Sababu kubwa 2 kwanini Miziki wa Tanzania kwa sasa ni Fake, Mgumu na Mbovu

Sababu kubwa 2 kwanini Miziki wa Tanzania kwa sasa ni Fake, Mgumu na Mbovu

Kwani kuna mtu anaebisha kwamba Diamond hajafanikiwa ?

Hapa nazungumzia tasnia nzima ya muziki inavyoendeshwa.

Ndio maana wasanii kama kina Marioo, Whozu wametoka katika kipindi kigumu sana.

Sasa huwezi kutegemea Muziki ukue katika mazingira yenye monopoly kama hiyo.
Haya kwanini unasema wasafi festival Ni ya kusaga? Wakati Ni mondi
 
Nawashauri waendelee kuwa wabunifu hasa kutafuta masoko hasa nchi tunazofanana ethnicity ukiacha Africa wavuke Caribbean,South America far east kuna weusi kule kama Indonesia Papua Guinea.

Nakumbuka Diamond alipiga show visiwa vya Mayotte. Au Navy kenzo walipiga show Israeli. Hakuna mziki mbaya. Kila msanii ana hadhira wake.

Afro fusion is global now waende hata Hollywood,Disneyland watengeneze soundtracks za movies au NBA kupitia mitandao.
 
Labda maisha ya Instagram.

Hata sababu za Vanessa Mdee kuacha kazi inaonekana hukuzielewa.

Imagine kama Vanessa muziki haukumlipa, hao wengine vipi ?
huyo Vanessa alikuwa anaishi maisha yaliyo juu ya uwezo wake. Huwa hafanyi show za ndani . alikuwa anafanya muziki international lakini industry yetu bado haimbebi.
Japo hatuombi lakini hiki kitu kinatokea kwa mastaa wengi. Ikitokea akaachwa na huyo mpenzi wake anaweza kurudi kwenye mziki na itakuwa too late kama ray c.
 
huyo Vanessa alikuwa anaishi maisha yaliyo juu ya uwezo wake. Huwa hafanyi show za ndani . alikuwa anafanya muziki international lakini industry yetu bado haimbebi.
Japo hatuombi lakini hiki kitu kinatokea kwa mastaa wengi. Ikitokea akaachwa na huyo mpenzi wake anaweza kurudi kwenye mziki na itakuwa too rate kama ray c.
"too rate" aise
 
Mimi nimeacha kuskiliza bongo fleva kitambo sana sababu wasanii nnaotakiwa niwaskilize mimi naona hawajui kuimba lakin ndio hao hao nyimbo zao kila kona zinapigwa.
 
Mimi ni mmoja wa wenye jicho hilo la maono na si mtu wakuishia kuangalia tuu Muziki wetu unapopotelea.

Sina chakupunguza kwenye andiko lako zaidi nitalijazia nyama kwa uelewa wangu.

Kwanza Tuelewe Tuna Mashabiki wa Wanamuziki wa Muziki na Si Wapenzi wa Muziki wa wanamuziki.

TATIZO LINAANZIA HAPA.
Media za Bongo zina vitengo vyakukagua Muziki kabla ya kwenda hewani. Vigezo na Masharti wayakaguayo ni yao wenyewe na msanii hutakaa ujue wala kuelewa zaidi ya upeleke track yako kitengo ujue kama itapitishwa au la.

vigezo hivi ni kwa mwanamuziki wa tanzania anayefanyia kazi zake Tanzania tuu.

TATIZO LA PILI NI MATOKEO YA TATIZO LA KWANZA.
Tasnia ya burudani hasa muziki wameachiwa kwa njia zisizo rasmi watu wasiokua na lakuusaidia kwa nyanja yoyote ile ya kisheria, kibiashara, na kiheshima.

Hapo tunaona media ndio zinazohodhi burudani, hivyo mwaka mzima au miaka kafhaa tutakua na wasanii walewale wakifanya muziki uleule na kwasababu waliotofauti nao hawapati nafasi tutaendelea kuamini tupo ktk ubora ila ukitoka nje ya mpaka unaona aibu kuelezea muziki kama muziki wenye sura ya kimataifa.

TATIZO LA TATU CHANZO NI HTATIZO LA PILI.
Kutokana na baadhi ya wasanii kuwa na uhakika wakupata japo showz, interviews na promo za hapa na pale kutokana na wao kuwa katika kundi mojawapo la walijipa udau, huwa wanajisahau nakuamini level ya jina na umaarufu anaoupata unatokana na ubora wa kazi yake kumbe ni ubora wa mfadhili wake

na hapo ndipo Mleta uzi anapotustua tunapoenda ni kwenda kuuzika mziki Bora na tukaendelea kubaki na Bora muziki.

TATIZO LA NNE CHANZO NI YOTE NILIYOYAORODHESHA.
Huyu ni shabiki wa muziki wa kizazi hiki cha sasa hivi, na wapo wengi kweli.

Kutokana na kuboronga tangu mwanzo, shabiki anavyokuja kukutana na Muziki inakua ni huo huo ulioamuliwa akutane nao. Wachache kama mimi na mleta Uzi tunasafiri sana kihisia kupitia wanamuziki wengine ndani na nje ya nchi kiasi tunapata uwezo wakulinganisha au kutofautisha namna muziki wetu unavyobamba.

Iko hivi duniani kwenye mita100 anayeshikilia revord ni mjamaica ila katika kila nchi kuna no 1 wa mbio hizo. Let say wa nvhi yetu atumie dk2 mita 100 na katika kundi lakina Hussein Bolt mshindi wa mwisho awe ametumia dk1, bado wetu kwenye mbio hizo ni wa kwanza ila duniani hata kwenye kumi bora hayupo.

Hapa namaanisha tuna wanamuziki wazuri na Bora kwa hapa kwetu tuu ila nje ya nvhi ni maundergtound ambao hata show za BSS huko mbele hawatapata hata nafasi yakuonekana kutokana nakutolewa ktk round za mwanzo kabisa.

Kitu hiko mashabiki hawakijui na wengi ni watu wakusubiria media zinawaambia wimbo mzuri ni upi na upi basi wao hawana machaguzi mengine na ni wengi wao.

KIPI KIFANYIKE KWA MUZIKI WETU UKUE NA UWE BORA NDANI NA NJE YA NCHI?
Kwanza kabisa Serikali kama serikali ndio kitu cha kwanza chakuweka haya mambo katika ubora, utaalamu ili faida za kimaisha na uchumi zikapatikane kupitia Tasnia Hii.

Iko hivi ndugu zangu, kwanza niweke interest zangu, mimi ni muandaaji na mwanamuziki chipukizi katika tasnia hii. Kwa uzoefu wangu wa zaidi ya miaka 10 katka shughuri hizo kuna mengi nimeweza kuyajua ni moja ya sababu muziki wetu kuwa hapa ulipo leo.

Bongo hata ukiwa maharufu na kazi zako zipo kwenye Peak, suala la wewe kupata hela bado litabakia kwa watu wanaoweza kuamaua upate au usipate.

Wasanii wengi hawaishi makwao yaani kwake kwasababu gharama za maisha haziwezi kuwa covered na kazi yake ya muziki. Hivyo kupanga kwa walio wengi ni Issue na naweza kusema %70 ya wasanii wenye majina makubwa bongo wanaishi kwakuungaunga ili mradi kesho ifike.

Natukitaka kujua kuna tagizo kubwa leo hii tasnia yetu ina watu wazima wachache sana yaani mtu namke na watoto waishi kwakutegemea muziki. Nwanamuziki akiwa na familia tuu inabidi atafute issue.

Ok Serikali itasaidiaje sasa,
Kwanza kuweka sera za kumlinda msanii kisheria na kibiashara. Kuyalinda mazingira ya kazi zake nakuweka utaratibu halali na wa wazi

Kumlinda vipi sasa?
Kisheria ni kuhakikisha haki zake zote zakisheria anakua nazo.
Na kibiashara nikuhakikisha kile kinachoingia kupitia yeye na yeye amepata.
Mazingira yake yatalindwa kwa kurathimisha biashara ya studio za kurekodia ziwe kama studio za TV na Redio ili pawe na Ada kwa kila studio itakayozalisha muziki. Kwakufanya hivi gharama za kurekodia muziki zitarudi na zitakua kubwa kiasi myu mmoja mmoja kuzimudu anaweza asiweze isipokua mpaka achangiwe au alipiwe na sidhani kama kuna mchango au malipo yakumlipia mgu shilingi milioni 3 akaimbe chura anarukaruka.

Kurekodi siku hizi sio gharama hata mashindano ya mshindi ataenda kurekodi imebidi yafe. Ukirekodi kama dj wa redio au mtangazaji anakujua ngoma itachezwa tuu tena na inaweza isipite kwenye vitengo vyao vyakinyonyaji.

Kwahiyo kama haya yanafanyika serikali ikiweka utaratibu mzuri kuanzia mikataba nadhani nayonitapata kodi halali na kuijua biashara inaendaje, kwa mfano mgu anakuambia gharama za bideo ni siri ya management, serikali inavhukua kodi shing ngapi kutoka kwa mtenenezaji? Kwahiyo ipite sheria tuu mikataba ya tasnia ya burudani haitakiwi kuwa siri.

Wadhamini wanatoa hela nyingi kwenye vipindi vya burudani lakini wasanii wanaoweka burudani hizo hawapati kitu, kwahiyo ligoje tamko tuu kwa kila anayeweza kuingia katika chati za muzizki media hoyote ile ale % kadhaa za mdhamini wa kipindim hii italeta maana ya kuwa msanii flani anatrend, inamaana mpaka hela nazo zitatrend na yeye kuliko hivi sasa jina kubwa na bado watu wanalala njaa.

KAMA NINGELIKUA MIMI NI SERIKALI KWANZA NINGEANZIA STUDIOZ ZOTE NAZITOZA ADA KWA MWAKA SI CHINI YA MILIONI TANO MPAKA KUMI.

MEDIA ZIENDE NYIMBO ZITAKAZOTOKA KATIKA STUDIO ZINAZOTAMBULIKA KISHERIA.

SERIKALI IZITAMBUE TUU KAMPUNI ZINAZOSIMAMIA WASANII NA KUSAMBAZA KAZI ZAO NA SI IWE KWA MTU BINAFSI. KWAKUFANYA HIVI HAYA MAKAMPUNI YATAKUJA MTAANI KUTAFUTA WANAMUZIKI NA WATAHAKIKISHA WANAWAPATA WALE WALIO BORA TUU, HAPO MAANA YA MUSIC REBAL NA RECORDING REBAL ITAGFANYA KAZI MAANA NIKIONACHO SISI GUNA RECORDING REBAL NA SI MUSIC REBAL.

KWAHIYO HATA KAMA KUNA MEDIA ZITAWAMILIKI WASANII ZITABIDI ZIJITAMBULISHE KAMA MUSIC REBAL NA SI REDIO AU TV.

SERIKALI ILAZIMISHE UTARATIBU WAKUWA NA VIPINDI VYA AINA ZOTE ZA MUZIKI UNAOPATIKANA NA KUTAMBULIKA NCHINI, ILI WASANII WAWEZE KUGAWANA CHAKUBURUDISHA.

Bado nipo ngoja nisome kwanza ya wenzangu nisiwachoshe sana.
 
Haya Mambo yameanza kutengenezwa na clouds kitambo tu wasanii zamani walikuwa Kama vinyago tu ukizinguana na clouds wanakufungia vioo na vile ndii ilikuwa the only media inayosikika walipata taabu sana, zilipokuja media nyingine ndio yakaanza kutokea matabaka Sasa.
 
Fake na mbovu kwa mtazamo wako wewe, lakini kwenye simu yangu kuna ngoma kibao za Bongo fleva naenjoy tu. Kama ulitaka tu uanzishe tu mjadala hapa poa, lakini ukweli utabaki palepale, compared na miaka ile Bongo fleva livyoanza na sasa kuna mabadiliko makubwa sana. Sitaki kuandika gazeti, lakini we chukulia tu unavyoona wewe.
 
Fake na mbovu kwa mtazamo wako wewe, lakini kwenye simu yangu kuna ngoma kibao za Bongo fleva naenjoy tu. Kama ulitaka tu uanzishe tu mjadala hapa poa, lakini ukweli utabaki palepale, compared na miaka ile Bongo fleva livyoanza na sasa kuna mabadiliko makubwa sana. Sitaki kuandika gazeti, lakini we chukulia tu unavyoona wewe.
Mbona mada inaeleweka kabisa kuwa inazungumzia Tasnia nzima ya Muziki ndani yake wakiwemo wanamuziki wote, ambapo kuenjoy au kutokuienjoy tunatakiwa tupajadili.

wote tunakipenda chakula kizuri na tunakipata je tunakila tukiwa gerezani au uraiani? Mjadala upo hapo sasa mleta uzi mtazamo wake kwa aina hii ya muziki hata tukila vixuti bado tupo gerezani. Sijui kwa mfano huo umenisoma.
 
Mkuu, kwa nini unaandika Music Recording Rebal na sio Label??
Please rekebisha, futa "Rebal" na andika "Label"

Ukiwa una-type Zima hiyo Auto-suggestion (Auto-complete) kwenye Keyboard ya simu yako.
MZIKI WA USA (America) NDO UNAFANYIKA HIVYO KWA RECORDING LABEL, MSANII BILA KUWA KWENYE RECORDING LABEL KUBWA BASI JUA UWEZEKANO WA KUTUSUA KWENYE MAINSTREAM NI MDOGO SANAAA. WASANII WAKUBWA WOTE UNAOWAFAHAMU WEWE WA USA (America) WAPO KWENYE RECORDING LABEL.
Mkaruka Recording Label na Media zinafanya kazi kwa Ukaribu. Recording Label zimezishka Media. Na msanii bila kuingia kwenye Label andika maumivu.
Halafu nafasi za kuingia kwenye Label nazo kuzipata ni issue, ni adimu kama Almasi. Maana wasanii chipukizi wanaozitaka hizo nafasi wapo maelfu kwa maelfu
Kwa kifupi Dunia nzima (iwe ni UK, SA, Nigeria, Australia, USA etc) Muziki haujawahi kuwa Mrahisi kwa Msanii yeyote anayeanza Game peke yake bila Label au Wadau wa kumsapoti

Mimi ni mmoja wa wenye jicho hilo la maono na si mtu wakuishia kuangalia tuu Muziki wetu unapopotelea.

Sina chakupunguza kwenye andiko lako zaidi nitalijazia nyama kwa uelewa wangu.

Kwanza Tuelewe Tuna Mashabiki wa Wanamuziki wa Muziki na Si Wapenzi wa Muziki wa wanamuziki.

TATIZO LINAANZIA HAPA.
Media za Bongo zina vitengo vyakukagua Muziki kabla ya kwenda hewani. Vigezo na Masharti wayakaguayo ni yao wenyewe na msanii hutakaa ujue wala kuelewa zaidi ya upeleke track yako kitengo ujue kama itapitishwa au la.

vigezo hivi ni kwa mwanamuziki wa tanzania anayefanyia kazi zake Tanzania tuu.

TATIZO LA PILI NI MATOKEO YA TATIZO LA KWANZA.
Tasnia ya burudani hasa muziki wameachiwa kwa njia zisizo rasmi watu wasiokua na lakuusaidia kwa nyanja yoyote ile ya kisheria, kibiashara, na kiheshima.

Hapo tunaona media ndio zinazohodhi burudani, hivyo mwaka mzima au miaka kafhaa tutakua na wasanii walewale wakifanya muziki uleule na kwasababu waliotofauti nao hawapati nafasi tutaendelea kuamini tupo ktk ubora ila ukitoka nje ya mpaka unaona aibu kuelezea muziki kama muziki wenye sura ya kimataifa.

TATIZO LA TATU CHANZO NI HTATIZO LA PILI.
Kutokana na baadhi ya wasanii kuwa na uhakika wakupata japo showz, interviews na promo za hapa na pale kutokana na wao kuwa katika kundi mojawapo la walijipa udau, huwa wanajisahau nakuamini level ya jina na umaarufu anaoupata unatokana na ubora wa kazi yake kumbe ni ubora wa mfadhili wake

na hapo ndipo Mleta uzi anapotustua tunapoenda ni kwenda kuuzika mziki Bora na tukaendelea kubaki na Bora muziki.

TATIZO LA NNE CHANZO NI YOTE NILIYOYAORODHESHA.
Huyu ni shabiki wa muziki wa kizazi hiki cha sasa hivi, na wapo wengi kweli.

Kutokana na kuboronga tangu mwanzo, shabiki anavyokuja kukutana na Muziki inakua ni huo huo ulioamuliwa akutane nao. Wachache kama mimi na mleta Uzi tunasafiri sana kihisia kupitia wanamuziki wengine ndani na nje ya nchi kiasi tunapata uwezo wakulinganisha au kutofautisha namna muziki wetu unavyobamba.

Iko hivi duniani kwenye mita100 anayeshikilia revord ni mjamaica ila katika kila nchi kuna no 1 wa mbio hizo. Let say wa nvhi yetu atumie dk2 mita 100 na katika kundi lakina Hussein Bolt mshindi wa mwisho awe ametumia dk1, bado wetu kwenye mbio hizo ni wa kwanza ila duniani hata kwenye kumi bora hayupo.

Hapa namaanisha tuna wanamuziki wazuri na Bora kwa hapa kwetu tuu ila nje ya nvhi ni maundergtound ambao hata show za BSS huko mbele hawatapata hata nafasi yakuonekana kutokana nakutolewa ktk round za mwanzo kabisa.

Kitu hiko mashabiki hawakijui na wengi ni watu wakusubiria media zinawaambia wimbo mzuri ni upi na upi basi wao hawana machaguzi mengine na ni wengi wao.

KIPI KIFANYIKE KWA MUZIKI WETU UKUE NA UWE BORA NDANI NA NJE YA NCHI?
Kwanza kabisa Serikali kama serikali ndio kitu cha kwanza chakuweka haya mambo katika ubora, utaalamu ili faida za kimaisha na uchumi zikapatikane kupitia Tasnia Hii.

Iko hivi ndugu zangu, kwanza niweke interest zangu, mimi ni muandaaji na mwanamuziki chipukizi katika tasnia hii. Kwa uzoefu wangu wa zaidi ya miaka 10 katka shughuri hizo kuna mengi nimeweza kuyajua ni moja ya sababu muziki wetu kuwa hapa ulipo leo.

Bongo hata ukiwa maharufu na kazi zako zipo kwenye Peak, suala la wewe kupata hela bado litabakia kwa watu wanaoweza kuamaua upate au usipate.

Wasanii wengi hawaishi makwao yaani kwake kwasababu gharama za maisha haziwezi kuwa covered na kazi yake ya muziki. Hivyo kupanga kwa walio wengi ni Issue na naweza kusema %70 ya wasanii wenye majina makubwa bongo wanaishi kwakuungaunga ili mradi kesho ifike.

Natukitaka kujua kuna tagizo kubwa leo hii tasnia yetu ina watu wazima wachache sana yaani mtu namke na watoto waishi kwakutegemea muziki. Nwanamuziki akiwa na familia tuu inabidi atafute issue.

Ok Serikali itasaidiaje sasa,
Kwanza kuweka sera za kumlinda msanii kisheria na kibiashara. Kuyalinda mazingira ya kazi zake nakuweka utaratibu halali na wa wazi

Kumlinda vipi sasa?
Kisheria ni kuhakikisha haki zake zote zakisheria anakua nazo.
Na kibiashara nikuhakikisha kile kinachoingia kupitia yeye na yeye amepata.
Mazingira yake yatalindwa kwa kurathimisha biashara ya studio za kurekodia ziwe kama studio za TV na Redio ili pawe na Ada kwa kila studio itakayozalisha muziki. Kwakufanya hivi gharama za kurekodia muziki zitarudi na zitakua kubwa kiasi myu mmoja mmoja kuzimudu anaweza asiweze isipokua mpaka achangiwe au alipiwe na sidhani kama kuna mchango au malipo yakumlipia mgu shilingi milioni 3 akaimbe chura anarukaruka.

Kurekodi siku hizi sio gharama hata mashindano ya mshindi ataenda kurekodi imebidi yafe. Ukirekodi kama dj wa redio au mtangazaji anakujua ngoma itachezwa tuu tena na inaweza isipite kwenye vitengo vyao vyakinyonyaji.

Kwahiyo kama haya yanafanyika serikali ikiweka utaratibu mzuri kuanzia mikataba nadhani nayonitapata kodi halali na kuijua biashara inaendaje, kwa mfano mgu anakuambia gharama za bideo ni siri ya management, serikali inavhukua kodi shing ngapi kutoka kwa mtenenezaji? Kwahiyo ipite sheria tuu mikataba ya tasnia ya burudani haitakiwi kuwa siri.

Wadhamini wanatoa hela nyingi kwenye vipindi vya burudani lakini wasanii wanaoweka burudani hizo hawapati kitu, kwahiyo ligoje tamko tuu kwa kila anayeweza kuingia katika chati za muzizki media hoyote ile ale % kadhaa za mdhamini wa kipindim hii italeta maana ya kuwa msanii flani anatrend, inamaana mpaka hela nazo zitatrend na yeye kuliko hivi sasa jina kubwa na bado watu wanalala njaa.

KAMA NINGELIKUA MIMI NI SERIKALI KWANZA NINGEANZIA STUDIOZ ZOTE NAZITOZA ADA KWA MWAKA SI CHINI YA MILIONI TANO MPAKA KUMI.

MEDIA ZIENDE NYIMBO ZITAKAZOTOKA KATIKA STUDIO ZINAZOTAMBULIKA KISHERIA.

SERIKALI IZITAMBUE TUU KAMPUNI ZINAZOSIMAMIA WASANII NA KUSAMBAZA KAZI ZAO NA SI IWE KWA MTU BINAFSI. KWAKUFANYA HIVI HAYA MAKAMPUNI YATAKUJA MTAANI KUTAFUTA WANAMUZIKI NA WATAHAKIKISHA WANAWAPATA WALE WALIO BORA TUU, HAPO MAANA YA MUSIC REBAL NA RECORDING REBAL ITAGFANYA KAZI MAANA NIKIONACHO SISI GUNA RECORDING REBAL NA SI MUSIC REBAL.

KWAHIYO HATA KAMA KUNA MEDIA ZITAWAMILIKI WASANII ZITABIDI ZIJITAMBULISHE KAMA MUSIC REBAL NA SI REDIO AU TV.

SERIKALI ILAZIMISHE UTARATIBU WAKUWA NA VIPINDI VYA AINA ZOTE ZA MUZIKI UNAOPATIKANA NA KUTAMBULIKA NCHINI, ILI WASANII WAWEZE KUGAWANA CHAKUBURUDISHA.

Bado nipo ngoja nisome kwanza ya wenzangu nisiwachoshe sana.
 
Mkuu huyajui maisha ya wasanii.

One in million.

Leo Babu Tale au Mutta ni matajiri kuliko Ferooz au Saida Kaloli.
Saida Karoli mikataba mibovu aliyosaini. Ndo ilimmaliza kiuchumi.
Kuhusu Ferouz, ferouz kazingua mwenyewe, pesa alikuwa nayo mbona. Mipango mibovu ya pesa ndo imem-lost-isha.
Tafuta INTERVIEW za P-Funk au Master Jay anazoongelea jinsi zamani wasanii walivyokuwa wanapiga PESA kwenye Mauzo ya Album. MATUMIZI MABOVU YA PESA NDO YAMEWAPOTEZA WASANII WA ZAMANI.
 
Nimekusoma, na wewe asante kwa kunisoma. Error some tym zinavuta attension..

Ni kweli hiyo style inafanyika USA ila ni bora kukopi hadi hiyo style yao yakuuendesha muziki na sio kuishia kwenye swagga za kwenye video zao tuu.
Mkuu, kwa nini unaandika Music Recording Rebal na sio Label??
Please rekebisha, futa "Rebal" na andika "Label"

Zima hiyo Keyboard Auto-suggestion (Auto-complete) kwenye simu yako.
MZIKI WA USA (America) NDO UNAFANYIKA HIVYO KWA RECORDING LABEL, MSANII BILA KUWA KWENYE RECORDING LABEL KUBWA BASI JUA UWEZEKANO WA KUTUSUA KWENYE MAINSTREAM NI MDOGO SANAAA. WASANII WAKUBWA WOTE UNAOWAFAHAMU WEWE WA USA (America) WAPO KWENYE RECORDING LABEL.
Mkaruka By the way Recording Label na Media znafanya kazi kwa Ukaribu.
 
Labda maisha ya Instagram.

Hata sababu za Vanessa Mdee kuacha kazi inaonekana hukuzielewa.

Imagine kama Vanessa muziki haukumlipa, hao wengine vipi ?
Mwaka 2015 alisaini Deal nono kuwa Balozi wa kampuni ya SAMSUNG kwa Tanzania.
Vanessa kasaini deals na Universal Music Africa kala Mamilioni ambayo wengine tutaishia kuyaota tu maishani.
Afu leo analalamikia Mziki. Hapana bana atuache!
Yeye mwenyewe baada ya kusaini alituambia amekubali sababu ni pesa ndefu amelipwa.
Hizi Label kubwa Sony na Universal zina matawi na ukisaini Sony Music Africa au Universal Music Africa.
Basi watakusimamia kazi zako Africa. ila kutusua Uingereza na Marekani kwenye Charts kubwa za Music za UK Top 40 au Billboard100 hilo sahauuuu.
Labda kama umesainiwa Sony UK, Sony America au Universal UK au Universal America. Hapo ndo unaweza angalauuuu ukikaza unaweza tokea kwenye Charts Kubwa znazoheshimika kama UK TOP 40, AMERICAN TOP 40 na BILLBOARD 100.
Na wimbo wako ukiwa Humo maana yake Umebamba UK na America.
Wasanii wetu weeeengi wanalia na Sony na Universal sababu wao wasanii wa Tanzania walidhani wakishasaini tu baaaaasi watakuwa nyimbo zao zipo UK TOP 40 au Billboard 100 kitu ambacho sio kweli.
Mziki wa Tanzania bado mchanga (infant) kwenye level za Kimataifa.
Ndo maana hukuti Nyimbo za Wabongo kwenye Charts kubwa za Kidunia kama Billboard 100.

Dada yetu Vanessa inavyoonekana baada ya kusaini tu alijua tayari atakuwa Levels za akina Ariana Grande, Miley Cyrus, Rihanna, Rita Ora, Selena Gomez, Meghan Trainor, SZA, Sia, Taylor Swift etc... kitu ambacho ndo kimemfanya ajione kama muziki haujamlipa sababu mategemeo yake hajayafikia.
ila katika Level za KibongoBongo na Africa Vanessa akubali tu kuwa Mziki umemlipa. Labda over-spending na shows-off ndo probably zmemgharimu kifedha.
 
Back
Top Bottom