Sababu kubwa ya ulevi mkali kuoengezeka ni hizi pombe kali kuuzwa kwa kupimwa kidogo kidogo kwenye vichupa.

Sababu kubwa ya ulevi mkali kuoengezeka ni hizi pombe kali kuuzwa kwa kupimwa kidogo kidogo kwenye vichupa.

Eli Cohen

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2023
Posts
4,460
Reaction score
13,715
Sawa viroba vimesepa ila vimekuwa restored.

Hizi zenye percent kubwa ya alcohol zilikuwa ni luxury drinks maana kwanza zilikuwa expensive kununua.

Kwa hio kilichofanyika ni wauzaji kuwapimia kidogo kidogo wanunuzi kwa pesa kidogo kupelekea mtu kununua kidogo kidogo kuzania anakunywa ka 1000 ila anajikuta amenunua mzigo mzima na yuko chakali vibay sana.
 
Nchi ambayo inategemea rasilimali (nguvu watu) huwa inawagawa wananchi wake .

Madhara makubwa ya pombe huwa ni kumzuia MTU kuithaminisha nguvu yake na kazi na kuithaminisha akili yake na kazi.

Hivyo -hao vijana wanatengezwa makusudi ili kuwa watumwa na Kufanyishwa kazi ngumu Sana .kwa ujira mdogo.


Tatizo la pombe za kupima limeanzia mbali Sana.
 
Kuna dada ana demu wake kila siku ninayo waona wako maji muda wote! Yaani demu anamiliki pisi kali sana ila anaiharibu anaipa visungura muda wote! Napanga siku nimtokee akikubali nimpige ukuni huenda akaacha kusagwa


Hii -situation IPO mtaani kwangu DSM je na wewe upo DSM ?

Hapa nilipo yupo msagaji mmoja anakunywa Sana visungura na anakuwa tungu yeye na demu wake.

Inasikitisha Sana kiukweli -Leo nimetoka ATM Ahsubui Sana namkuta sudani hotel wanatoka club wote wapo tilalila.
 
Hii -situation IPO mtaani kwangu DSM je na wewe upo DSM ?

Hapa nilipo yupo msagaji mmoja anakunywa Sana visungura na anakuwa tungu yeye na demu wake.

Inasikitisha Sana kiukweli -Leo nimetoka ATM Ahsubui Sana namkuta sudani hotel wanatoka club wote wapo tilalila.
Haahahhah aiseee
 
Kuna dada ana demu wake kila siku ninayo waona wako maji muda wote! Yaani demu anamiliki pisi kali sana ila anaiharibu anaipa visungura muda wote! Napanga siku nimtokee akikubali nimpige ukuni huenda akaacha kusagwa
Hahha anaju akimpatia visungura atakula anavyotaka
 
Hii -situation IPO mtaani kwangu DSM je na wewe upo DSM ?

Hapa nilipo yupo msagaji mmoja anakunywa Sana visungura na anakuwa tungu yeye na demu wake.

Inasikitisha Sana kiukweli -Leo nimetoka ATM Ahsubui Sana namkuta sudani hotel wanatoka club wote wapo tilalila.
mkuu em pm mm kwnza, mana kuj kwako inaniletea wamenge🙏
 
Back
Top Bottom