Sababu kuu ya Gazeti la Tanzania Daima kunyang'anywa leseni ni hofu ya CCM kuhusu kuangukia pua kwenye Uchaguzi Mkuu

Sababu kuu ya Gazeti la Tanzania Daima kunyang'anywa leseni ni hofu ya CCM kuhusu kuangukia pua kwenye Uchaguzi Mkuu

Gazeti lilivunja rekodi ya mauzo yaani ni SAA NNE kila kibanda kikiwa kimemaliza mauzo dar

Sikh hizo hazijirudii
 
Hii ndoto yako haitakaa itimie kamwe mpinzan kuingia ikulu, kwa mazingira yapi??? Kila mamlaka husika ipo chini ya inategemea nimeamkaje siku hyo,
Kanuni ya ndoto ni lazima itimie, labda kama sio ndoto
 
Ni kwanini halifungiwi gazeti la Tanzanite?

Kwa kuwa hilo gazeti ndilo linaloongoza kwa habari za uzushi, kupotosha na kuleta chuki ndani ya jamii........

Najua hilo gazeti la Tanzanite linaendelea ku-survive kwa kuwa mmiliki wake Musiba ana uswaiba na Jiwe
Tanzanite ni biblia ya yesu wachato! Litatukuzwa sana. I'll
 
Juha Ni wewe unaesema tume sio huru halafu unashiriki!Kama sio ukilaza ni Nini? Mkapa anasema Kama anavyosema yeyote anae jisikia,tume Ni huru na chaguzi zote ni huru na haki
Baada ya kukusoma kila page nimegundua kwamba una uwezo mdogo sana , huyo mwamba BAK humuwezi hata ukitumia uchawi , nenda kajifiche tu mkuu
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Ni wazi Magufuli ni muoga kila mahali , ubakaji wa vyombo vya habari kwa kivuli cha "kukiuka sheria ya magazeti" haitafanya sisi tuache kuisemea serikali hii ya ki ubakaji kwa wananchi
 
Gazeti lilizidi kuandika uzushi na uongo. Habari zao hazikuwa na udadisi wowote, wanahabari na wahariri makanjanja wamewaaribia kazi. Uongo ukimbia ila ukweli unatembea taratibu....
 
Gazeti lilizidi kuandika uzushi na uongo. Habari zao hazikuwa na udadisi wowote, wanahabari na wahariri makanjanja wamewaaribia kazi. Uongo ukimbia ila ukweli unatembea taratibu....
Uongo upi kusema serikali imelaumiwa na jumuiya za kimataifa? Ni habari za uongo
 
BUKU 7 hawa Mkuu watu wa MPUUZI Mwigulu Nchemba yeye ndiyo chanzo cha hawa wahuni kuwemo humu. Hawana uwezo wa kujenga hoja na mwigulu aliwaambia warushe matusi tu ili kututoa kwenye Reli ya mijadala muhimu kuhusu mustakabali wa Nchi yetu ambayo inavurugwa na dikteta na genge lake la wahuni.

Baada ya kukusoma kila page nimegundua kwamba una uwezo mdogo sana , huyo mwamba BAK humuwezi hata ukitumia uchawi , nenda kajifiche tu mkuu
 
Hii ndio sababu kuu kuliko zote , hizo zingine ni porojo tu

Serikali ya awamu ya 5 kwa miaka yote iliyoingia madarakani imekuwa ikifungia Magazeti yote makini yanayokosoa utendaji mbovu , uonevu na ukiukwaji wa haki za binadamu uliokithiri kuliko wakati wote tangu wakoloni waondoke nchini Tanzania .

Mawio na MwanaHalisi ni miongoni mwa Magazeti yaliyoshindwa kutukuza watawala kizandiki na kumuabudu binadamu kama Mungu alivyoelekeza , yalikuwa ni wahanga wa kwanza wa uharamia uliosimamiwa kikamilifu na Dr Abbas ( ambaye siku ikifika atalipia uharamia huu maana hana kinga yoyote )

Tanzania Daima imeliwa Timing muda mrefu sana na ilikuwa inalindwa na jumuiya za kimataifa tu (nitafafanua ) , sasa kwa vile ccm ina hofu ya kuangukia pua kwenye uchaguzi mkuu wameamua kuondoa gazeti pekee linaloweza kuandika habari za siasa kwa usahihi na kubakisha vikaragosi vyao .

Nawakumbusha kwamba hakuna mahali popote katika dunia hii ambapo SHETANI ALIWAHI KUMSHINDA MUNGU .

Itaendelea .....
Du tutakosa kipeperushi cha kufungia ubusipa na imbelele
 
Na hayo yote ni maagizo kutoka kwa yule YESU wa KANGI LUGOLA
SURATI ZUBAA  Ndio surati zubaa, pengine tumesomewa, Sivyo tusingebung'aa, wakat ( 640 X 640 ).jpg
 
Back
Top Bottom