Tsh
JF-Expert Member
- Aug 26, 2021
- 17,022
- 36,936
Leo ana kiwango kizuri unaona ni sawa yeye kusubiri, Kesho akiwa na kiwango kibovu Subra itatumika? Aachwe akazoe fedha Yanga ipo itapata mwingine.Hivi unaamini kabisa kuwa Yanga hawakutaka kumuongezea fei hata senti... Siamini kabisa hilo... Ila fei walio nyuma yake walimfanya akose subra... Subra ni jambo la maana sana...