😂
We kijana hivi ukiingia kwenye ndoa utadumu huko kweli?!Kadiri unavyozidi kutumia kitu mara nyingi ndivyo thamani yake kwako inazidi kupungua (mwishowe unakinai)..
In this case, siku ya kwanza unakula manzi fulani unafurahia sana (thamani yake kwako inakuwa ipo juu). Ukimla huyo huyo mara nyiiingi, mzuka wako kwake unaendelea kupungua hadi inafika wakati unakuwa huna hamu naye.. Ndo pale unapeleka akili kwa Rose ili uweze kugegeda Eliza😁
Haya mamaMie nikiolewa naenda kuitunza familia siwezi kuliwa njee Hilo siwezi Kisa nilishaachaguaa ila ndoa inahitaji ubunifu
Mrembo, hayo niliyoandika siyo msimamo wangu bhana!We kijana hivi ukiingia kwenye ndoa utadumu huko kweli?!
Hakuna justification ya mwanamke kutoka nje ya ndoa au mahusiano yake. Malaya ni malaya tuu.Kwanza ijulikane kuwa kuna aina mbili za wanawake, wanawake wanaojiheshimu, wanaojithamini na kutunza utu wao kwenye jamii (wife materials) na wanawake wengine wote waliobaki.
Wanawake wengine waliobaki ni rahisi kukusaliti kwa kuwa haridhiki, hawa ndio wale tunaambiwa tusioe/ tusitengeneze nao maisha, wao kutoka nje ni kama mchezo, kwaiyo sitowazungumzia hao sababu ni kutwanga maji kwenye kinu.
Usije ukawachanganya hao na wanawake wenye utu. Nitazungumzia wanawake wenye utu lakini wanajikuta wametoka baada ya kufanya uamuzi aidha watoke au wakubali matokeo na kuishi nayo, hawa tuwaite wife material.
Mwanaume kuanza kumsaliti mkewe. Kuna sababu nyingi za kutoka nje lakini mara nyingi huwa ni kwamba mwanaume amegombana na mkwewe kufikia hatua hawaridhishani na wote (au mmoja) wamekata tamaa kwenye mahusiano yao.
Wife material huwa na uvumilivu sana, anaweza vumilia hata kwa miaka mume wake kumsaliti, lakini maji yakimfika shingoni naye anatoka nje ili kulipiza au kutafuta hali ya kuridhishwa. Kama Diamond kwa Zari. Hapa nashauri kama unapenda mahusiano na wanawake wengi muweke wazi mapema, wanawake ni waelewa sana.
Mahusiano kuwa ya mazoea. Mwanaume umetoka adhuhuri, umepiga kazi jioni umerudi unalala moja kwa moja, halafu kesho asubuhi unaendelea na mzunguko huo huo! Hamna changamoto mpya, ghafla una kitambi kisichoeleweka na mkeo huoni shepu yake tena, mpo mpo tu (sexless relationship). Mwanamke atavumumilia kwa muda lakini akipata changamoto sehemu nyingine ya kumfanya ajisikie uhai upya, lazima atatoka.
Kutoridhishwa kitandani. Mnaweza mkawa mnaishi vizuri tu na kupeana changamoto, lakini kuna wife material wanaopenda kufanya mapenzi kwa staili tofauti, anataka akunjwe kunjwe, abananishwe vizuri na kufanya mazingira tofauti. Wanataka kufikishwa kileleni.
Hawa humvumilia mwanaume kwa kujipa moyo mambo yatakua mazuri mpaka watakapochoka kuvumilia. Kwaiyo atatoka ili tu akakunjwe kiuno vizuri, hata kama unampatia mahitaji mengine yote vizuri.
Mwanaume kuwaza na kuamini atasalitiwa tu. Anaweza akawa anamfikisha kileleni na mahitaji yote anampatia lakini kauli zake ni za usaliti na stori zake (anazosoma na kuandika) ni za usaliti na haamini kama kuna mwanamke mwaminifu.
Mfano, anamwambia mwanamke “yani we siku ukinisaliti sijui itakuaje?” “wasije wakina nani/ walionizidi wakakuchukua”. Kichwa chake kinakua kinawaza ipo siku atasalitiwa kama wengi wanavyoaminishana, mawazo yetu yanatengeneza imani na kwa kuwa ukiaminicho ndicho ukipatacho (hata vitabu vitakatifu vimeandika mfano Math 9:29, na haijalishi wewe ni dini gani) basi hamna namna zaidi ya kusalitiwa, alafu utamsikia akisema wanawake sio wa kuaminika.
Ndio mana nimetengeneza kundi la infinite kiumeni ili wachache wenye mawazo mazuri na chanya wawe pamoja (ndege wafananao huruka pamoja) waweze kujifunza zaidi kuwatunza wanawake wao na kujenga nao maisha.
Mwanaume kulega kwenye mahusiano. Mwanaume akiacha nafasi yake ya uongozi mwanamke huichukua japo hawapendi ila ili mahusiano yaendelee hana budi.
Mwanaume hupangiwa unyumba au unakuta mwanaume hana sauti kwa mkwewe, anachukuliwa kama mwanamke mwenzake. Hakuna wife material ambaye yupo tayari kulala na mwanamke mwenzake hivyo atatafuta mwanaume nje ili amuongoze.
.
Trauma ya upendo (kwa kiswahili sijui niiwekeje). Hii ni pale mtu anakua haamini kupendwa kwa dhati, mtu akipendwa anaona kama anadhuriwa, mwili na akili yake havijazoea hali ya upendo wa dhati. Hutokea kwa wanaume na wanawake.
Kuna binti aliwahi nipenda sana ila kwa kuwa sijawahi kuushuhudia upendo wa dhati niliyaharibu mahusiano, ndo hapo nikajifunza hili na kulifanyia kazi. Hata mwanamke naye anaweza kuwa wife material lakini kama hajawahi kupata upendo wa dhati, siku akiupata utamshinda na atayaharibu mahusiano tu.
Hii ni tofauti na kuamini kusalitiwa, mtu unaweza usiamini katika usaliti lakini unajikuta huwezi kuhimili majukumu ya upendo wa dhati, kwa kuwa umezoea upendo wa juu juu/ kawaida.
Sababu nyingine ni ndoa za kulazimishana, mwanaume kutoweza kutungisha mimba hivyo mwanamke anakua katika presha kubwa, makundi ambayo mwanamke yupo, mwanaume kushindwa kumsoma mwanamke wake yupo katika hatua gani ya upendo.
Ukiangalia hapo asilimia kubwa ya vyanzo ni mwanaume mwenyewe sababu mwanaume ndio kiongozi, yeye ndiye anatakiwa aongoze mahusiano kule anakotaka yeye kwa wife material wake.
Hivyo ni muhimu kwa wanaume kujifunza jinsi ya kumuongoza na kuishi na wife material vizuri, hao wanawake aina nyingine utapasua tu kichwa chako huwezi ukawabadili mpaka wao wenyewe waamue, hivyo usihangaike nao. Karibu infinite kiumeni upate kujifunza zaidi.
Mi bahili sana, umalaya ni gharama kubwaKabisa wewe upo kiwapi??
Umetuliaga au unaksmchepuko??😆🤦
Sijasoma uzi ngoja nijibu kwa uelewa wangu.Kwanza ijulikane kuwa kuna aina mbili za wanawake, wanawake wanaojiheshimu, wanaojithamini na kutunza utu wao kwenye jamii (wife materials) na wanawake wengine wote waliobaki.
Wanawake wengine waliobaki ni rahisi kukusaliti kwa kuwa haridhiki, hawa ndio wale tunaambiwa tusioe/ tusitengeneze nao maisha, wao kutoka nje ni kama mchezo, kwaiyo sitowazungumzia hao sababu ni kutwanga maji kwenye kinu.
Usije ukawachanganya hao na wanawake wenye utu. Nitazungumzia wanawake wenye utu lakini wanajikuta wametoka baada ya kufanya uamuzi aidha watoke au wakubali matokeo na kuishi nayo, hawa tuwaite wife material.
Mwanaume kuanza kumsaliti mkewe. Kuna sababu nyingi za kutoka nje lakini mara nyingi huwa ni kwamba mwanaume amegombana na mkwewe kufikia hatua hawaridhishani na wote (au mmoja) wamekata tamaa kwenye mahusiano yao.
Wife material huwa na uvumilivu sana, anaweza vumilia hata kwa miaka mume wake kumsaliti, lakini maji yakimfika shingoni naye anatoka nje ili kulipiza au kutafuta hali ya kuridhishwa. Kama Diamond kwa Zari. Hapa nashauri kama unapenda mahusiano na wanawake wengi muweke wazi mapema, wanawake ni waelewa sana.
Mahusiano kuwa ya mazoea. Mwanaume umetoka adhuhuri, umepiga kazi jioni umerudi unalala moja kwa moja, halafu kesho asubuhi unaendelea na mzunguko huo huo! Hamna changamoto mpya, ghafla una kitambi kisichoeleweka na mkeo huoni shepu yake tena, mpo mpo tu (sexless relationship). Mwanamke atavumumilia kwa muda lakini akipata changamoto sehemu nyingine ya kumfanya ajisikie uhai upya, lazima atatoka.
Kutoridhishwa kitandani. Mnaweza mkawa mnaishi vizuri tu na kupeana changamoto, lakini kuna wife material wanaopenda kufanya mapenzi kwa staili tofauti, anataka akunjwe kunjwe, abananishwe vizuri na kufanya mazingira tofauti. Wanataka kufikishwa kileleni.
Hawa humvumilia mwanaume kwa kujipa moyo mambo yatakua mazuri mpaka watakapochoka kuvumilia. Kwaiyo atatoka ili tu akakunjwe kiuno vizuri, hata kama unampatia mahitaji mengine yote vizuri.
Mwanaume kuwaza na kuamini atasalitiwa tu. Anaweza akawa anamfikisha kileleni na mahitaji yote anampatia lakini kauli zake ni za usaliti na stori zake (anazosoma na kuandika) ni za usaliti na haamini kama kuna mwanamke mwaminifu.
Mfano, anamwambia mwanamke “yani we siku ukinisaliti sijui itakuaje?” “wasije wakina nani/ walionizidi wakakuchukua”. Kichwa chake kinakua kinawaza ipo siku atasalitiwa kama wengi wanavyoaminishana, mawazo yetu yanatengeneza imani na kwa kuwa ukiaminicho ndicho ukipatacho (hata vitabu vitakatifu vimeandika mfano Math 9:29, na haijalishi wewe ni dini gani) basi hamna namna zaidi ya kusalitiwa, alafu utamsikia akisema wanawake sio wa kuaminika.
Ndio mana nimetengeneza kundi la infinite kiumeni ili wachache wenye mawazo mazuri na chanya wawe pamoja (ndege wafananao huruka pamoja) waweze kujifunza zaidi kuwatunza wanawake wao na kujenga nao maisha.
Mwanaume kulega kwenye mahusiano. Mwanaume akiacha nafasi yake ya uongozi mwanamke huichukua japo hawapendi ila ili mahusiano yaendelee hana budi.
Mwanaume hupangiwa unyumba au unakuta mwanaume hana sauti kwa mkwewe, anachukuliwa kama mwanamke mwenzake. Hakuna wife material ambaye yupo tayari kulala na mwanamke mwenzake hivyo atatafuta mwanaume nje ili amuongoze.
.
Trauma ya upendo (kwa kiswahili sijui niiwekeje). Hii ni pale mtu anakua haamini kupendwa kwa dhati, mtu akipendwa anaona kama anadhuriwa, mwili na akili yake havijazoea hali ya upendo wa dhati. Hutokea kwa wanaume na wanawake.
Kuna binti aliwahi nipenda sana ila kwa kuwa sijawahi kuushuhudia upendo wa dhati niliyaharibu mahusiano, ndo hapo nikajifunza hili na kulifanyia kazi. Hata mwanamke naye anaweza kuwa wife material lakini kama hajawahi kupata upendo wa dhati, siku akiupata utamshinda na atayaharibu mahusiano tu.
Hii ni tofauti na kuamini kusalitiwa, mtu unaweza usiamini katika usaliti lakini unajikuta huwezi kuhimili majukumu ya upendo wa dhati, kwa kuwa umezoea upendo wa juu juu/ kawaida.
Sababu nyingine ni ndoa za kulazimishana, mwanaume kutoweza kutungisha mimba hivyo mwanamke anakua katika presha kubwa, makundi ambayo mwanamke yupo, mwanaume kushindwa kumsoma mwanamke wake yupo katika hatua gani ya upendo.
Ukiangalia hapo asilimia kubwa ya vyanzo ni mwanaume mwenyewe sababu mwanaume ndio kiongozi, yeye ndiye anatakiwa aongoze mahusiano kule anakotaka yeye kwa wife material wake.
Hivyo ni muhimu kwa wanaume kujifunza jinsi ya kumuongoza na kuishi na wife material vizuri, hao wanawake aina nyingine utapasua tu kichwa chako huwezi ukawabadili mpaka wao wenyewe waamue, hivyo usihangaike nao. Karibu infinite kiumeni upate kujifunza zaidi.