Sababu kuu zenye Mantiki zilizowafanya na zinazowafanya Wayahudi wengi Wasimuamini Yesu Kristo

S
rahim ni mzaliwa wa Uru WA ukaldayo, Iraq ya leo. Ni muaramu
Kwa hiyo Iraq siyo arabuni!?..Tena huo mji ambao Leo unaitwa tall Al mughayyar upo 300km kusini mashariki mwa Baghdad

Unaumwa wewe!
Iraq wapo waarabu?πŸ˜‚πŸ˜‚
Tangu lini wamedi/wairaq wakawa waarabu?
Au tangu lini waajemi/wairani wakawa waarabu?
 
Nitajie nguzo kuu za uislam?
Bila Shaka hizo ndio zinamtambulisha MTU kuwa ni muislam.
Baada ya kunitajia, niambie ni nabii gani kuacha Muhammad aliyeshika hizo nguzo kuu za uislam?

Wewe ndio utaanza Kupata Mwanga
Kwa nini unarukaruka kwenye hoja babu!!?..nimekuonesha Ibrahim,Musa nk ni manabii wa Allah kwa mujibu wa Qur'an,umerukia nguzo za uislam
 
Unaumwa wewe!
Iraq wapo waarabu?πŸ˜‚πŸ˜‚
Tangu lini wamedi/wairaq wakawa waarabu?
Au tangu lini waajemi/wairani wakawa waarabu?
Waajemi ni Iran,unamaanisha Iraq si nchi ya kiarabu, really!!!..kwamba Saddam Hussein na Tariq Aziz hawakuwa waarab
 
Kaka robert ungenisaidia maana ya IMANI?
 
Kwa nini unarukaruka kwenye hoja babu!!?..nimekuonesha Ibrahim,Musa nk ni manabii wa Allah kwa mujibu wa Qur'an,umerukia nguzo za uislam

Wewe ndio hujui maswali yangu yanalenga nini.

Nilikuambia Unitajie manabii wa Dini wakiyahudi, ukanitajia. Nikakuambia VIZURI.

Sasa nilipokuambia unitajie manabii WA dini ya Kiislam naona unarudia walewale wa Wayahudi ndio maana nikakuambia wewe bado unasafari ndefu ya kujifunza mambo haya.

Ni Sawa na mkristo aambiwe ataje manabii wakubwa watano WA Kikristo alafu amtaje Musa au DAUDI au Suleiman, Wakati hao walikuwa ni mayahudi, dini Yao ni yakiyahudi na hawaujui ukrukri
 
Kwa nini unarukaruka kwenye hoja babu!!?..nimekuonesha Ibrahim,Musa nk ni manabii wa Allah kwa mujibu wa Qur'an,umerukia nguzo za uislam

Wewe ndio hujui maswali yangu yanalenga nini.

Nilikuambia Unitajie manabii wa Dini wakiyahudi, ukanitajia. Nikakuambia VIZURI.

Sasa nilipokuambia unitajie manabii WA dini ya Kiislam naona unarudia walewale wa Wayahudi ndio maana nikakuambia wewe bado unasafari ndefu ya kujifunza mambo haya.

Ni Sawa na mkristo aambiwe ataje manabii wakubwa watano WA Kikristo alafu amtaje Musa au DAUDI au Suleiman, Wakati hao walikuwa ni mayahudi, dini Yao ni yakiyahudi.

Waislam
 
Uwe unaruhusu vitu vipya kuingia fuvu lako tofauti na uelewa wako wa awali,nilikujibu uislam ni dini iliyoanza tangu nabii Adam yaani dini ya awali mpaka Ibrahim na Muhammad,nijasema wayahudi wao walikubali baadhi ya manabii na kukataa baadhi wakiwemo yesu na Muhammad,maana yake wayahudi wanachagua miongoni mwa manabii hivyo katika orosha ya manabii wa wayahudi watatokea manabii wa Allah
 
Unaumwa wewe!
Iraq wapo waarabu?πŸ˜‚πŸ˜‚
Tangu lini wamedi/wairaq wakawa waarabu?
Au tangu lini waajemi/wairani wakawa waarabu?
Waarabu asili yao saudi arabia, yemen,,
Iraq, misri, palestine, moroco, etc, walikua arabised,, waliadopt
 
Dini ya kiyahudi imeanza miaka 3500 iliyopita,ikianza na Ibrahim,manabii watano kati ya 48 wa uyahudi ni Ibrahim,suleimani,daudi,Musa,harun,mungu wao ana majina mengi yehova,hosana nk
Hapa unaenda kinyume na uislamu hao Manabii hawakuwa wayahudi hata Qu'ran imesema wazi kuwa Nabii Ibrahimu hakuwa myahudi uyahudi ni dini wala sio Taifa Musa ,Haruni,Suleimani na Daudi wote amani iwe juu yao walikuwa Wana wa Israeli na sio wayahudi.
 
Waarabu asili yao saudi arabia, yemen,,
Iraq, misri, palestine, moroco, etc, walikua arabised,, waliadopt
Hili linathibitishwa vipi!?..historical time lines kwenye lugha na race Mara nyingi ni dhana tu, Saudi Arabia ipi!?..maana Saudi Arabia ya Leo imewekwa na muingereza huko nyuma ilikua city states,Makkah na Madina zikiwa nchi mbili tofauti, Oman,Kuwait, UAE inamaana walikua arabises!!?..na nani!?..mionekano yao inatofautiana!?
 

Ndio nikakuuliza Ili MTU awe muislam lazima ashike nguzo tano si ndio?
Sasa zitaje nguzo tano za uislam alafu eleza Kwa ushahidi Musa, DAUDI, Suleiman walizishika nguzo hizo.

Maana wewe mwenye umewataja manabii WA Wayahudi alafu ajabu inawataja haohao kama manabii WA uislam, huoni kama unapotosha?
 
Hapa unaenda kinyume na uislamu hao Manabii hawakuwa wayahudi hata Qu'ran imesema wazi kuwa Nabii Ibrahimu hakuwa myahudi uyahudi ni dini wala sio Taifa Musa ,Haruni,Suleimani na Daudi wote amani iwe juu yao walikuwa Wana wa Israeli na sio wayahudi.
Nimeenda kihistoria anavyotaka yeye
 
Hapa unaenda kinyume na uislamu hao Manabii hawakuwa wayahudi hata Qu'ran imesema wazi kuwa Nabii Ibrahimu hakuwa myahudi uyahudi ni dini wala sio Taifa Musa ,Haruni,Suleimani na Daudi wote amani iwe juu yao walikuwa Wana wa Israeli na sio wayahudi.

Musa ndio aliyeanzisha uyahudi.

Ukisema Musa alikuwa Muislam nitakuuliza maswali ambayo mwenyewe utaona kabisa Musa hakuwa Muislam Ila alikuwa Myahudi
 
Ili mtu awe muislam yampasa aamini mungu mmoja muumba wa kila kitu na kwamba alitumia manabii kuufikisha muongozo wake kwa binaadam,acha kurukaruka
 
Kihistoria
Kisayansi
Na kiimani manabii wote uliowataja hawakuwa waislam isipokuwa Huyo Muhammad tuu
Sayansi inathibitishaje unabii wa mtu,nikikupa Aya ya Qur'an 19:41-50 kuonesha Musa,Ibrahim nk ni manabii wa Allah
 
Ili mtu awe muislam yampasa aamini mungu mmoja muumba wa kila kitu na kwamba alitumia manabii kuufikisha muongozo wake kwa binaadam,acha kurukaruka

Kwa hiyo uislam unanguzo moja?πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Dini nyingi zinaamini Mungu ni MMOJA ukiwepo dini ya kiyahudi.

Ukijadili vitu jadili kwa logic, itasaidia kuwafundisha wanaofuatilia mjadala na wanaopenda Kutumia Akili na logic
 
Kwa hiyo uislam unanguzo moja?πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Dini nyingi zinaamini Mungu ni MMOJA ukiwepo dini ya kiyahudi.

Ukijadili vitu jadili kwa logic, itasaidia kuwafundisha wanaofuatilia mjadala na wanaopenda Kutumia Akili na logic
Hakuna nguzo za uislam zilizotajwa kwenye Qur'an,Ila mtua anayeamini mungu mmoja,manabii tangu Adam mpaka Muhammad,anaamini maisha baada ya kifo na malipo(akhera) huyo ni muislam
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…