Sababu Gani Wakenya Huja Huku JamiiForums?

Sababu Gani Wakenya Huja Huku JamiiForums?

Hivi kwa mtazamo wako nipate forum ipo vipi ?
Nipate forum, ile ndogo sana. It still lacks that "appeal factor" that drew so many to Mashada forums. Mashada was big as it was global, with west Africans, Southern Africans, Asians and Americans using that blog to exchange ideas, and mostly to insult and degrade each other (ie Kenyans vs Nigerians; whites/indians vs blacks; somalis (cushites) vs bantus; the terrorists taunting at the morning Kenyans after a successful terror attack etc).
But when Kenyans begun using it to tear each other apart, along tribal or political divides, the authorities thot, this is one luxury Kenya cant afford to have. It had to be shut down.
 
Waiteni wachangamshe ngeli ya genge...si unajua matani ya TZ na Kenya yanatufanya tupasuke mbavu
Ngeli ya genge si nyote mtatoroka? Wakija wale wabaya kama wale walikuwa Mashada, haki ya nani hii section ya Kenya News inaeza fungwa tu........forever!
 
Mara kwa mara huwa nasoma mambo kama "Wakenya mmeshindwa kutengeneza JF yenu"... "Tuwachie sisi JF yetu"... "Imetengenezwa na Watanzania"... "Hamna forums zenu"... "Hamna kazi ya kufanya mnakuja huku"...

Mnachosema ni kwamba hamtutaki kwenye forums zenu. Eti tusije. Lakini wacha niwaambie, tutasijaaa! Tena kwa rabsha na sokomoko.

Sababu moja itakayofanya tuzidi kusija JF inaweza kupatwa kwenye video hii hapa ya Coca Cola:


Tanzania ni kama ule mdogo. Na sisi? Si unajua tu.

Hata kama tunawahangaisha, deep down in our hearts, tunawapenda pia. Nyie ni ndugu zetu wa jadi. Na yeyote atakaye jaribu kuwasumbua, mtuambie tu. Tutapambana nao.

Kenya na Tanzania haziwezi kutenganishwa. Mimi kibinafsi, ninazo asili za Kitanzania (robo ya familia yangu iko TZ). Na tumetoka mbali, sisi majirani wawili.


TLDR: Tutaendelea kuja JF, tutaendelea kuwahangaisha, lakini hata hivyo, tunawapenda sana.

1472315910794.jpg
 
Mara kwa mara huwa nasoma mambo kama "Wakenya mmeshindwa kutengeneza JF yenu"... "Tuwachie sisi JF yetu"... "Imetengenezwa na Watanzania"... "Hamna forums zenu"... "Hamna kazi ya kufanya mnakuja huku"...

Mnachosema ni kwamba hamtutaki kwenye forums zenu. Eti tusije. Lakini wacha niwaambie, tutasijaaa! Tena kwa rabsha na sokomoko.

Sababu moja itakayofanya tuzidi kusija JF inaweza kupatwa kwenye video hii hapa ya Coca Cola:


Tanzania ni kama ule mdogo. Na sisi? Si unajua tu.

Hata kama tunawahangaisha, deep down in our hearts, tunawapenda pia. Nyie ni ndugu zetu wa jadi. Na yeyote atakaye jaribu kuwasumbua, mtuambie tu. Tutapambana nao.

Kenya na Tanzania haziwezi kutenganishwa. Mimi kibinafsi, ninazo asili za Kitanzania (robo ya familia yangu iko TZ). Na tumetoka mbali, sisi majirani wawili.


TLDR: Tutaendelea kuja JF, tutaendelea kuwahangaisha, lakini hata hivyo, tunawapenda sana.

Njooni tu. Changamoto yenu ni muhimu.
 
Ngeli ya genge si nyote mtatoroka? Wakija wale wabaya kama wale walikuwa Mashada, haki ya nani hii section ya Kenya News inaeza fungwa tu........forever!
Aisee lile forum mashada niliitoa nafsini mara that that. Hata post 1 sikufanya. Nilijua toka mwanzo kilikuwa mbofu..
Kwa wale wanaotaka kuwatoa wakenya JF, kumbukeni lugha pendwa inayotumika sana humu haitawaruhusu. Itakuwa sawa na kuwafukuza walimwengu wote Facebook, kisa sio wamarekani(hitowezekana).

Hata hivyo inabidi tujenge yetu kama vile nairaland (Leo huko wanatuvamia aisee). Swali ni je, nini kinachotuzuia? Naona tuwe na mwekezaji mpya tofauti na Kobia wa mashada au washirika wake, watupe psyche fresh bila vijembe kali na wenye hawalengi mrengo wowote wa kisiasa(gumu sana). Mwenye nia zuri na mwenye haogopi ban/piga marufuku hawa masokwe ya mitusi nono.
 
Wakenya na WaTz tukikutana ugenini tunakuwa karibu sana kuliko hata waganda.lkn humu tunapigana vijembe
 
wakenya ni katiri sana na wanawake wake pia ni wezi sana kama hamjui tuulizeni au waulizeni wanaoishi au kwenda kenya mara kwa mara watawaambia ni bora uende uganda wakarimu sana wakikuona mtanzania unamatatizo ila uwe na matatizo ya kawaida kabisa kenya utajuta na ukija kenya we jichanganye na bint wa kenya utacheki picha wao wamekaa ki bepari zaidi
 
Back
Top Bottom