Sababu kuu za Mwakinyo kufungiwa kupigana tena Uingereza

Sababu kuu za Mwakinyo kufungiwa kupigana tena Uingereza

Utalogaje Ulaya? Mzungu halogeki vinginevyo tungewapiga chini kimaendeleo.
Wanarogeka vizuri begi lingetangulia na mtu mwingine mapema kabla mwakinyori hajatimba
 
Mabondia wanakaguliwa zaidi, angempa mtu begi atangulie nalo
Screenshot_20220918-213117_Instagram.jpg
 
Toto jinga hili jamani khaaaaaaaaaaaaa [emoji34][emoji34][emoji34][emoji34][emoji34]

Yaani tumepata nafasi ya kushine kimataifa limekwenda kuharibu sababu ya tamaa zake za kipumbavu. Sasa hapo ndio basi tena asahau kuja kukutana na akina Mayweather ulingoni.

Tamaa mbele mauti nyuma. Sasa atabakia kupambana mechi za mchangani tu huku.

Pumbavu sana hili toto.
 
4. Sababu nyingine kubwa kuliko zote ni za kiafya zaidi ambazo zinaweza kuhatarisha maisha yake na wengine katika mchezo wa ngumi! (Taarifa za afya zinabakia kuwa siri ya mgonjwa)
 
Uchunguzi uliofanywa na bodi ya ngumi kutoka Uingereza umebaini kwamba;

Wanamichezo wote wajifunze kufuata protokali, kanuni, vigezo na sheria waache kumuigiza Haji Manara kwa lengo la kutafuta umaarufu au visingizio visivyo na ushahidi wa kisayansi wala kimichezo maana kauli zinaweza kuchafua tasnia na taasisi husika bila ushahidi wa haki bin haki.
 
Unapinga nn
Tko gani ya kujiangusha angusha.
Huko ufc jamaa kapigwa kiwiko kachanwa jicho kagoma kurudi ulingoni hajafungiwa kila kitu kimeonekana.
Sasa huyu mwehu alichokua anafanya anastahili makofi.
 
Mwakinyo ni mshamba katika ngumi si wa kupigiwa mfano! Afadhali Evander alieamua kupita na sikio la Tyson kuliko puuzi hili. Wazungu wataendelea kuambiana hatacheza tena ulaya au zitabanwa vilivyo tunguli zake...asahau kupigana ulaya. Kanya!
 
Mwakinyo ni mshamba katika ngumi si wa kupigiwa mfano! Afadhali Evander alieamua kupita na sikio la Tyson kuliko puuzi hili. Wazungu wataendelea kuambiana hatacheza tena ulaya au zitabanwa vilivyo tunguli zake...asahau kupigana ulaya. Kanya!
Kwa ulicho andika hichi wewe na Mwakinyo nani mshamba....
 
Katukalisha macho usiku wote ule afu akapigwa kizembe vile alinikera,,,Kama hivo kweli jamaa kajiharibia sana!
 
Back
Top Bottom