Sababu kwanini Fei hapaswi kucheza tena Yanga baada ya sakata lake la Azam

Sababu kwanini Fei hapaswi kucheza tena Yanga baada ya sakata lake la Azam

LIKUD

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2012
Posts
18,037
Reaction score
33,681
Nasikia kuna breaking news kwamba eti Yanga wamerejesha fedha zilizo lipwa na Fei ili Fei aendelee kucheza Yanga.

Ni utoto huu. Mashabiki wa Yanga tayari wamesha Kubali kuondoka kwa Fey.

Kama kuna mtu yupo nyuma ya sakata la Fei kwa ajili ya kuwa push viongozi Yanga wa muongezee Fey mshahara BASI atambue kwamba tayari amesha mtenegenezea Fei ubaya na mashabiki wa Yanga.

Blv me kama Fei atabaki Yanga BASI hatopendwa tena na mashabiki wa Yanga kwa kiwango kile kile alicho kuwa anapendwa kabla ya sakata. Kuna kitu kipya tayari kimezaliwa ndani ya nafsi za mashabiki wa Yanga kuhusu Fei ambacho hakipo in favour of Fei.

So Fei bora uende zako tu Azam . Yanga mashabiki hawana tena furaha na wewe.

Azam wakitaka wakutoe Simba kwa mkopo.
 
Kweli kabisa ,ila akiwa anatupia migoli na kuwa katika kiwango bora mashabiki watasahau yote.
 
Nasikia kuna breaking news kwamba eti Yanga wamerejesha fedha zilizo lipwa na Fei ili Fei aendelee kucheza Yanga.

Ni utoto huu. Mashabiki wa Yanga tayari wamesha Kubali kuondoka kwa Fey.

Kama kuna mtu yupo nyuma ya sakata la Fei kwa ajili ya kuwa push viongozi Yanga wa muongezee Fey mshahara BASI atambue kwamba tayari amesha mtenegenezea Fei ubaya na mashabiki wa Yanga.

Blv me kama Fei atabaki Yanga BASI hatopendwa tena na mashabiki wa Yanga kwa kiwango kile kile alicho kuwa anapendwa kabla ya sakata. Kuna kitu kipya tayari kimezaliwa ndani ya nafsi za mashabiki wa Yanga kuhusu Fei ambacho hakipo in favour of Fei.

So Fei bora uende zako tu Azam . Yanga mashabiki hawana tena furaha na wewe.

Azam wakitaka wakutoe Simba kwa mkopo.
amekosea kuvunja mkataba kwa kanuni za fifa,ili uvunje mkataba ni lazima mambo haya yawe yamefanyika:
1.hujalipwa mshahara kwa miezi 3 mfululizo
2.hajapangwa mfululizo kwenye mechi 10,hivyo vyote havijafanyika
 
amekosea kuvunja mkataba kwa kanuni za fifa,ili uvunje mkataba ni lazima mambo haya yawe yamefanyika:
1.hujalipwa mshahara kwa miezi 3 mfululizo
2.hajapangwa mfululizo kwenye mechi 10,hivyo vyote havijafanyika
Amevunja kwa kuununua, umeelewa mzee? Huko kuvunja kwingine ni endapo kuna matakwa ya kimkataba hayajatimizwa na hapaswi kuilipa club ila yeye amenunua mkataba kwa kuzingatia vipengele vya makubaliano yake na Yanga.
 
amekosea kuvunja mkataba kwa kanuni za fifa,ili uvunje mkataba ni lazima mambo haya yawe yamefanyika:
1.hujalipwa mshahara kwa miezi 3 mfululizo
2.hajapangwa mfululizo kwenye mechi 10,hivyo vyote havijafanyika
Mbona hamuandiki nini akienda kinyume mkataba unavunjika?

Sent from my SO-01K using JamiiForums mobile app
 
Amevunja kwa kuununua, umeelewa mzee? Huko kuvunja kwingine ni endapo kuna matakwa ya kimkataba hayajatimizwa na hapaswi kuilipa club ila yeye amenunua mkataba kwa kuzingatia vipengele vya makubaliano yake na Yanga.
Release clause ni dola laki 2 , mwanasheria wa Yanga amesema.

Mil 100 ni termination clause.

Fei ametaka Release au Termination????
 
Nyinyi mashabiki wa uto mliwapenda Ngasa na Tegete. Haya huko kuwapenda kwenu kumewasaidia nini hao wachezaji baada ya kuzeeka? Eti hamna furaha na yeye, Wewe kama Nani unawaongelea Wana Uto wote? Mbona Morrison mliomshitaki CAS bado mna furaha nae?
 
Amevunja kwa kuununua, umeelewa mzee? Huko kuvunja kwingine ni endapo kuna matakwa ya kimkataba hayajatimizwa na hapaswi kuilipa club ila yeye amenunua mkataba kwa kuzingatia vipengele vya makubaliano yake na Yanga.
tatizo la fei ni shule amekosea hawezi kuondoka hivyo na bahati mbaya kashajiharibia hawezi kucheza yanga tena
 
Nyinyi mashabiki wa uto mliwapenda Ngasa na Tegete. Haya huko kuwapenda kwenu kumewasaidia nini hao wachezaji baada ya kuzeeka? Eti hamna furaha na yeye, Wewe kama Nani unawaongelea Wana Uto wote? Mbona Morrison mliomshitaki CAS bado mna furaha nae?
Ngasa alienda Azam, kwani alipata Nini?
Makambo alienda Horoya
Ajibu naye yupo wapi?
Chirwa?
Pamoja na bidii yake, Yanga nayo imewekeza kwa Fei kufikia hapa. Makocha wazuri, Kambi nzuri na mapenzi ya washabiki huko ni kuwekeza.
 
amekosea kuvunja mkataba kwa kanuni za fifa,ili uvunje mkataba ni lazima mambo haya yawe yamefanyika:
1.hujalipwa mshahara kwa miezi 3 mfululizo
2.hajapangwa mfululizo kwenye mechi 10,hivyo vyote havijafanyika
Ameshawaaga tayari, hayo ya FIFA ni yenu.
Kesho anatambulishwa Azam

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
amekosea kuvunja mkataba kwa kanuni za fifa,ili uvunje mkataba ni lazima mambo haya yawe yamefanyika:
1.hujalipwa mshahara kwa miezi 3 mfululizo
2.hajapangwa mfululizo kwenye mechi 10,hivyo vyote havijafanyika
Mkataba wake hausemi hivyo, unamruhusu kuvunja ila arudishe signing fees na mishahara mitatu, kashafanya hayo. Kilichotakiwa ni kukaa kwa pande 2 kuhusu kuachana huko ndio inaswihi, pia lazima isiwe kipindi ligi ikiwa inaendelea.
 
Back
Top Bottom