Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
- Thread starter
- #181
Sayansi inathibitishaje unabii wa mtu,nikikupa Aya ya Qur'an 19:41-50 kuonesha Musa,Ibrahim nk ni manabii wa Allah
Sayansi inathibitisha Kwa kuangalia ubin wa manabii husika.
Sasa Quran haiwezi kuthibitisha manabii wa Kiyahudi ambao Mungu wao sio Allah Bali Yehova,
Allah Nabii wake ni Muhammad pekee.
Ukitaja Allah hata Musa au Ibrahim hamjui, wao wanamjua Yehova.