Sababu kuu za Mwakinyo kufungiwa kupigana tena Uingereza

Sababu kuu za Mwakinyo kufungiwa kupigana tena Uingereza

Kama begi lilikua na makabrasha ya mizimu a.k.a ushirikina, alifikaje mpka huko? Begi si linakaguliwa at every point?
Ndiyo maana kafungiwa Uingereza! Mitambo ya ukaguzi inatofautiana!
 
Hii Pig imeudhi sana watu. Kama vipi hata Bodi ya michezo ya ngumi Tanzania walifungie tu nalo jinga sana hili.

Uswahili uswahili kila mahali tu, Pumbafu kabisa

Unajifanya unauchungu sana wakati umemjua huyo mwakinyo baada ya jitihada zake mwenyewe hata hao unaowaona wana maana sijui bodi ya ngumi hakuwahi msaidia kwa lolote. Binadamu ebu tuache unafiki jamani daah
 
Unajifanya unauchungu sana wakati umemjua huyo mwakinyo baada ya jitihada zake mwenyewe hata hao unaowaona wana maana sijui bodi ya ngumi hakuwahi msaidia kwa lolote. Binadamu ebu tuache unafiki jamani daah
We usie na uchungu Kwa akili Yako unaona ni sawa tu alichofanya Mwakinyo?

Ulitaka nimjue baada ya jitihada za nani?
 
T
Habara za ndani kabisa nimepenyezewa kutoka kwa mdau wa masumbwi huko Uingereza!

Uchunguzi uliofanywa na bodi ya ngumi kutoka Uingereza umebaini kwamba;

1. Mwakinyo Alidanganya "cheat" . uchunguzi umebaini kwamba kiatu alichopewa hakikuwa na madhara yoyote, hata hivyo alipatiwa kabla ya siku ya pambano hivyo alikijaribu na kujiridhisha kipo sawa!

Mdau alizidi kusema kitendo cha mwakinyo kusema alichezewa mchezo kwa kupewa kiatu kinachobana ni kashfa kwa bodi ya ngumi Uingereza ambayo ililenga kuichafua taswira ya ngumi nchini humo!

Hivyo mwakinyo kafungiwa kucheza michezo ya ngumi Uingereza kwa mujibu wa kanuni zinazozingatia 'Fair play"

2. Sababu ya pili iliyogundulika ni mazingira ya kuuza mechi! Hili nalo limechangia Mwakinyo afungiwe

3. Sababu ya tatu ni taarifa za kitabibu kutoka maabara ya uwanja wa ndege zilizobaini begi la Mwakinyo halikuwa na vitu vya kawaida kimchezo ambavyo vimetafsiliwa ni ushirikina katika mchezo.

View attachment 2360556
Tatizo la watu wa Tanga kuamini kuwa hawawezi kufanya jambo lolote bila kuvaa madude au kujipaka au kuoga madawa ndio kilichomponza. Naamini baada ya begi lake ambalo ndio alikuwa ameweka makorokocho hao ndio sababu ya kufanya asitishe mchezo na wala sii kuhongwa kwa vyovyote vile. Hii tabia watu wengi wa pwani wanazo hata makazini lazima ajipake sijui madude gani yana harufu fulani eti yawaondolee mabalaa, eti yavutie riziki eti asikoromewe na bosi hata kama anafanya vimbwanga
 
Habara za ndani kabisa nimepenyezewa kutoka kwa mdau wa masumbwi huko Uingereza!

Uchunguzi uliofanywa na bodi ya ngumi kutoka Uingereza umebaini kwamba;

1. Mwakinyo Alidanganya "cheat" . uchunguzi umebaini kwamba kiatu alichopewa hakikuwa na madhara yoyote, hata hivyo alipatiwa kabla ya siku ya pambano hivyo alikijaribu na kujiridhisha kipo sawa!

Mdau alizidi kusema kitendo cha mwakinyo kusema alichezewa mchezo kwa kupewa kiatu kinachobana ni kashfa kwa bodi ya ngumi Uingereza ambayo ililenga kuichafua taswira ya ngumi nchini humo!

Hivyo mwakinyo kafungiwa kucheza michezo ya ngumi Uingereza kwa mujibu wa kanuni zinazozingatia 'Fair play"

2. Sababu ya pili iliyogundulika ni mazingira ya kuuza mechi! Hili nalo limechangia Mwakinyo afungiwe

3. Sababu ya tatu ni taarifa za kitabibu kutoka maabara ya uwanja wa ndege zilizobaini begi la Mwakinyo halikuwa na vitu vya kawaida kimchezo ambavyo vimetafsiliwa ni ushirikina katika mchezo.

View attachment 2360556
Amefungiwa(suspended) kwa sababu alipoteza kwa TKO.
Ulichoandika hapo ni uongo
 
Back
Top Bottom