Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,482
- 27,182
Mkuu Zama Zimetifautiana! Sasahivi Mpira Una Watu Wawili tu → Messi na Ronaldo07....
Enzi Za Okocha Alizungukwa na Kina Figo, Zidane, Rivaldo, Ronaldo (Delima), Nedved, Shevchenko, Henry (Alikuja Baadae)..... Hawa Wote Timu Zao Zilikuwa na Na Mafanikio tofauti na Yeye Alipokhwa PSG ya Wakati huo au Bolton....
Kwa Mafundi Hao Ni Vigumu Kuwa Mchezaji Bora Hata Wa Ligi achilia mbali wa FIFA au BDO...
Enzi Za Okocha Alizungukwa na Kina Figo, Zidane, Rivaldo, Ronaldo (Delima), Nedved, Shevchenko, Henry (Alikuja Baadae)..... Hawa Wote Timu Zao Zilikuwa na Na Mafanikio tofauti na Yeye Alipokhwa PSG ya Wakati huo au Bolton....
Kwa Mafundi Hao Ni Vigumu Kuwa Mchezaji Bora Hata Wa Ligi achilia mbali wa FIFA au BDO...