Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na yeye kuwa suspended kwa mudaIkiwa sababu namba 2 ni kweli kama ulivyoainisha hapo juu je! adhabu ya huyo bondia Muingereza ni ipi? Maana kuuza na kununua pambamo yote ni makosa.
Ndio sheria za ngumi uingereza ukipigwa KO unatakiwa upumzike kwa muda fulani kabla hujapigana tena. Siyo kama kwetu Manonga anapigana kila mwezi hata kama kapigwaIna maana kila bondia akipoteza kwa TKO anafungiwa? [emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]
Punguza chuki MshambaT
Tatizo la watu wa Tanga kuamini kuwa hawawezi kufanya jambo lolote bila kuvaa madude au kujipaka au kuoga madawa ndio kilichomponza. Naamini baada ya begi lake ambalo ndio alikuwa ameweka makorokocho hao ndio sababu ya kufanya asitishe mchezo na wala sii kuhongwa kwa vyovyote vile. Hii tabia watu wengi wa pwani wanazo hata makazini lazima ajipake sijui madude gani yana harufu fulani eti yawaondolee mabalaa, eti yavutie riziki eti asikoromewe na bosi hata kama anafanya vimbwanga
Punguza ushirikina mbona watu wanaishi tuuPunguza chuki Mshamba
Hamna ushirikia izo ni blah blah hata kufika hujawai kama sio unoko n nn?Punguza ushirikina mbona watu wanaishi tuu