Sababu kwanini Fei hapaswi kucheza tena Yanga baada ya sakata lake la Azam

Sababu kwanini Fei hapaswi kucheza tena Yanga baada ya sakata lake la Azam

Naona umekuwa msemaji wa mashabiki wa Yanga SC, kweli fei toto tundu..
 
Kwamba fei mpaka kutoa hizo 112M alikuwa hajui mkataba unahitaji nini?

Yaani aendelee kusifiwa anapiga shuti goli then pesa haiendani na sifa?

Kawekewa mpunga kaona inafaa kaweka hizo 112M kama masharti ya mkataba yanavyotaka. Hiyo furaha bakini nayo tu wenyewe.
 
Nasikia kuna breaking news kwamba eti Yanga wamerejesha fedha zilizo lipwa na Fei ili Fei aendelee kucheza Yanga.

Ni utoto huu. Mashabiki wa Yanga tayari wamesha Kubali kuondoka kwa Fey.

Kama kuna mtu yupo nyuma ya sakata la Fei kwa ajili ya kuwa push viongozi Yanga wa muongezee Fey mshahara BASI atambue kwamba tayari amesha mtenegenezea Fei ubaya na mashabiki wa Yanga.

Blv me kama Fei atabaki Yanga BASI hatopendwa tena na mashabiki wa Yanga kwa kiwango kile kile alicho kuwa anapendwa kabla ya sakata. Kuna kitu kipya tayari kimezaliwa ndani ya nafsi za mashabiki wa Yanga kuhusu Fei ambacho hakipo in favour of Fei.

So Fei bora uende zako tu Azam . Yanga mashabiki hawana tena furaha na wewe.

Azam wakitaka wakutoe Simba kwa mkopo.
Wala hakuna kitu Kama Cha kuchukiwa na mashabiki Mbona bm33 alienda mpka cas na bado wanampenda
 
Wala hakuna kitu Kama Cha kuchukiwa na mashabiki Mbona bm33 alienda mpka cas na bado wanampenda
Bm33 hauwezi mlinganisha na Fei. Bm33 is something else
 
Aliondoka Said Mwamba Kizota pia bila kumsahau Mohamed Husssein
Asijifanye mwamba.
Umaarufu ameupatia Yanga

Yanga itababaki yeye ataondoka... watapatikana watakaofit nafasi yake
 
BAADA YA KUONA BARUA BINAFSI YA FEITOTO... NI WAZI SASA NAFSI YANGU IMETULIZANA NA NAMTAKIA KILA LA KHERI HUKO ANAPOKWENDA...

ILA NAMTAHADHARIA AWE MAKINI NA WALIO NYUMA YAKE KUMPUSH... KWA SABABU NDIO WALEWALE WALIOMPUSH AJIBU, GADIEL MICHAEL NA WENGINE KAMA NGASA... ILA MWISHO WA SIKU NDIO HAO WANAOMSEMA NI MZEMBE MAZOEZINI... HAWAPO NAE TENA...

LENGO LA MACHAWA WANAOMSUKUMA NI KUIDHOOFISHA YANGA SI MASLAHI YA FEITOTO... HILO LIPO WAZI...

MWISHO BASI KILA LA KHERI KIJANA WETU... TULIKUPENDA SANA NA TULIKUFANYA HAPA YANGA WEWE NDIO MWENYE YANGA YAKE...

UMEONDOKA MUDA AMBAO TULIKUHITAJI ZAIDI... ILA KILA LA KHERI ACHA MAISHA YAENDELEE.
 
Kwenye suala la sheria yanga mwanasheria wake ni mweupe kama rim hajawahi kushinda hta kesi moja toka nimfahamu akiwa yanga
 
BAADA YA KUONA BARUA BINAFSI YA FEITOTO... NI WAZI SASA NAFSI YANGU IMETULIZANA NA NAMTAKIA KILA LA KHERI HUKO ANAPOKWENDA...

ILA NAMTAHADHARIA AWE MAKINI NA WALIO NYUMA YAKE KUMPUSH... KWA SABABU NDIO WALEWALE WALIOMPUSH AJIBU, GADIEL MICHAEL NA WENGINE KAMA NGASA... ILA MWISHO WA SIKU NDIO HAO WANAOMSEMA NI MZEMBE MAZOEZINI... HAWAPO NAE TENA...

LENGO LA MACHAWA WANAOMSUKUMA NI KUIDHOOFISHA YANGA SI MASLAHI YA FEITOTO... HILO LIPO WAZI...

MWISHO BASI KILA LA KHERI KIJANA WETU... TULIKUPENDA SANA NA TULIKUFANYA HAPA YANGA WEWE NDIO MWENYE YANGA YAKE...

UMEONDOKA MUDA AMBAO TULIKUHITAJI ZAIDI... ILA KILA LA KHERI ACHA MAISHA YAENDELEE.

Kama kuna watu wana mpush Fei Toto hao watu wanamtakia mema Fei toto.

Mtu gani anakataa ajira mpya yenye mkataba mnono na mshahara mara 3 ya ajira yako ya mwanzo?

Wachezaji mpira ni kazi yao ya kuwapa ugali... why akatae malisho mazuri?
 
Kama kuna watu wana mpush Fei Toto hao watu wanamtakia mema Fei toto.

Mtu gani anakataa ajira mpya yenye mkataba mnono na mshahara mara 3 ya ajira yako ya mwanzo?

Wachezaji mpira ni kazi yao ya kuwapa ugali... why akatae malisho mazuri?
Hivi unaamini kabisa kuwa Yanga hawakutaka kumuongezea fei hata senti... Siamini kabisa hilo... Ila fei walio nyuma yake walimfanya akose subra... Subra ni jambo la maana sana...
 
Hivi unaamini kabisa kuwa Yanga hawakutaka kumuongezea fei hata senti... Siamini kabisa hilo... Ila fei walio nyuma yake walimfanya akose subra... Subra ni jambo la maana sana...

Sio swala la senti..

Yanga na fei toto kinachowakutanisha ni kazi.

Sio stori za senti. Weka hela nayotaka kama huweki naenda kwa mwingine atakayeweka hela nayoitaka.

Mpira ni mchezo wa umri.. huu ndio muda wa Fei kujenga maisha yake ya mbeleni
 
amekosea kuvunja mkataba kwa kanuni za fifa,ili uvunje mkataba ni lazima mambo haya yawe yamefanyika:
1.hujalipwa mshahara kwa miezi 3 mfululizo
2.hajapangwa mfululizo kwenye mechi 10,hivyo vyote havijafanyika
Naona unajaribu kuhadaa na kudanganya watu mchana kutwa
 
Nasikia kuna breaking news kwamba eti Yanga wamerejesha fedha zilizo lipwa na Fei ili Fei aendelee kucheza Yanga.

Ni utoto huu. Mashabiki wa Yanga tayari wamesha Kubali kuondoka kwa Fey.

Kama kuna mtu yupo nyuma ya sakata la Fei kwa ajili ya kuwa push viongozi Yanga wa muongezee Fey mshahara BASI atambue kwamba tayari amesha mtenegenezea Fei ubaya na mashabiki wa Yanga.

Blv me kama Fei atabaki Yanga BASI hatopendwa tena na mashabiki wa Yanga kwa kiwango kile kile alicho kuwa anapendwa kabla ya sakata. Kuna kitu kipya tayari kimezaliwa ndani ya nafsi za mashabiki wa Yanga kuhusu Fei ambacho hakipo in favour of Fei.

So Fei bora uende zako tu Azam . Yanga mashabiki hawana tena furaha na wewe.

Azam wakitaka wakutoe Simba kwa mkopo.
Gongowazi wapumbavu sana hawajajifunza kitu kwa ishu ya Morrison
 
Ngasa alienda Azam, kwani alipata Nini?
Makambo alienda Horoya
Ajibu naye yupo wapi?
Chirwa?
Pamoja na bidii yake, Yanga nayo imewekeza kwa Fei kufikia hapa. Makocha wazuri, Kambi nzuri na mapenzi ya washabiki huko ni kuwekeza.

Ye anataka hela hizo kambi kwani yeye hana nyumba??
 
Mimi shabiki wa Yanga

Sikubaliani na FEI kulipwa milioni 4

Walipaswa wamuongezee
 
Kwenye suala la sheria yanga mwanasheria wake ni mweupe kama rim hajawahi kushinda hta kesi moja toka nimfahamu akiwa yanga
[emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kuna siku nilienda pale GSM kwa issue binafsi nikaonana na kiongozi mmoja wa Yanga nikamwambia uzeni Feisal kama Tshs 900m(nje) au Tshs 500m ndani alafu leta Bobosi, Kelvin Nashoni na Beki mmoja wa Nje kama Inonga uwone Yanga kama haijawa bora zaidi ya leo… Aziz Ki na Sureboy wanamudu sana kuziba nafasi ya Feisal tena wanakupa zaidi… Unakuwa na pesa huku kikosi kinakuwa bora…
 
Back
Top Bottom