Sababu kubwa inayomfanya Mwanamke akatae kushiriki tendo la ndoa

Kuwa pekeake sio sababu pekee, nimeongelea masimango km unabisha fanya jaribio.
Mtukane mpenzi wako na uhakikishe umemkwaza alaf muombe ajibu utapata, ata akikupa ndugu imepoa sn hata umtomase vipi
mbona hujibu swali yangu...
nimeuliza uko na bwana official au bado upoupo?
au ngumu kujibu😃😎
 
ati ni nini! chungu ni aje? vyenye umeeleza yaonyesha umetoa ile kitu yakutesa kwa huyo bwana uko nae. so wacha tukusaidie pamoja ya kwamba hutaki sema kama uko kwa ndoa ama lah.
ila hiyo wasema ni chungu sijaelewa ni ipi chungu mama kama ni shida we ndo umeipata so tulia tukusaidie
 
Judithkaunda naomba no zak kuna kitu natak kukuuliza kipenz😁
 
Sawasawa..
 
Pole kaka hujanielewa kabsa waswahili wamenielewa jitulize
 
Malaya wamejaa Kona bar chakunihangaisha na kumuandaa MTU mzima Ni kipi?
Etikumuandaa, michepuko mbona inajiandaa yenyewe, wewe ukifika Ni mabusu mengi mengi, beer mbili baridi, chakula Cha Moto halafu 6x6. Plus story tam tam.
Sasa fika nyumbani, hata ule mkate atakaonywea nao chai yeye mwenyewe hakupokei.
 
Nilitaka ujue sababu hyo kaka ingawa zipo nyingi na anaweza akawa na yake binafs mm nimeongelea sababu ya kimaumbile tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…