Hivi unaamini kabisa kuwa Yanga hawakutaka kumuongezea fei hata senti... Siamini kabisa hilo... Ila fei walio nyuma yake walimfanya akose subra... Subra ni jambo la maana sana...
Si ndiyo maana anaenda Azam?
Hakuna tatizo. Ila hawezi kulipwa kama Aucho na Yanga, kwa sababu rumewwkeza wake hatujamchukua akiwa kwenye level aliyo nayo.