Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 52,812
- 71,392
KOLO WIZARD FC KATIKA UBORA WAKO1. Mayele kukosa kiatu cha ufungaji bora
2. Sakho kushinda tuzo ya goli la kideo la CAF
3. Jezi zenye makaburi na daraja la Mfugale
4. Mkataba wa M-Bet kuwa mnono kuliko wa SportPesa
5. Manara kufungiwa
6. Senzo kumkimbia Morisson
7. Kocha Nabi kugoma kusaini mkataba mpya
Wanakuja kutengeneza CVHuku huwa wanakuja wakiwa wanasikilizia michongo mingine ila kiukweli mazingira ya viwanja na uswahili kwenye soccer letu sio rafiki kwa makocha wazuri toka nje,
Burundi wameweza, Africa kusini pia wameweza badala ya watu kujazana kwenye uchambuzi wangeenda kusomea ukocha wangepiga baoKweli kabisa yaan kuna haja ya kutengeneza makocha wetu
Hiki ndicho kipindi pekee cha makolo kufurahi baadae ni vilio na lawama1. Mayele kukosa kiatu cha ufungaji bora
2. Sakho kushinda tuzo ya goli la kideo la CAF
3. Jezi zenye makaburi na daraja la Mfugale
4. Mkataba wa M-Bet kuwa mnono kuliko wa SportPesa
5. Manara kufungiwa
6. Senzo kumkimbia Morisson
7. Kocha Nabi kugoma kusaini mkataba mpya
Inasikitisha sana timu yetu Simba kujikita na habari za kimbea msimu huu yaani tunaacha kujadili makombe yetu ya msimu uliopita ,usajili wetu na maendeleo ya kikosi kama misimu mingine.Nabi kagoma kusaini mkataba mpya?
Kucheza mechi za preseason na Kibada FC8. Aziza kinabo na joyce kuleta gundu.
9. Kucheza na machava fc.
10. Kuweka kambi kimbiji.
Huyo Nabi hata akiondoka Yanga hii hata ukimleta Mkwasa bado ni hatari sana!Bora umekuwa mkweli, wenzio wanapiga kelele tu mkataba wa Simba na M- bet feki, wakiambiwa waweke original wanaleta makasiriko tu.
Nabi ameandaliwa mkataba mnono na FAR Rabat ya Morroco akarithi nafasi ya Sven, akiukataa atakuwa hajielewi.
Afu wakatawaza na mwiko nyumaUmesahau,Haji kasema walijinyea.
Hi Mjamaa, it's been a while... sisi tuko fresh tu na jezi zetu zenye branches nyingi kama majani ya matembele😂😂
Hao wanaofundisha soka Afrika huwezi wasikia wamepata timu Ulaya. Wanazunguka humu humu tu.Hawa wa sub sahara wanaweza kumudu maana tofauti sio kubwa sana wote sisi ni wahuni tu ila mzungu na nchi zilizopiga hatua kwenye soka hapa wanakuja kuzuga tu
Hao wanaofundisha soka Afrika huwezi wasikia wamepata timu Ulaya. Wanazunguka humu humu tu.
Hao viwango vyao vidogo ulaya hawapati timuHao wanaofundisha soka Afrika huwezi wasikia wamepata timu Ulaya. Wanazunguka humu humu tu.
Duuh hupendezei kuwa utopolo mkuu. Hamia simbaHi Mjamaa, it's been a while... sisi tuko fresh tu na jezi zetu zenye branches nyingi kama majani ya matembele😂😂
Slogan ya byut byut1. Mayele kukosa kiatu cha ufungaji bora
2. Sakho kushinda tuzo ya goli la kideo la CAF
3. Jezi zenye makaburi na daraja la Mfugale
4. Mkataba wa M-Bet kuwa mnono kuliko wa SportPesa
5. Manara kufungiwa
6. Senzo kumkimbia Morisson
7. Kocha Nabi kugoma kusaini mkataba mpya
🤣🤣🤣 ramani ya sensaHi Mjamaa, it's been a while... sisi tuko fresh tu na jezi zetu zenye branches nyingi kama majani ya matembele😂😂
tangu tumechukua ubingwa ukapotea sijakuona, pole hahaaa🤣🤣🤣 ramani ya sensa
aaah acha Yanga iniue, sihamiiDuuh hupendezei kuwa utopolo mkuu. Hamia simba