TuntemekeSanga
JF-Expert Member
- Jan 15, 2015
- 1,346
- 862
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Sababu kuu itakua hiyo ya tatu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Sababu kuu itakua hiyo ya tatu.
Ndiyo maana kafungiwa Uingereza! Mitambo ya ukaguzi inatofautiana!Kama begi lilikua na makabrasha ya mizimu a.k.a ushirikina, alifikaje mpka huko? Begi si linakaguliwa at every point?
Jamaa mswahili sana anamaliza carrier yake mapema atavuna alichopanda ana kesi na hyo bodi, kichaaa huyo pambano miezi mitatu kabla watu wanajua kwa nn anaenda kama hajielewi kwa ngumi zipi alizopigwa mpaka akaanguka .Leseni alitumiwa akiwa Uingereza
NinamashakaNa wewe mleta mada mbona umeedit kwa kufutafuta screenshot ya chapisho la Mwananchi?
Hii Pig imeudhi sana watu. Kama vipi hata Bodi ya michezo ya ngumi Tanzania walifungie tu nalo jinga sana hili.
Uswahili uswahili kila mahali tu, Pumbafu kabisa
We usie na uchungu Kwa akili Yako unaona ni sawa tu alichofanya Mwakinyo?Unajifanya unauchungu sana wakati umemjua huyo mwakinyo baada ya jitihada zake mwenyewe hata hao unaowaona wana maana sijui bodi ya ngumi hakuwahi msaidia kwa lolote. Binadamu ebu tuache unafiki jamani daah
We usie na uchungu Kwa akili Yako unaona ni sawa tu alichofanya Mwakinyo?
Ulitaka nimjue baada ya jitihada za nan
😂😂😂😂
Kwani umeambiwa kutoka Marekani hadi Uingereza alikuwa anapitia vizuizi vya Tabora na Dodoma?Kama begi lilikua na makabrasha ya mizimu a.k.a ushirikina, alifikaje mpka huko? Begi si linakaguliwa at every point?
HahahKwani umeambiwa kutoka Marekani hadi Uingereza alikuwa anapitia vizuizi vya Tabora na Dodoma?
laanaDah kaharibu future yake aiseeee! Very painful [emoji21], Mwakinyo kwanini umetutia aibu aiseeee?
Mwakinyo ni mtu wa Tanga yule hiyo mambo ni kawaidaSababu kuu itakua hiyo ya tatu.
Tatizo la watu wa Tanga kuamini kuwa hawawezi kufanya jambo lolote bila kuvaa madude au kujipaka au kuoga madawa ndio kilichomponza. Naamini baada ya begi lake ambalo ndio alikuwa ameweka makorokocho hao ndio sababu ya kufanya asitishe mchezo na wala sii kuhongwa kwa vyovyote vile. Hii tabia watu wengi wa pwani wanazo hata makazini lazima ajipake sijui madude gani yana harufu fulani eti yawaondolee mabalaa, eti yavutie riziki eti asikoromewe na bosi hata kama anafanya vimbwangaHabara za ndani kabisa nimepenyezewa kutoka kwa mdau wa masumbwi huko Uingereza!
Uchunguzi uliofanywa na bodi ya ngumi kutoka Uingereza umebaini kwamba;
1. Mwakinyo Alidanganya "cheat" . uchunguzi umebaini kwamba kiatu alichopewa hakikuwa na madhara yoyote, hata hivyo alipatiwa kabla ya siku ya pambano hivyo alikijaribu na kujiridhisha kipo sawa!
Mdau alizidi kusema kitendo cha mwakinyo kusema alichezewa mchezo kwa kupewa kiatu kinachobana ni kashfa kwa bodi ya ngumi Uingereza ambayo ililenga kuichafua taswira ya ngumi nchini humo!
Hivyo mwakinyo kafungiwa kucheza michezo ya ngumi Uingereza kwa mujibu wa kanuni zinazozingatia 'Fair play"
2. Sababu ya pili iliyogundulika ni mazingira ya kuuza mechi! Hili nalo limechangia Mwakinyo afungiwe
3. Sababu ya tatu ni taarifa za kitabibu kutoka maabara ya uwanja wa ndege zilizobaini begi la Mwakinyo halikuwa na vitu vya kawaida kimchezo ambavyo vimetafsiliwa ni ushirikina katika mchezo.
View attachment 2360556
AiseeeSababu kuu itakua hiyo ya tatu.
Kazi kweliDunia ituelewe tu na itusamehe, Afrika bila ushirikina tunakosa ujasiri wa kuziface changamoto
Amefungiwa(suspended) kwa sababu alipoteza kwa TKO.Habara za ndani kabisa nimepenyezewa kutoka kwa mdau wa masumbwi huko Uingereza!
Uchunguzi uliofanywa na bodi ya ngumi kutoka Uingereza umebaini kwamba;
1. Mwakinyo Alidanganya "cheat" . uchunguzi umebaini kwamba kiatu alichopewa hakikuwa na madhara yoyote, hata hivyo alipatiwa kabla ya siku ya pambano hivyo alikijaribu na kujiridhisha kipo sawa!
Mdau alizidi kusema kitendo cha mwakinyo kusema alichezewa mchezo kwa kupewa kiatu kinachobana ni kashfa kwa bodi ya ngumi Uingereza ambayo ililenga kuichafua taswira ya ngumi nchini humo!
Hivyo mwakinyo kafungiwa kucheza michezo ya ngumi Uingereza kwa mujibu wa kanuni zinazozingatia 'Fair play"
2. Sababu ya pili iliyogundulika ni mazingira ya kuuza mechi! Hili nalo limechangia Mwakinyo afungiwe
3. Sababu ya tatu ni taarifa za kitabibu kutoka maabara ya uwanja wa ndege zilizobaini begi la Mwakinyo halikuwa na vitu vya kawaida kimchezo ambavyo vimetafsiliwa ni ushirikina katika mchezo.
View attachment 2360556