Sababu gani zilifanya Jay Jay Okocha asitwae Ballon D' or enzi zake?

Sababu gani zilifanya Jay Jay Okocha asitwae Ballon D' or enzi zake?

Kaka naona unababaishwa na Ronaldo Xtian na Messi kuwa wanapokezana, ukweli ni kuwa kwa sasa hakuna mafundi wa soka Duniani, wako wachache sana na ndio kisa cha hawa wawili kupokezana,
Hebu kumbuka wakati Ronaldo de Lima, Rivaldo, Carlos, Mtume Gaucho, Decco, Figo, Zidane, Okocha, Chev nk hapo ilikuwa ni shughuli pevu kumchagua best player
Kuna akina hazard,iniesta (kama zidane enz zile), coutinho,toni kroos,sneider alie staff juzjuz, mondric,torres enz zake, suarez, sanchez, ozil kama rivaldo, ramos kama canavarro, ko usishangae
Messi ni wa sayar nyingine yaan mfano wake ni maradona japo nae kapitwa mbali
Af insue ni kuwa sahv mpira umekuwa biashara(ushabiki) na messi kasababisha mpira uonekane wa wawili
 
Mkuu unataka kuniambia suarezi,neymar, aguero , Diego Costa, lewandosk , n.k hawajui?? Wachezaji wanaofunga 20+ goals per season unawasahau mkuu....


Ngoja nikwambie kitu sio kwamba recently hakuna wachezaji wazuri la hasha... Ni bahati mbaya wametokea kipindi cha messi na neymar .... Messi msimu juzi laliga alifunga magoli zaidi ya 40 kitu ambacho hakijawahi kutokea tangu mungu kaumba huu ulimwengu ...
Unajua sana mpira mkuu
 
Ni Kama aThierry Henry, alikuwa Mkali kipindi cha wakali wengi sio Kama Siku hizi Messi na Ronaldo zaid ya Miaka 10

Mechi ya Mtoano World CUP 1998 Nigeria vs Denmark Jay Jay alionesha ufundi wa Karne lakin Mwishowe wakalazwa 4-1, naikumbuka sana hii Mechi Kama Jana vile
Henry wa kawaida kulinganisha na hao watu wewe
Zidane mwenyewe wa kawaida
Henry mlinganishe na van persy
Tofaut ni van alikuwa majeruhi sana
 
Hao uliowataja bado huwezi wafananisha na akna de Lima, Ronaldinho au Zidane na Messi au Ronaldo wangekuwepo kipindi hicho wasingeshnda kwa kupokezana na kaa ujue mpira kwa sasa ni umekufa ila tunaupenda tu ndo maana hatuachi kuangalia ila angalia world cup za miaka ya karibuni uangalie na za miaka 90 hadi the 02 utaona utofauti mkubwa sanaa ya wachezaji wa sasa na kipindi kile pia angalia ligi kuu kama Seria A na nyingine zote mpaka uingereza ni tofauti na miaka ile tena na Afcon ndo kabisa hakuna kitu kwa kweli wachezaji wa zamani na sasa ni vitu viwili tofauti wa sasa wengi ni pesa kubwa wanapokea viwango kawaida ni wachache wa sasa ambao ukiwaweka namagwiji wa zamani wanaweza pata namba mfano kati ya suarez na Ronaldo de Lima kwa kiwango yupi akae benchi? ?
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] unachekesha
Messi hashindanishwi na akina gaucho au zidane bro
Huyo anashindanishwa na pelle na maradona bass
Unaweza ukapata picha ni aina gan ya mchezaj unaongelea
Utaonekana mjinga kumfananisha messi na zidane

CR7 ndo unamringanisha na hao tena nae anawazidi uwezo katika peak yake
Sema ronaldo nae sikuiz kabakiza jina2
 
Wakuu karibuni tujadili sababu zilizomfanya fundi wa soka toka Nigeria na Africa kwa ujumla, Austin Jay JAy Okocha kushindwa kutwaa tuzo ya mchezaji bora wa Dunia enzi zake akisakata kabumbu licha ya uwezo na kipaji maridhawa cha hali ya juu alichokuwa nacho.
Kwa mpira upi?
 
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] unachekesha
Messi hashindanishwi na akina gaucho au zidane bro
Huyo anashindanishwa na pelle na maradona bass
Unaweza ukapata picha ni aina gan ya mchezaj unaongelea
Utaonekana mjinga kumfananisha messi na zidane

CR7 ndo unamringanisha na hao tena nae anawazidi uwezo katika peak yake
Sema ronaldo nae sikuiz kabakiza jina2
Basi wewe ni mtoto uliyezaliwa kuanzia 1994 na kuendelea mpira huujui mdogo wangu kwa watu tulioanza kufuatilia mpira tutakushangaa kapitie historia za wachezaji nliowataja halafu urudi tena hapa kwangu
 
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] unachekesha
Messi hashindanishwi na akina gaucho au zidane bro
Huyo anashindanishwa na pelle na maradona bass
Unaweza ukapata picha ni aina gan ya mchezaj unaongelea
Utaonekana mjinga kumfananisha messi na zidane

CR7 ndo unamringanisha na hao tena nae anawazidi uwezo katika peak yake
Sema ronaldo nae sikuiz kabakiza jina2
Messi mwenyewe akiwaona hao nliowataja anatetemeka na kupiga magoti juu
 
Hapa naona kuna tatizo moja la kimsingi..kwa sisi tulioanza fwatilia mpira miaka ya tisini mwishoni tutakwambia hakuna kama ronaldo de lima..zidane..gaucho..figo..okocha..kanu..ila kwa walionza fwatilia mpira pindi barca inarudi kwenye form miaka ya 2003 kuendelea watakutajia messi..
Ila kwa ukweli messi hajafikia kipaji cha zidane au de lima..wale jamaa ni kama wachawi..
Wameshinda makombe yoote muhimu..mesi ye anashinda ligi na uefa
 
Okocha hakua na mchango kwa timu zake Kubeba ubingwa ukiondoa Nigeria;na wakati Okocha yupo kwenye peak kulikua na mafund wengi sana Weah,Ronaldo de Lima,Dinho,Rivaldo,Mendieta,Riquelme nk
Kwahyo Mandieta alikuwa fundi kuliko Okocha?
 
mkuu unamfahamu gaucho?au huwa unahadithiwa
Nadhani hamfahamu..yuke ndiye nabii wa mpira..
Nani kama gaucho..mwenye chenga za maudhi..anayefanya yanayopaswa kufanywa mazoezini tena si mbele ya kocha akiwa uwanjani..nani kama gaucho..
Watasema zidane au messi lakini ni nani kama gaucho..niliweza kubumilia kukaa hadi saa saba usiku ili nimwone nabii wa soka akifanya maajabu yake..
Nani kama gaucho...
 
Kipindi kile cha okocha kulikua kuna mafundi karibia kila nchi tofauti na sasa wachezaj at least wanaonesha kiwango cha juu ni messi na Ronaldo takribani miaka 8 sasa na wengine wengi ni wa kawaida sema mpira sikuiz biashara, kile kipnd kulikua na watu kama Gabriel batistuta, delima, rivaldo, romario, zizou, del piero, Christian vieri, kina kruveit, figo, yan unakuta takribani kila nchi inamiamba wake na wote watatoa mchango mkubwa sanaa kwa timu zao kufanikiwa ila okocha nae alikosa team nzuri kwa ngazi ya club mtu kama george opong weah AC Milan ilimbeba sanaa na kufanya yale maajabu yake UCL nae kama angebahatika kucheza moja wapo ya vilabu vikubwa kwa kipnd chakee nae angekua nominated ballon d'or
 
Kuna mfaransa rafiki angu mnazi wa soka sana. tukiongelea mpira hafichi hamung'unyi huniambia kuwa Austin Jay Jay Okocha/ Yaya Toure kama sio "uafrika" wao kama sio mmoja wao kuchukua hiyo tuzo ya mchezaji bora wa dunia basi hata katika Tatu bora wangewahi kufika.

Ujue hizi tuzo pia ni biashara kubwa sana. kuna influence kubwa sana ya makampuni yenye ngawira. wanaangalia faida kwanza.1995 George Apong Weah aliwafanya mubashara
Word yani kwa viungo bora wa hapa karibuni yaya toure hawezi kukosa sema uafrica wakee tu ulimponza
 
Basi wewe ni mtoto uliyezaliwa kuanzia 1994 na kuendelea mpira huujui mdogo wangu kwa watu tulioanza kufuatilia mpira tutakushangaa kapitie historia za wachezaji nliowataja halafu urudi tena hapa kwangu
Ata kama nizaliwe leo
Sijawahi kuona messi akishindanishwa na hao
Maana level sio zao
 
Kuna akina hazard,iniesta (kama zidane enz zile), coutinho,toni kroos,sneider alie staff juzjuz, mondric,torres enz zake, suarez, sanchez, ozil kama rivaldo, ramos kama canavarro, ko usishangae
Messi ni wa sayar nyingine yaan mfano wake ni maradona japo nae kapitwa mbali
Af insue ni kuwa sahv mpira umekuwa biashara(ushabiki) na messi kasababisha mpira uonekane wa wawili
Mungu anakuona yani hazard, kroos kwelii uwaweke kwenye same shoes na hao malengendary, anzia kwa iniesta, njoo kwa coutinho, sneider, modric halafu ndio uendelee
 
Back
Top Bottom