Sababu ipi inakufanya mpaka sasa haujaolewa au kuoa? Ni kweli haujampata wa kufanana naye au kukwepa majukumu tu?

Sababu ipi inakufanya mpaka sasa haujaolewa au kuoa? Ni kweli haujampata wa kufanana naye au kukwepa majukumu tu?

Vijana wa sasa full vigezo , wadada wa mjini wanajiwekea vigezo kwa vijana wa kuwaoa mwisho wa ski wanaishia kuwa single mother, vijana nao full kubagua huku wa kujifariji na msemo hewa wa tafta hela , kuna umri ukifika inabd uolewe tuu na yyte mwenye nia na wewe kwa wadada 25-29 yrs inabd uwe umeolewa , kwa vijana wa kiume ukiwa kati ya 30-35 , oa by any means
 
Vijana wa sasa full vigezo , wadada wa mjini wanajiwekea vigezo kwa vijana wa kuwaoa mwisho wa ski wanaishia kuwa single mother, vijana nao full kubagua huku wa kujifariji na msemo hewa wa tafta hela , kuna umri ukifika inabd uolewe tuu na yyte mwenye nia na wewe kwa wadada 25-29 yrs inabd uwe umeolewa , kwa vijana wa kiume ukiwa kati ya 30-35 , oa by any means
Yeap ujana una muda wake
 
Vijana wa sasa full vigezo , wadada wa mjini wanajiwekea vigezo kwa vijana wa kuwaoa mwisho wa ski wanaishia kuwa single mother, vijana nao full kubagua huku wa kujifariji na msemo hewa wa tafta hela , kuna umri ukifika inabd uolewe tuu na yyte mwenye nia na wewe kwa wadada 25-29 yrs inabd uwe umeolewa , kwa vijana wa kiume ukiwa kati ya 30-35 , oa by any means
Kumbe mm bado saaaaaaaana...
 
Back
Top Bottom