- Thread starter
- #61
Angetanguliza begi liwe na mtu mwingine wasingemshtukiaHuko hakuna ujinga ujinga wa kiswahili, uwongo uwongo na upuuzi upuuzi wawe wanauacha huku.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Angetanguliza begi liwe na mtu mwingine wasingemshtukiaHuko hakuna ujinga ujinga wa kiswahili, uwongo uwongo na upuuzi upuuzi wawe wanauacha huku.
Utalogaje Ulaya? Mzungu halogeki vinginevyo tungewapiga chini kimaendeleo.Kazi na dawa
Wanarogeka vizuri begi lingetangulia na mtu mwingine mapema kabla mwakinyori hajatimbaUtalogaje Ulaya? Mzungu halogeki vinginevyo tungewapiga chini kimaendeleo.
Huoni limenaswa?Wanarogeka vizuri begi lingetangulia na mtu mwingine mapema kabla mwakinyori hajatimba
Mabondia wanakaguliwa zaidi, angempa mtu begi atangulie naloHuoni limenaswa?
Mabondia wanakaguliwa zaidi, angempa mtu begi atangulie nalo
Ujinga, Ushamba, Ujuaji, Uchawi.
Mi nadhani ya 4 ndo itakuwa sababu kubwa zaidi. Kijana yaelekea si muumini wa condomSababu kuu itakua hiyo ya tatu.
Eliza ameaga?.Ngoja tumalize mazishi ya Elizabeth!
Uchunguzi uliofanywa na bodi ya ngumi kutoka Uingereza umebaini kwamba;
Ina maana kila bondia akipoteza kwa TKO anafungiwa? [emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]Amefungiwa(suspended) kwa sababu alipoteza kwa TKO.
Ulichoandika hapo ni uongo
Tko gani ya kujiangusha angusha.Unapinga nn
Kwa ulicho andika hichi wewe na Mwakinyo nani mshamba....Mwakinyo ni mshamba katika ngumi si wa kupigiwa mfano! Afadhali Evander alieamua kupita na sikio la Tyson kuliko puuzi hili. Wazungu wataendelea kuambiana hatacheza tena ulaya au zitabanwa vilivyo tunguli zake...asahau kupigana ulaya. Kanya!