Sababu ipi inakufanya mpaka sasa haujaolewa au kuoa? Ni kweli haujampata wa kufanana naye au kukwepa majukumu tu?

Sababu ipi inakufanya mpaka sasa haujaolewa au kuoa? Ni kweli haujampata wa kufanana naye au kukwepa majukumu tu?

Sijaoa kwasababu mwanamke wa kuendana na mimi katika kizazi hiki cha kidijitali hayupo.

Naishia kukutana na wanawake wanaojichatisha ovyo na maex. Nikikomaa sana nawapata wale paka mapepe wanaogawa namba ovyo kila kona. Kwa kifupi sioi ng'o!
Mie ni mwanaume wakuendana namimi ndio hayupo nani wapatao basi tu
 
Vijana wa sasa full vigezo , wadada wa mjini wanajiwekea vigezo kwa vijana wa kuwaoa mwisho wa ski wanaishia kuwa single mother, vijana nao full kubagua huku wa kujifariji na msemo hewa wa tafta hela , kuna umri ukifika inabd uolewe tuu na yyte mwenye nia na wewe kwa wadada 25-29 yrs inabd uwe umeolewa , kwa vijana wa kiume ukiwa kati ya 30-35 , oa by any means
Duhh niko 30 na bado sijajipata..... Nikijapata kitu cha kwanza nikuoa
 
Back
Top Bottom