Sababu gani zilifanya Jay Jay Okocha asitwae Ballon D' or enzi zake?

Ina maana xavi,iniesta,Modric,Marcelo nk siyo mafundi

Ishu saizi ballon dor saizi wanatizama idadi ya magoli

Hata zizzou angekuwa enzi hii ballon dor angesikia kwenye bomba

Ballon dor ni kwaajili ya strikers siku hizi

Well said!
 

Dah, sawa kaka
 
Hao uliowataja bado huwezi wafananisha na akna de Lima, Ronaldinho au Zidane na Messi au Ronaldo wangekuwepo kipindi hicho wasingeshnda kwa kupokezana na kaa ujue mpira kwa sasa ni umekufa ila tunaupenda tu ndo maana hatuachi kuangalia ila angalia world cup za miaka ya karibuni uangalie na za miaka 90 hadi the 02 utaona utofauti mkubwa sanaa ya wachezaji wa sasa na kipindi kile pia angalia ligi kuu kama Seria A na nyingine zote mpaka uingereza ni tofauti na miaka ile tena na Afcon ndo kabisa hakuna kitu kwa kweli wachezaji wa zamani na sasa ni vitu viwili tofauti wa sasa wengi ni pesa kubwa wanapokea viwango kawaida ni wachache wa sasa ambao ukiwaweka namagwiji wa zamani wanaweza pata namba mfano kati ya suarez na Ronaldo de Lima kwa kiwango yupi akae benchi? ?
 
Mimi nakupinga Mkuu, mbona Xavi, Iniesta, Sneijder wamecheza nyakati sawa na hao mafahali wawili.
 

1998 hakuchukua, Alichukua mtu mmoja wa kuitwa Mustapha Hadji, Wa pili ndo akawa Okocha, wa tatu akawa Sunday Oliseh. Get your facts right.

Inshort Austin Jayjay Okocha hana tuzo ya mchezaji bora wa africa kwa miaka yote aliyokuwa mchezaji mpira.

Inauma sana kuona mpira haujamtendea haki kama yeye alivyoutendea haki. Kwa mchezaji kama Okocha kukosa tuzo ya mchezaji bora wa Africa inaonesha ni namna gani unaweza usivune ulichopanda.
 
Alikua hana cha maana uwanjan zaid ya chenga na kupiga faulu Kali,,,na mbaya zaid sikumbuki kabeba kombe gan yule jamaa
 
Kuna mfaransa rafiki angu mnazi wa soka sana. tukiongelea mpira hafichi hamung'unyi huniambia kuwa Austin Jay Jay Okocha/ Yaya Toure kama sio "uafrika" wao kama sio mmoja wao kuchukua hiyo tuzo ya mchezaji bora wa dunia basi hata katika Tatu bora wangewahi kufika.

Ujue hizi tuzo pia ni biashara kubwa sana. kuna influence kubwa sana ya makampuni yenye ngawira. wanaangalia faida kwanza.1995 George Apong Weah aliwafanya mubashara
 
Okocha ligi moja na akina Ronaldinho, Zidane , Laudrup,Pirlo ect
 
[emoji23] Mtume Gaucho
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…