Hao ulowataja kipindi hicho wasingeambulia kitu kwa Aguero,Iniesta,diego costa,de maria,xavi,dybala,higuain,lewandosky,suarez n.k wengi tu...tena wangekuwepo kipindi hiki Cha Messi nakuhakikishia wasingepata hata harufu ya ballon d'Or wangekua na kazi ya kumpongeza mwenye kipaji chake....si mwingine bali Messi mwenyewe..mtoto aliyezaliwa na kipaji..
Asante sana Messi umetuletea burudani ambayo kwa muda mrefu sana hatukuipata tangia Mzee wa kazi astaafu soka Diego Armando Maradona a.k.a El pibe de oro...
Mtoto wa miaka 5 anamjua messi,anampenda messi,anapenda jezi ya messi,anapenda kulitaja jina messi,anapenda kusema natamani niwe kama messi.... messi anapendeka bana kuliko mchezaji yeyote...