Sababu gani zilifanya Jay Jay Okocha asitwae Ballon D' or enzi zake?

Sababu gani zilifanya Jay Jay Okocha asitwae Ballon D' or enzi zake?

Kwa anaejua mpira ananielewa eti kwakuwa ligi inatazamwa sana eti ndo bora hapana. Spanish clubs ndo zina rule Mpira aiseee....nikimtupia Bilbao tu pale EPL atawahenyesha sana
Hakuna aliyesema kutazamwa sana ndio kuwa bora...........hebu mtoe Messi Barca mlete EPL,harafu angalia ligi muda wote ni timu mbili zinabalishana kwenye Ubingwa harafu angalia mpaka ligi inakaribia kuisha hakuna anaejua nani bingwa je Spain? Pia wachezaji bora wa ligi kupokezana watu wawili tu misimu mingi isiyopungua 6 unaona ni ubora?..........Spanish Laliga ni bora lakini haiwezi ifikia EPL bana
Hebu muone hata huyo Kocha aliitwa bora Gadiola lakini kwa EPL ameshakuwa nyanya tu!
 
Hakuna aliyesema kutazamwa sana ndio kuwa bora...........hebu mtoe Messi Barca mlete EPL,harafu angalia ligi muda wote ni timu mbili zinabalishana kwenye Ubingwa harafu angalia mpaka ligi inakaribia kuisha hakuna anaejua nani bingwa je Spain? Pia wachezaji bora wa ligi kupokezana watu wawili tu misimu mingi isiyopungua 6 unaona ni ubora?..........Spanish Laliga ni bora lakini haiwezi ifikia EPL bana
Hebu muone hata huyo Kocha aliitwa bora Gadiola lakini kwa EPL ameshakuwa nyanya tu!
Hujui mpira ...(usiniquote)
 
Kaka naona unababaishwa na Ronaldo Xtian na Messi kuwa wanapokezana, ukweli ni kuwa kwa sasa hakuna mafundi wa soka Duniani, wako wachache sana na ndio kisa cha hawa wawili kupokezana,
Hebu kumbuka wakati Ronaldo de Lima, Rivaldo, Carlos, Mtume Gaucho, Decco, Figo, Zidane, Okocha, Chev nk hapo ilikuwa ni shughuli pevu kumchagua best player
Eti mtume Gaucho, umenifurahisha sana.
 
Naona povu tayari! Pole sana![emoji3] [emoji3]
Mkuu zile timu mbili zimejipanga vilivyo hususani kwa miaka kumi ya misho!!! Pamoja nakuidharau hiyo ligi lkn ukichukua bingwa wa england akacheze na Sevila au Athletic Bilbao atapigwa tu
 
Ni kwasababu alikuwa tumbili(mweusi) ......kuna vingi vyakujiuliza nilishangaa sana wakati ule kumtoa Samwel Etoo....barcelona kisa you brahimovic.....
 
Nadhani labda pia ungedadavua tujue ni mangapi Okocha amefanya kuzisaidia timu alizowahi kuzichezea.

Usikute tunashabikia tu uwezo binafsi wa mchezaji ili hali soka ni mchezo wa timu, kuwa na uwezo ni jambo moja na kuisaidia timu ni jambo lingine.

Sina details nyingi sana kuhusiana na soccer ila nadhani Okocha kama wachezaji wengine wengi wenye asili ya Africa ambao wamekuwa wanacheza kwa kipindi kifupi tu na kuporomoka kulinganisha na Wenzetu.

Ukiangalia kama Mesi au Ronaldo miaka inaenda na bado wana mchango mkubwa kwa timu zao, wanafunga magoli mengi ambacho ndio maana halisi ya soka, sio kupiga kanzu na tobo uwanja ushangilie alafu basi, au la ufanye hayo yote na ufunge magoli ya kutosha kama tunavyoona kwa Mesi na Ronaldo.

Ukicheza muda mrefu kwa kiwango kizuri unakuwa pia na rekodi ndefu ukilinganisha na anayecheza kwa muda mfupi.
 
Nimefika Barcelona.. Hizi timu mbili ni kama timu za serikali.... Wakati timu nyingine choka mbaya.. Kwenye listi ya clubs tajiri 20 duniani Spain inaingiza timu 3 na England nane... Karibu nusu ya timu za England ni tajiri... Na kuhusu UEFA Champions League labda sio priority ya timu za England.... Unakumbuka De mateo alichukua UEFA na akafukuzwa
UEFA champion league sio priority kwa time za England? Are you on crack??
 
Nimefika Barcelona.. Hizi timu mbili ni kama timu za serikali.... Wakati timu nyingine choka mbaya.. Kwenye listi ya clubs tajiri 20 duniani Spain inaingiza timu 3 na England nane... Karibu nusu ya timu za England ni tajiri... Na kuhusu UEFA Champions League labda sio priority ya timu za England.... Unakumbuka De mateo alichukua UEFA na akafukuzwa
Hata Carlo Ancelott alifukuzwa muda mfupi baada ya kuchukua UCL na Madrid
 
Nadhani labda pia ungedadavua tujue ni mangapi Okocha amefanya kuzisaidia timu alizowahi kuzichezea.

Usikute tunashabikia tu uwezo binafsi wa mchezaji ili hali soka ni mchezo wa timu, kuwa na uwezo ni jambo moja na kuisaidia timu ni jambo lingine.

Sina details nyingi sana kuhusiana na soccer ila nadhani Okocha kama wachezaji wengine wengi wenye asili ya Africa ambao wamekuwa wanacheza kwa kipindi kifupi tu na kuporomoka kulinganisha na Wenzetu.

Ukiangalia kama Mesi au Ronaldo miaka inaenda na bado wana mchango mkubwa kwa timu zao, wanafunga magoli mengi ambacho ndio maana halisi ya soka, sio kupiga kanzu na tobo uwanja ushangilie alafu basi, au la ufanye hayo yote na ufunge magoli ya kutosha kama tunavyoona kwa Mesi na Ronaldo.

Ukicheza muda mrefu kwa kiwango kizuri unakuwa pia na rekodi ndefu ukilinganisha na anayecheza kwa muda mfupi.
Uko sawa mkuu Okocha alikuwa wa kawaida japo alikuwa mzuri sana katika vyenga na kupaka rangi kitu ambacho kilikuwa hakisaidii timu zake kupata matokeo mazuri hata ubingwa.......japo aliibukia kwenye enzi za wakali wengi tofauti na sasa!!
 
Kupiga tu chenga haitoshi kuwa mchezaji bora, Denilson alikuwa anapiga chenga zaidi ya Okocha lakini hata namba Brazil ilikuwa shida. Okocha kuna vitu vingi vilimkwamisha mojawapo ni kuchezea timu ndogo, PSG then Bolton hizi timu zilikuwa dhaifu sana kwa kiwango cha Okocha, kama mnakumbuka Gaucho pia alikuwa PSG lakini mafanikio aliyapata baada ya kuhamia Barcelona Okocha yeye alienda Bolton. Ukiacha ngazi ya Club ukija timu ya taifa Nigeria pamoja na kuwa na golden generation ya wachezaji kama Sunday Oliseh, Taribo West, Rashid Yekini, Kanu, Babayaro, Babangida, Victor Ikpeba, Uche, Amokachi name wengineo lakini Nigeria hii haikuweza kubeba hata AFCON, world cup 1998 waliishia round ya pili wakapigwa 4-1 na Denmark. Sasa niambieni Okocha apewe uchezaji bora kwa kigezo kipi? Nwankwo Kanu alikuwa na mafanikio zaidi ya Okocha, alibeba Uefa na Serie A akiwa Intermilan, akaja Arsenal akabeba EPL na FA cup.
Asante kwa ufafanuzi
 
Mhmm suala la gaucho kukopi vya okocha siafiki kabisa. Huyu gaucho ukitaka kujua kuwa alikuwa hatari angalia documentary take toka utotoni. Ndo mchezaji aliewahi funga goli nyingi sana kwenye mechi moja. Gaucho? Kijana alikuwa na uwezo wa kutupa scadi mahala popote uwanjani na kufunga. Okocha hakuwa na hiyo kitu.
Duhh
 
Back
Top Bottom